Ukisoma waraka wa Chacha Wangwe (rip), Mbowe alighushi majina ya viti maalum uchaguzi wa 2005. Huu ni ushahidi kuwa kwenye COVID-19 kuna mkono wake

Ukisoma waraka wa Chacha Wangwe (rip), Mbowe alighushi majina ya viti maalum uchaguzi wa 2005. Huu ni ushahidi kuwa kwenye COVID-19 kuna mkono wake

G4N

JF-Expert Member
Joined
Apr 6, 2014
Posts
4,283
Reaction score
9,925
Soma mwenyewe hii sehemu inayopatikana ktk Waraka wa Chacha Wangwe alioutoa wakati anagombea nafasi ya Uenyekiti Chadema Taifa".

Soma mwenyewe hapa chini sehemu ya waraka huo:

UTEUZI WA WABUNGE WA VITI MAALUM
...."Naamini ukweli wa suala hili hauna mjadala. Kwamba Mhe. MBOWE na wafuasi wake walighushi orodha ya majina ya viti Maalum badala ya kupeleka yaliyopendekezwa na Kamati Kuu hii siyo siri.

Naamini hata Mhe. MBOWE anakubaliana nami kuwa suala hili si moja ya siri anazodai nimevujisha! Yamesemwa mengi juu ya mtafaruku uliojitokeza kuhusu viti maalum hadi baadhi ya waasisi wa chama wakataka kujitoa na hivyo kumlazimisha Mwenyekiti Taifa ( FREEMN MBOWE) na Katibu Mkuu (DR WILBROAD SLAA) kukiomba radhi kikao cha Kamati Kuu ya CHADEMA kwa kukiuka katiba, kanuni na maadili ya chama katika suala hili la kugushi viti maalum......"


Mbowe alishazoea hii tabia ya kuwazunguka wenzake na kughushi majina ya viti maalum. Hivyo hata akina Halima Mdee walipelekwa bungeni na ghusi za Mbowe.
 
Sidhani kama Erythrocyte sasa hv atakuwa anapigwa miti vzr na jamaa ake mana DJ sasa hv ana stress kinoma 😂
 
Soma mwenyewe hii sehemu inayopatikana ktk Waraka wa Chacha Wangwe alioutoa wakati anagombea nafasi ya Uenyekiti Chadema Taifa".

Soma mwenyewe hapa chini sehemu ya waraka huo:

UTEUZI WA WABUNGE WA VITI MAALUM
...."Naamini ukweli wa suala hili hauna mjadala. Kwamba Mhe. MBOWE na wafuasi wake walighushi orodha ya majina ya viti Maalum badala ya kupeleka yaliyopendekezwa na Kamati Kuu hii siyo siri.

Naamini hata Mhe. MBOWE anakubaliana nami kuwa suala hili si moja ya siri anazodai nimevujisha! Yamesemwa mengi juu ya mtafaruku uliojitokeza kuhusu viti maalum hadi baadhi ya waasisi wa chama wakataka kujitoa na hivyo kumlazimisha Mwenyekiti Taifa ( FREEMN MBOWE) na Katibu Mkuu (DR WILBROAD SLAA) kukiomba radhi kikao cha Kamati Kuu ya CHADEMA kwa kukiuka katiba, kanuni na maadili ya chama katika suala hili la kugushi viti maalum......"


Mbowe alishazoea hii tabia ya kuwazunguka wenzake na kughushi majina ya viti maalum. Hivyo hata akina Halima Mdee walipelekwa bungeni na ghusi za Mbowe.

Mbowe ni fala sana na hana akili ,hekima wala Busara . Huu uchaguzi utamshushia sana heshima .

Mtu yeyote mwenye tamaa ya madaraka ni mtu wa kumuogopa kama ukoma. Yeye anadhani kuwa Chadema ni chama cha ukoo.
Iko wazi sasa bila ubishi kuwa alihusika kifo cha chacha kwa tamaa na hofu ya kupigwa chini Uenyekiti. Robo karne sasa yupo Madarakani lakini bado tamaa yake na mbinu zake ni zile zile na roho yake mbaya. Muone alivyo ; Bilionea mkubwa. 😡😡😡😡
 
Soma mwenyewe hii sehemu inayopatikana ktk Waraka wa Chacha Wangwe alioutoa wakati anagombea nafasi ya Uenyekiti Chadema Taifa".

Soma mwenyewe hapa chini sehemu ya waraka huo:

UTEUZI WA WABUNGE WA VITI MAALUM
...."Naamini ukweli wa suala hili hauna mjadala. Kwamba Mhe. MBOWE na wafuasi wake walighushi orodha ya majina ya viti Maalum badala ya kupeleka yaliyopendekezwa na Kamati Kuu hii siyo siri.

Naamini hata Mhe. MBOWE anakubaliana nami kuwa suala hili si moja ya siri anazodai nimevujisha! Yamesemwa mengi juu ya mtafaruku uliojitokeza kuhusu viti maalum hadi baadhi ya waasisi wa chama wakataka kujitoa na hivyo kumlazimisha Mwenyekiti Taifa ( FREEMN MBOWE) na Katibu Mkuu (DR WILBROAD SLAA) kukiomba radhi kikao cha Kamati Kuu ya CHADEMA kwa kukiuka katiba, kanuni na maadili ya chama katika suala hili la kugushi viti maalum......"


Mbowe alishazoea hii tabia ya kuwazunguka wenzake na kughushi majina ya viti maalum. Hivyo hata akina Halima Mdee walipelekwa bungeni na ghusi za Mbowe.

