Ukisikia Lori la mafuta limepinduka

Ukisikia Lori la mafuta limepinduka

Emma M Bai

JF-Expert Member
Joined
Feb 11, 2019
Posts
223
Reaction score
126
Ukiona Lori la mafuta limedondoka karibu yako unapata taswira gani
 
Nanyonya mafuta kwa kuzingatia yafuatayo.

1: nahakikisha nachota mafuta bila kumwagamwaga ovyo.
2: Nahakikisha hakuna chacho chochote cha moyo ama shughuri yoyote inayowezeshwa na moto karibu na tunapochotea wese.

3: Nahakikisha betri haiguswi na kiumbe yeyote kwenye uchotaji. Yaani bora nifungwe kifungo cha maisha kwa kumuua mtu aliyesogelea betri kwenye uchotaji wa wese.

4: Kuhakikisha tunafanya faster kabla police hawajaja maana wanaweza kutusambaratisha kwa mabomu wakatj lile gari ni nuklia tayari
 
we akili yako sikuwez
Nanyonya mafuta kwa kuzingatia yafuatayo.
1: nahakikisha nachota mafuta bila kumwagamwaga ovyo.
2: Nahakikisha hakuna chacho chochote cha moyo ama shughuri yoyote inayowezeshwa na moto karibu na tunapochotea wese.
3: Nahakikisha betri haiguswi na kiumbe yeyote kwenye uchotaji. Yaani bora nifungwe kifungo cha maisha kwa kumuua mtu aliyesogelea betri kwenye uchotaji wa wese.
4: Kuhakikisha tunafanya faster kabla police hawajaja maana wanaweza kutusambaratisha kwa mabomu wakatj lile gari ni nuklia tayari
 
Nanyonya mafuta kwa kuzingatia yafuatayo.

1: nahakikisha nachota mafuta bila kumwagamwaga ovyo.
2: Nahakikisha hakuna chacho chochote cha moyo ama shughuri yoyote inayowezeshwa na moto karibu na tunapochotea wese.

3: Nahakikisha betri haiguswi na kiumbe yeyote kwenye uchotaji. Yaani bora nifungwe kifungo cha maisha kwa kumuua mtu aliyesogelea betri kwenye uchotaji wa wese.

4: Kuhakikisha tunafanya faster kabla police hawajaja maana wanaweza kutusambaratisha kwa mabomu wakatj lile gari ni nuklia tayari
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
daaaah yaani wengine wamefariki lakini kuna watu wamepata mbinu mbadala
 
Siwezi enda kwenye tukio bila fayaeksitingisha
 
Nanyonya mafuta kwa kuzingatia yafuatayo.

1: nahakikisha nachota mafuta bila kumwagamwaga ovyo.
2: Nahakikisha hakuna chacho chochote cha moyo ama shughuri yoyote inayowezeshwa na moto karibu na tunapochotea wese.

3: Nahakikisha betri haiguswi na kiumbe yeyote kwenye uchotaji. Yaani bora nifungwe kifungo cha maisha kwa kumuua mtu aliyesogelea betri kwenye uchotaji wa wese.

4: Kuhakikisha tunafanya faster kabla police hawajaja maana wanaweza kutusambaratisha kwa mabomu wakatj lile gari ni nuklia tayari
hii 4 nimecheka sana.
 
Back
Top Bottom