RayB
JF-Expert Member
- Nov 27, 2009
- 2,751
- 200
na kujiua vilevile umesahau.
Hasa hasa kama unatokea kule kwa kina Geof
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
na kujiua vilevile umesahau.
Kaka yangu Kigogo, ukiendelea na tamaa za namna hiyo hutaweza kumuona raisi wa awamu ya tano wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania. Au kwa kuwa siku hizi kuna ARV zakupa matumaini? Samahani kama nimekuumiza!!
mkuu
wapi hakuna kitu
si huyo mrembo wanaemsifia????
Mimi namuona wa hovyo......
WANAWAKE WENGINE NI WAZURI KIASI KWAMBA AKIWA NA BWANA HOE HAE KAMA MIMI HATA NIKIPORWA NA PEDESHEE, ITABIDI UGUZE MOYO, NA KUSONGA MBELE KUTAFUTA MWINGINE.
HEBU CHEKI KITU HIKI KIMEKAAA KAMA PEARL MAMAA YA THERENGETITHERENGETI..
![]()
watafiti wa mambo ya saikolojia wanasema wanaume wanaooa wanawake warembo/wazuri sana wana hatari kubwa ya kupata magonjwa mbalimbali nakufa mapema kwa sababu ya wasiwasi wa kunyang'anywa au kuzungukwa na watu wengine; sababu ya wivu, na hofu katika moyo. Daima wanakuwa na mawazo na tension kubwa. Hvyo ni hatari kuuugua. Ndo hayo ya kuoa mwanamke mrembo kama huyo wa hapo kwenye picha. Ukimwoa huyo jiandae kupata presha, kisukari,ugonjwa wa moyo na siku ya masiku moyo unapasuka. Kwe heri mwalimu!
Ukiona papai kwa nje utaona limeiva vizuri na linavutia kumbe ndani limeoza na halina hata radhaYaani hapoooooooooo..........hakyanani tena UTAUZA nyumba ya ulisi.......duuuuuuuu
...Mkuu mbona wapo wadada akivaa kama alivyovaa huyo Ireen huwezi kuangalia mara 2?? Huyu demu yuko bomba sana ukiondoa dosari zingine zinazomzonga.Jamani huyu dada ni mzuri au alivyovaa anavutia? maana sijui ni dada gani apige picha ya namna hiyo na aonekane mbaya
na kujiua vilevile umesahau.
Hivi irene uwoya na anti ezekiely yupi bomba?