Ukisikia legacy ndiyo hii sasa

Ukisikia legacy ndiyo hii sasa

Ila jamani tumwache Mungu aitwe Mungu anatuwazia mema kila uchao Leo sijui tukuje Leo Kuna watu wana roho mbaya mpaka shetani mwenyewe anaona aibu kumbe Kuna watu wamemzidi yeye shetani
 
I don't need to, kata ticket na visa ingia Senegal, Ghana, Nigeria, Gambia na Cameroon utakuja na majibu.
Is there any landmark named after him?
Anyway, if you can't bring any proof then you are in the same pot
 
Yule JPM angedumu miaka 7 hadi 10 kwenye utawala wake kila kitu nchini kingepewa jina lake na vingine majina ya machawa wake!
Unatafuta jengo mkoani unakuta linaitwa Paulo Makonda House... Au barabara wilayani inaitwa Sabaya Rd.
Hiyo ni ishara kuwa hakustahili kuwa kiongozi!
Na hao jamaa mpaka Leo wameachwa njia panda hawaamini na hawajui waende wapi ila Ole wao wamtumainio mwanadamu Kwa kumfanya ngao yao na ukijikweza utashushwa Tanzania ilifika Mahala watu wanalitukuza jina la mtu kuliko la Muumba wao
 
Yaani siku nilimsikiliza nicheka nikawaambia stuff wenzangu hakuna mtu mwongo kama huyu jamaa ujuwe idadi ya samaki bahari ya Tanzania wakati samaki mmoja uweka mayai zaidi ya mia Tano mdomoni mwake eti sifurii point sifuri.. point Tisa na wabunge washangilia
Na hapo hakwambii research ni ya lini, kafanya nani, kafanyia wapi na wapi!
Nijuavyo samaki wanazaliana kila kukicha!

Uongo, misifa, ukatili na ujuaji ni miongoni mwa vitu vilinifanya nianze kumuombea mabaya!
 
Bahati mbaya umaskini wako ndio ujinga wako.
Ujinga siyo tusi.
Na kuishi Tanzania kwenye nchi masikini wewe pia bado ni maskini. Ila wewe umezidi make umeanzia kichwani
 
Na hapo hakwambii research ni ya lini, kafanya nani, kafanyia wapi na wapi!
Nijuavyo samaki wanazaliana kila kukicha!

Uongo, misifa, ukatili na ujuaji ni miongoni mwa vitu vilinifanya nianze kumuombea mabaya!
Ila alikuwa na roho mbaya sikuwahi kuona akaweka chuki Kwa wachaga utadhani wachaga walikuwa na visa naye mpaka Mimi nikajuuliza huyu broo wachaga wamemkosea Nini
 
Na hapo hakwambii research ni ya lini, kafanya nani, kafanyia wapi na wapi!
Nijuavyo samaki wanazaliana kila kukicha!

Uongo, misifa, ukatili na ujuaji ni miongoni mwa vitu vilinifanya nianze kumuombea mabaya!
Ila alikuwa na roho mbaya sikuwahi kuona akaweka chuki Kwa wachaga utadhani wachaga walikuwa na visa naye mpaka Mimi nikajuuliza huyu broo wachaga wamemkosea Nini
 
Magaidi katika ubora wao.....Ni dhahiri hata maana ya Legacy hawaijui.

Hakuna mtu yeyote Mtanzania anayezunguzmia "Legacy" kwa uwepesi wepesi namna hii! Neno hili litumikavyo na maana yake halisi yametelekezwa na badala yake tu... hutumika kuvutia na kuti hisia fulani hivi, hapa ni kumchafua hayati. Hapa jamvini linatumiwa kwa kiasi kikubwa na Magaidi kwa makusudi yakulisha madubwasha bandia ili iwe inatokea dhihaki na dhihaka dhidi yake.

Uzuri wa Ugaidi wa namna hii haujifichi.
 
Ujinga siyo tusi.
Na kuishi Tanzania kwenye nchi masikini wewe pia bado ni maskini. Ila wewe umezidi make umeanzia kichwani
That's where you are wrong, mimi nazurula dunia kila mwaka na mtazamo wa kidunia. Wewe unatoa maoni yako kwenye lense ya Tanzania na google tu. Huwezi kunielewa sababu una lack exposure na siyo kosa lako.
 
Ila alikuwa na roho mbaya sikuwahi kuona akaweka chuki Kwa wachaga utadhani wachaga walikuwa na visa naye mpaka Mimi nikajuuliza huyu broo wachaga wamemkosea Nini
Kiukweli wasukuma (Sukuma gangs) wengi wanawachukia wachaga. Na walikoleza hiyo chuki kupitia kwa JPM!
Hivi bureau de change za Mwanza pia zilivamiwa na wanajeshi wezi?
Je, migodi ya Geita nayo ilizingirwa?
Je, wawekezaji na vitega uchumi Mwanza, Geita, Kahama viliyumbishwa kama kule Arusha na Moshi?
 
Kwahiyo unataka kusema na Daraja la Busisi, JNHP, Dodoma City ni WB, DMP, na hiyo DMP ndio ime extend kila mkoa na kila wilaya ndugu mjanja?
Au ni hate agenda.
Muongezee na daraja la wami wakati zamani akienda kwao huko akifika pale wami ya zamani konyagi zote zilikuwa zinamuisha kichwani mimacho inamtoka sasa hivi wanateleza tu kwa hisani ya Magu.
 
Kiukweli wasukuma (Sukuma gangs) wengi wanawachukia wachaga. Na walikoleza hiyo chuki kupitia kwa JPM!
Hivi bureau de change za Mwanza pia zilivamiwa na wanajeshi wezi?
Je, migodi ya Geita nayo ilizingirwa?
Je, wawekezaji na vitega uchumi Mwanza, Geita, Kahama viliyumbishwa kama kule Arusha na Moshi?
Tanzania mbegu ya ukabila ilikuwa imeanza ila Mungu husikia kilio Cha watu wake
 
Muongezee na daraja la wami wakati zamani akienda kwao huko akifika pale wami ya zamani konyagi zote zilikuwa zinamuisha kichwani mimacho inamtoka sasa hivi wanateleza tu kwa hisani ya Magu.
Dalili za ujinga... Kaangalie miundombinu ya ovyo kule Chato ndo utajua kuwa JPM hakuwa timamu!

Unafikiri utatutoa ili tusimwamini JPM, Chuma aka Mwamba. Nakushauri achana na mtu wetu tuliyemshimu sana. Aibu iliyokupata kwa kuwa na cheti feki inakusumbua.
JPM mwenyewe alikuwa mmiliki wa vyeti feki.
 
Muongezee na daraja la wami wakati zamani akienda kwao huko akifika pale wami ya zamani konyagi zote zilikuwa zinamuisha kichwani mimacho inamtoka sasa hivi wanateleza tu kwa hisani ya Magu.
Ila Mimi nimegundua wengi wanaomsifia mwendazake ni vijana wenye umri mdogo na SoMo la history hawakusoma na hawajui Tanzania awamu zote sita hajui watawala walifanya mambo yapi wanamsifia mmoja kanakwamba walio mtangulia hawakufanya lolote Mimi awamu zote nimezishuhudia kwa mazuri na mabaya ila awamu ya tano mabaya yalizidi mema Tanzania awamu zilizipita zimefanya kazi kubwa lakini Leo anasifiwa mmoja zamani watu wa Lindi na mtwara wameteseka kabla ya daraja la mkapa mfanyakazi akipangiwa mtwara au lindi kilio
 
Back
Top Bottom