Soma course (tafuta maarifa) ambayo utaweza kujiajiri na kuajiriwa. Yaani isiwe kuajiriwa peke yake.
Mfano
1. Accounting and finance
2. Computer science and IT
3. Medicine
Etc
Kwa economics and sociology sioni mahali utajiariji endapo utakosa ajira.
Kutokana na mabadiliko ya kiteknolojia ,course nyingi za vyuoni zimepitwa na wakati