Ukisikia wenye fwedha wamekupora mke usilalamike.

Ukisikia wenye fwedha wamekupora mke usilalamike.

Unajuwa kama huwezi kuendesha mzigo we 'hit and run' kwa sababu hata hao wenye pesa anawapa presha unakuta mzee akimuona hata na kaka yake roho inakuwa juu, Kuna mademu wengine ni 'viburudisho' I mean not every woman can make a wife!!!!!!!!!!
 
Du, ila huyu demu ni wa ukweli!!!!!
Ana kila sababu ya kumstua mwanamme alietulia kimawazo.
Nasema kumstua (electchemistry)!
 
Mbona mnapata presha nyie msiohusika ilhali Ndikumana mumewe hana presha wala nini.
 
Mbona mnapata presha nyie msiohusika ilhali Ndikumana mumewe hana presha wala nini.

hahahaha...WoS, Apo jamaa lazima inampanda na kushuka, na hivi sasa eti anajifanya anaigiza na RJ company etc. (najiuliza ana shida gani hadi ang'ang'anie filamu za kibongo) lazima jamaa presha inampanda japo hasemi watu wenyewe wale wale walokuwa nao kabla hata huyo Ndikumana hajamwona!
 
😀 Amependeza pendeza c unajua K yoyote ikiwa imekaa ki uchi uchi lazima itavutia kama imefunikwa na nguo....angeonyesha machine kabisa hapo ndo ningesema inafaa au haifaai..Lakini inaonyesha dalili kama hapo ni maji ya tope za kambalee....😀
 
Back
Top Bottom