TAL & Lumumba company at work. Big up sana mkuu
 
Mbowe ni fala sana na hana akili ,hekima wala Busara . Huu uchaguzi utamshushia sana heshima .

Mtu yeyote mwenye tamaa ya madaraka ni mtu wa kumuogopa kama ukoma. Yeye anadhani kuwa Chadema ni chama cha ukoo.
Iko wazi sasa bila ubishi kuwa alihusika kifo cha chacha kwa tamaa na hofu ya kupigwa chini Uenyekiti. Robo karne sasa yupo Madarakani lakini bado tamaa yake na mbinu zake ni zile zile na roho yake mbaya. Muone alivyo ; Bilionea mkubwa. 😡😡😡😡
Amejiharibia sn hakuna mwananchi wa kawaida anamtaka
 
Mbowe ni fala sana na hana akili ,hekima wala Busara . Huu uchaguzi utamshushia sana heshima .

Mtu yeyote mwenye tamaa ya madaraka ni mtu wa kumuogopa kama ukoma. Yeye anadhani kuwa Chadema ni chama cha ukoo.
Iko wazi sasa bila ubishi kuwa alihusika kifo cha chacha kwa tamaa na hofu ya kupigwa chini Uenyekiti. Robo karne sasa yupo Madarakani lakini bado tamaa yake na mbinu zake ni zile zile na roho yake mbaya. Muone alivyo ; Bilionea mkubwa. 😡😡😡😡
😂😂😂😂😂😂Acha makasiriko .
Siasa ukiwa na hasira utakua na chuki na visasi kama Mbowe .Mwishowe utatoa pesa ili watu wa tekwe na kuuawa .

Ule ukanda bhana kwenye maslahi ni hatari sana . Miaka ya nyuma kule Arusha wafanyabiashara walikua wanauana sana kutafuta maslahi ya kibiashara . Kwa hiyo kumtetea huyo gaidi ni hatari sana .
 
Mbowe ni Mpiga dili toka kitambo, Kweli jamaa no dikiteta waraka wa Wangwe umejaa ukweli uliokua unasemwanni uongo sasa Lissu anakuja kufufua ukweli uliokua kwenye walaka wa Chacha wangwe
 
Wamezoea haya masuala. Wakati wanaandaa katiba yao ya sasa hawakujadili suala la ukomo wa uongozi. Lakini katiba iliyokuja kuchapwa ikawa imeondoa ukomo wa uongozi. Uhuni uhuni tu.
 
Hizo zinazoitwa siri za chama kumbe ndio huu uhuni?
Chama lazima kirudishwe kwa wanachama
Soma mwenyewe hii sehemu inayopatikana ktk Waraka wa Chacha Wangwe alioutoa wakati anagombea nafasi ya Uenyekiti Chadema Taifa".

Soma mwenyewe hapa chini sehemu ya waraka huo:

UTEUZI WA WABUNGE WA VITI MAALUM
...."Naamini ukweli wa suala hili hauna mjadala. Kwamba Mhe. MBOWE na wafuasi wake walighushi orodha ya majina ya viti Maalum badala ya kupeleka yaliyopendekezwa na Kamati Kuu hii siyo siri.

Naamini hata Mhe. MBOWE anakubaliana nami kuwa suala hili si moja ya siri anazodai nimevujisha! Yamesemwa mengi juu ya mtafaruku uliojitokeza kuhusu viti maalum hadi baadhi ya waasisi wa chama wakataka kujitoa na hivyo kumlazimisha Mwenyekiti Taifa ( FREEMN MBOWE) na Katibu Mkuu (DR WILBROAD SLAA) kukiomba radhi kikao cha Kamati Kuu ya CHADEMA kwa kukiuka katiba, kanuni na maadili ya chama katika suala hili la kugushi viti maalum......"


Mbowe alishazoea hii tabia ya kuwazunguka wenzake na kughushi majina ya viti maalum. Hivyo hata akina Halima Mdee walipelekwa bungeni na ghusi za Mbowe.
 
Soma mwenyewe hii sehemu inayopatikana ktk Waraka wa Chacha Wangwe alioutoa wakati anagombea nafasi ya Uenyekiti Chadema Taifa".

Soma mwenyewe hapa chini sehemu ya waraka huo:

UTEUZI WA WABUNGE WA VITI MAALUM
...."Naamini ukweli wa suala hili hauna mjadala. Kwamba Mhe. MBOWE na wafuasi wake walighushi orodha ya majina ya viti Maalum badala ya kupeleka yaliyopendekezwa na Kamati Kuu hii siyo siri.

Naamini hata Mhe. MBOWE anakubaliana nami kuwa suala hili si moja ya siri anazodai nimevujisha! Yamesemwa mengi juu ya mtafaruku uliojitokeza kuhusu viti maalum hadi baadhi ya waasisi wa chama wakataka kujitoa na hivyo kumlazimisha Mwenyekiti Taifa ( FREEMN MBOWE) na Katibu Mkuu (DR WILBROAD SLAA) kukiomba radhi kikao cha Kamati Kuu ya CHADEMA kwa kukiuka katiba, kanuni na maadili ya chama katika suala hili la kugushi viti maalum......"


Mbowe alishazoea hii tabia ya kuwazunguka wenzake na kughushi majina ya viti maalum. Hivyo hata akina Halima Mdee walipelekwa bungeni na ghusi za Mbowe.
Mbowe must go
 
Back
Top Bottom