- Thread starter
- #101
Wewe ndiye mjinga kumtukuza muuaji, mporaji, mtekaji na mtukanaji. Bora kafa kifo cha aibu.ila hii nchi ina watu wa hovyoo.
imagine hii comment inatoka kwa member wa JF.
Hopeless kbsa.
hyo bei ya sembe laki 1 mama yako angeinunua kipindi unanyonya ???
Nchi ya wajinga hii