Ukisikiliza audio ya kocha wa Yanga, ameongea ukweli mtupu. Uongozi wa Yanga haupendi kuambiwa ukweli

Ukisikiliza audio ya kocha wa Yanga, ameongea ukweli mtupu. Uongozi wa Yanga haupendi kuambiwa ukweli

Kwanza inabdi ujue alikuwa na sababu gani kuwaa attack mashabiki kwa maneno makali km hawajaelimika, iQ zao ndgo km manyani blabla nyingi wakati ugomvi wake yeye ni kati ya viongoz wa timu na yeye na sio mashabiki. Kwanza hana busara principal za uongozi hajui ni mbaguzi dhahiri halina kukwepesha chochote. Na pia nataka nikujuze mm ni shabiki wa Simba tena damu ila apa nazungumza km muafrika mtanzania. Hajapangiwa nyumba,gari,dstv bla bla zote ila lakujiuliza mashabiki wanahusika vipi hapo je ndio waliotakiwa walipe hayo mahitaji yake au...kwa maoni yangu kakosea Sana tena sio kawakosea yanga tuu, kawakosea watanzania pia na waafrika kwa ujumla. Umaskini wetu usiwe sababu ya mpuuzi mmoja kutuongelea maneno machafu alafu avumiliwe.
wote tunajua iq za mashabiki wa yanga ni ndogo na ni kweli akili zao kama za nyani tena amewapa ujiko maana sisi tulikuwa tunawaita vyura mnaambiwa ukweli mnaanza kulalamika nyie si ndio mlikuwa mkishangilia Morison akipanda juu ya mpira
 
Angeongelea tu hayo yanayohusu mazingira magumu ya kazi (usafiri, nyumba, viwanja vibovu, marefarii wabovu au wanapendelea), ingeweza kutosha na pengine hata angepata watetezi wengi tu. Hakuwa na sababu ya kufananisha mashabiki na nyani wakati anajua kuna upepo mbaya wa wabaguzi wengine wa rangi (sio yeye) ambao katika soka wamekuwa wakilitumia sana jina la nyani au kurusha ndizi uwanjani kwa blacks kuwalinganisha na nyani. Hapo ndipo alipochemka, na kwa kweli itamletea matatizo zaidi kama itafika huko juu kwa wenye soka
Au angetumia tu wanabweka Kama mbwa, hapo hata asingeshambuliwa sana
Ila neno nyani mzungu nilitumia kwa Mwafrika kwa namna yoyote Ile Mzee linahusishwa na ubaguzi wa rangi
 
Mpaka leo nashindwa kuelewa mkwasa aliwafanya nn hawa yanga.
Kipindi amekabidhiwa tim mbona ilikuwa inafanya vizuri?
 
Hakuna hoja ya kujibu hapo, naona mbumbumbu wanashangilia hata vitu wasivyovielewa

Kuna matusi ameongea kwa nchi na mengine kwa Yanga, lakini mbumbumbu wanadhani inawahusu Yanga tu
Acheni kujificha kwenye hoja dhaifu hizo!! Jibuni hoja za msingi alizoainisha, yaani kuitwa CHURA, na mbongo mwezako ni sawa tu, ila mzungu kukufananisha na NYANI, kutokana na matendo yako amekudharirisha?!!! Ila viongozi wenu wanawafahamu uwezo wa mashabiki wao ndio maana wanaleta upuuzi kama huu na wanajua mtawa sapoti!!! Eti bila aibu afukuzwe nchini haraka kwa mamlaka gani waliyo nayo? Wewe umemfukuza kazi basi, hayo mengine sio yako,. JIBUNI HOJA HIZO KWANZA.
 
Queens wanatapatapa sana
My%20Paintingspaintology_Simba%20Queens.jpeg
 
Habari wadau,

Nimesikiliza Audio ya kocha wa Yanga maneno aliyoyasema ni ya kweli tupu. Mimi ni mwanayanga ila sijasikia sehemu akitutukana.
Umesikiliza lakini I doubt kama ulimpata neno kwa neno kwa sababu endapo ungempata neno kwa neno, ungegundua Eymael ameukashifu uongozi wa Yanga, Mashabiki wa Yanga, Simba, TFF, na Tanzania kwa ujumla!!

Kwa mfano kuna sehemu amesema "I'm not enjoying this country. People are uneducated." Sasa wewe usie Yanga unachomokaje kwenye kauli hiyo?! Kwani hiyo "this country" ambayo watu wake ni "uneducated" ni nchi ya Yanga peke yake?!

Kama mashabiki wa Yanga ni wapiga kelele tu kama nyani au mbwa, na wahajui lolote kuhusu soka; je wewe shabiki wa Simba una tofauti ipi na shabiki wa Yanga? Kama shabiki wa Yanga ni sawa na Nyani au Mbwa, wewe unakoseje hapo kuwa nyani au mbwa?! What's so special wanachofanya mashabiki wa Yanga ambacho mashabiki wa Simba hawafanyi?

