Ukisikia Paah Vs Mchuzi wangu ipi Collabo kali?

Ukisikia Paah Vs Mchuzi wangu ipi Collabo kali?

Chidi hakuuwa kwenye mchizi wangu sababu ananza na mistari ya kujisifu kwanza na sio kumuongela mchizi wake.

Mskilize mule
Fid Q
FA
J moo
Lordeyez
hata Adam Mchomvu aliendana na maana ya ngoma
 
Adam huwezi kumuweka katika hiyo cycle mkuu.

Yule alikuwa kwajili ya kujifurahisha.
 
Back
Top Bottom