Mpwayungu Village
JF-Expert Member
- Jul 21, 2021
- 14,540
- 30,875
Kwangu mm uhai ni bora zaidi kuliko ktu kingine. Nafurahi Sasa
..watu hawatekwi tena,
..watu hawaporwi tena,
...watu hawapigwi risasi tena,
..atu hawaokotwi kwenye viroba tena.
Hata kama tutanunua kilo moja ya sembe kwa laki moja kama hayo maovu niliyoyataja hapo juu hayapo kwangu mm haina shida.
ila hii nchi ina watu wa hovyoo.
imagine hii comment inatoka kwa member wa JF.
Hopeless kbsa.
hyo bei ya sembe laki 1 mama yako angeinunua kipindi unanyonya ???
Nchi ya wajinga hii