Kwamba TFF ipo mikononi mwa Simba, na kwamba kazi yao ni kuipendelea Simba, ina maana kwako huo ndio kweli sio?! Kwahiyo unataka kutudhihirishia hapa kwamba ni kweli mnabebwa na TFF?!

Kwamba away pitches ni kama viwanja vya Daraja la 7 au la 8 kule Ulaya; yaani kwa akili yako unaona huo ni ukweli dhidi ya Yanga?! Kwani Yanga ndie mmiliki wa hivyo viwanja?!

Hivi Luc Eymael huyu aliyewahi kufundisha DRC, Rwanda, na Kenya unataka kusema huko alikutana na viwanja vizuri?!

Btw, hivi ni taifa gani lenye mashabiki wa soka wanaojua technical side of soccer hadi aseme mashabiki wa Yanga hawajui lolote kuhusu soka?! Nyie mashabiki wa Simba mmesomea wapi taaluma ya soka inayowafanya muwe tofauti na mashabiki wa Yanga?!
 
Umesikiliza lakini I doubt kama ulimpata neno kwa neno kwa sababu endapo ungempata neno kwa neno, ungegundua Eymael ameukashifu uongozi wa Yanga, Mashabiki wa Yanga, Simba, TFF, na Tanzania kwa ujumla!!

Kwa mfano kuna sehemu amesema "I'm not enjoying this country. People are uneducated." Sasa wewe usie Yanga unachomokaje kwenye kauli hiyo?! Kwani hiyo "this country" ambayo watu wake ni "uneducated" ni nchi ya Yanga peke yake?!

Kama mashabiki wa Yanga ni wapiga kelele tu kama nyani au mbwa, na wahajui lolote kuhusu soka; je wewe shabiki wa Simba una tofauti ipi na shabiki wa Yanga? Kama shabiki wa Yanga ni sawa na Nyani au Mbwa, wewe unakoseje hapo kuwa nyani au mbwa?! What's so special wanachofanya mashabiki wa Yanga ambacho mashabiki wa Simba hawafanyi?

Kwamba TFF ipo mikononi mwa Simba, na kwamba kazi yao ni kuipendelea Simba, ina maana kwako huo ndio kweli sio?! Kwahiyo unataka kutudhihirishia hapa kwamba ni kweli mnabebwa na TFF?!

Kwamba away pitches ni kama viwanja vya Daraja la 7 au la 8 kule Ulaya; yaani kwa akili yako unaona huo ni ukweli dhidi ya Yanga?! Kwani Yanga ndie mmiliki wa hivyo viwanja?!

Hivi Luc Eymael huyu aliyewahi kufundisha DRC, Rwanda, na Kenya unataka kusema huko alikutana na viwanja vizuri?!

Btw, hivi ni taifa gani lenye mashabiki wa soka wanaojua technical side of soccer hadi aseme mashabiki wa Yanga hawajui lolote kuhusu soka?! Nyie mashabiki wa Simba mmesomea wapi taaluma ya soka inayowafanya muwe tofauti na mashabiki wa Yanga?!
Tatizo tunajadili mabaya yake hatujadili mengine ambayo yana ukweli ndani ukichukulia viwanja vingi vya mkoani sio rafiki lakini wamekuwa wakilazimisha mpira uchezwe kwa sababu za kisiasa lakini wangefungia viwanja hivyo ni wazi vingeboreshwa
 
Umesikiliza lakini I doubt kama ulimpata neno kwa neno kwa sababu endapo ungempata neno kwa neno, ungegundua Eymael ameukashifu uongozi wa Yanga, Mashabiki wa Yanga, Simba, TFF, na Tanzania kwa ujumla!!

Kwa mfano kuna sehemu amesema "I'm not enjoying this country. People are uneducated." Sasa wewe usie Yanga unachomokaje kwenye kauli hiyo?! Kwani hiyo "this country" ambayo watu wake ni "uneducated" ni nchi ya Yanga peke yake?!

Kama mashabiki wa Yanga ni wapiga kelele tu kama nyani au mbwa, na wahajui lolote kuhusu soka; je wewe shabiki wa Simba una tofauti ipi na shabiki wa Yanga? Kama shabiki wa Yanga ni sawa na Nyani au Mbwa, wewe unakoseje hapo kuwa nyani au mbwa?! What's so special wanachofanya mashabiki wa Yanga ambacho mashabiki wa Simba hawafanyi?

Kwamba TFF ipo mikononi mwa Simba, na kwamba kazi yao ni kuipendelea Simba, ina maana kwako huo ndio kweli sio?! Kwahiyo unataka kutudhihirishia hapa kwamba ni kweli mnabebwa na TFF?!

