Ukisikia urithi ndio huu; Mwananchi Kosovo ampa kura Hayati Magufuli badala ya wagombea waliokusudiwa

... huyo ka-download hiyo karatasi ya kura ya huko Kosovo, ka-print, kajaza ujinga aliotaka, then ka-scan na kui-post humu! Mataga at work!
We mbulula kweli... yaani nikafoji karatasi ya Kosovo tena uchaguzi usio na umaarufu wowote wa kameya tu ka mji ambao wala sio mji mkuu katika nchi ambayo haina uzito wowote duniani? Tena kauchaguzi kenyewe ni ka marudio ... hebu kuwa serious bwana. Magufuli mchukie lakini haki yake mpe. Mie mwenyewe nimefulia sana na kuishi kama shetani katika utawala wa Magufuli, lakini kazi yake nimeikubali sana. Ni bahati kwamba tulipata kiongozi wa aina yake.

Halafu hiyo karatasi inapatikana wapi mtandaoni pa kuipakua?

Jifunze kutathmini picha za mtandaoni kwa muktadha mpaka ili kujua feki na og.
 
Jibu acha kukoroma, taja rais wawili tu Africa walioenziwa.
Waliofariki wakiwa ofisini ni magufuli tuu kwa miaka ya hivi karibuni hao akina na gadafi wako waliuwawa katika migogoro ya kisiasa nchini mwao. So ni utaratibu wa UN kumuenzi mshirika wake.

Usikakamae kijana elewa hivyo.
 
Waliofariki wakiwa ofisini ni magufuli tuu kwa miaka ya hivi karibuni hao akina na gadafi wako waliuwawa katika migogoro ya kisiasa nchini mwao. So ni utaratibu wa UN kumuenzi mshirika wake.

Usikakamae kijana elewa hivyo.
Nkurunzinza vipi? Maana alikufa akiwa rais,alienziwa?au naye kulikuwa na mgogoro😂😂😂
 
Ahahahaha nimesoma juu ya karatasi ya kura nilipoona lugha iliyopo ni ki Serb, halafu muandiko wwa karamu ni wa Kingereza,ikabidi nijisemee muyoni 'HUYU NI MLA MAVI?'
 
Huo uhuru wa kutovaa barakoa kipindi kile cha mapema mwanzoni mwa mwaka jana uliua maelfu kwa maelfu ya watanzania kwa maambukizi ya covid19. Kirusi kilizunguka sana kwenye majiji makubwa na kikaua wazee wengi wenye umri wa wazazi wetu.
 
Hivi nyie mnajua watu wangapi wanamshuhudia Hittler kila mwaka?

Kuweni na akili. Dunia imejaa wapumbavu kibao wanaoamini hata ujinga.
 
Tushukuru Corona jamaa angetumaliza
 
Mungu hampeleki mtu motoni kwa kusikiliza majungu na chuki za wauza unga, vyeti feki, mafisadi, timu gaidi, wala rushwa, wapiga madili, wavivu, wezi
 
he is dead....i repeat, that monster is dead and long gone. my his soul continues to rot in hell fire.[emoji91][emoji91][emoji91][emoji91]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…