Zero Competition
JF-Expert Member
- Sep 12, 2018
- 347
- 553
Katika nyakati hizi ngumu tulizonazo, mwanamke ukisikia mumeo anachepuka na mwanamke mwingine mshukuru Mungu.
Sio kama nahamasisha uzinzi nje ya ndoa lahasha ila tambua kwamba kuna baadhi ya wanaume wameoa na wana watoto wamepata na wake zao lakini wanaume hao hao wakitoka kwenye nyumba zao ni wake za watu.
Hii kitaalamu tunaita "bisexual" yani mwanaume anakula na kuliwa at the same time.
Dunia kwasasa imeharibika sana ndio maana ukisikia mume wako ana mwanamke mwingine nje shukuru Mungu kuliko kusikia mume wako kumbe nae ni mke wa mtu.
Ni hayo tu
Sio kama nahamasisha uzinzi nje ya ndoa lahasha ila tambua kwamba kuna baadhi ya wanaume wameoa na wana watoto wamepata na wake zao lakini wanaume hao hao wakitoka kwenye nyumba zao ni wake za watu.
Hii kitaalamu tunaita "bisexual" yani mwanaume anakula na kuliwa at the same time.
Dunia kwasasa imeharibika sana ndio maana ukisikia mume wako ana mwanamke mwingine nje shukuru Mungu kuliko kusikia mume wako kumbe nae ni mke wa mtu.
Ni hayo tu