Kwamba away pitches ni kama viwanja vya Daraja la 7 au la 8 kule Ulaya; yaani kwa akili yako unaona huo ni ukweli dhidi ya Yanga?! Kwani Yanga ndie mmiliki wa hivyo viwanja?!

Hivi Luc Eymael huyu aliyewahi kufundisha DRC, Rwanda, na Kenya unataka kusema huko alikutana na viwanja vizuri?!

Btw, hivi ni taifa gani lenye mashabiki wa soka wanaojua technical side of soccer hadi aseme mashabiki wa Yanga hawajui lolote kuhusu soka?! Nyie mashabiki wa Simba mmesomea wapi taaluma ya soka inayowafanya muwe tofauti na mashabiki wa Yanga?!
Jibu lako limemaliza kila kitu umemjibu kisomi zaidi jamiiforum inaitaji Aina ya watu Kama wewe me japo Ni mshabiki wa Simba lakini naunga mkono hoja yako.
 
Tatizo tunajadili mabaya yake hatujadili mengine ambayo yana ukweli ndani ukichukulia viwanja vingi vya mkoani sio rafiki lakini wamekuwa wakilazimisha mpira uchezwe kwa sababu za kisiasa lakini wangefungia viwanja hivyo ni wazi vingeboreshwa
You can't be serious!! Yaani viwanja vya mikoani wamekuwa wakilazimisha mpira uchezwe kwa sababu za kisiasa au ni kwa sababu ndo viwanja vyenyewe vilivyopo?!

Hivi mtu ambae amefundisha mpira DRC, Rwanda, Gabon na hata Kenya bado alienda Tanzania huku akiamini viwanja vya Tz vitakuwa bora sana ukilinganisha na nchi zingine alizowahi kufundisha soka?! Ina maana alitarajia kukuta vyumba bora vya kubadilishia kuliko alivyoviona kwenye hizo nchi zingine?

According to Wikipedia, hapa chini ndio timu ambazo Luc Eymael amezifundisha kwa nyakati tofauti tofauti!

Yanga.png

Over the past 10 years, hakuna club yoyote ambayo amekaa kwa zaidi ya mwaka mmoja... hivi huoni kwamba huyo mtu ana matatizo?! To be honest, mimi binafsi niliwashangaa sana Yanga kumchukua mtu mwenye CV ya aina hiyo! Hivi hata wewe kama ni HR, unapokea CV ya mtu ambae hatulii na ofisi moja; huwezi kuhisi there's something wrong with him/her?!

Na hilo wala halishangazi kwa sababi Agent mmoja kutoka South Africa amesema wazi kwamba:-
"Luc Eymael in person he is a very friendly guy, he is a good guy off the field, he is not a racist," tells KickOff.com.

"But his problem is he wants to be both coach and agent at the same time, he loves money. He wants to control the whole team, he doesn't want anyone to tell him anything.

"He can unsettle any team because he loves money. Me and him we had issues when he took some of my players to another agent and sometimes he wouldn't play them.
According to tovuti ya kickoff.com, huyo Agent anamfahamu vizuri Eymael kwa sababu amewahi kufanya nae kazi!

Kwahiyo mengine aliyosema ni porojo tu kwa sababu Eymael sio mgeni wa viwanja vya hovyo kwa sababu sehemu kubwa ya career yake amefanyia Afrika, tena South of Sahara!
 
Jibu lako limemaliza kila kitu umemjibu kisomi zaidi jamiiforum inaitaji Aina ya watu Kama wewe me japo Ni mshabiki wa Simba lakini naunga mkono hoja yako.
The problem watu tunaleta ushabiki bila kuangalia uhalisia!! Watu wanasahau mahali kama US, black kwa black wanaitana Nigger lakini Mzungu huwezi kumwita black Nigger no matter what; na ukifanya hivyo haitakuwa umemkosea yule tu uliyemwita bali the whole of the black community in America!!!

Watu wanasahau hata washikaji wenyewe kwa wenyewe ni kawaida sana kumsikia mtu akimwambia mwenzake (mshikaji) kwamba "we jamaa msen'ge" lakini katu hilo haliwezi kuchukuliwa ni tusi lakini simulizi itakuwa nyingine endapo sentensi hiyo hiyo ingesemwa na mwingine ambae sio mshikaji!!

Wenyewe kwa wenyewe tunaweza kuitana chura, nyumbu, and so on na hiyo itachukuliwa utani lakini sio mtu mwingine, tena especially Mzungu ambae duniani kote anafahamika tusi analokimbilia kumtamkia mwafrika ni "monkey"!

Korofishana na Mzungu yeyote, at the peak of his anger, kuna uwezekano mkubwa akaishia kukufananisha na monkey tu!!!
 
Back
Top Bottom