Pre GE2025 Ukistaajabu ya Musa utaona ya firauni, Mbowe ashangaa huyu ndiye Lissu ninayemjua?

Pre GE2025 Ukistaajabu ya Musa utaona ya firauni, Mbowe ashangaa huyu ndiye Lissu ninayemjua?

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)

Mwande na Mndewa

JF-Expert Member
Joined
Feb 26, 2021
Posts
1,117
Reaction score
3,153
Tundu Lissu kageuzia bunduki yake kwa Freeman Mbowe, wakati bunduki yake ikimpiga Hayati Rais Magufuli, walifurahia, wakati bunduki ya Lissu ikimpiga Paul Makonda, Mbowe alifurahia, Leo anasema eti Lissu hana fadhila kwa vidogo je itakuwa kwa vikubwa?

Eti Mbowe anashangaa na kumuuliza Kikeke,"Huyu ndiye Tundu Lissu,the boy,the guy,the friend, I knew?"..🤣

 
Tundu Lissu kageuzia bunduki yake kwa Mbowe,wakati bunduki yake ikimpiga Hayati Rais Magufuli,walifurahia,wakati bunduki ya Lissu ikimpiga Paul Makonda,Mbowe alifurahia,Leo anasema eti Lissu hana fadhila kwa vidogo je itakuwa kwa vikubwa!? Eti Mbowe anashangaa na kumuuliza Kikeke,"Huyu ndiye Tundu Lissu,the boy,the guy,the friend,I knew!!?"..🤣
ameshangaa shukrani ya punda ilivyo na mateke makali dah 🐒
 
Halafu inashangaza kwenye utafiti wangu mdogo nilioufanya kwa kuwahoji baadhi ya Makamanda; wengi wanamuunga mkono Mh. Tundu Lissu, na sababu kuu walizozitoa ni hizi hapa;
1. Mh. Mbowe amekiuza chama chetu kwa Samia,siku hizi anamsifia ,alipotoka jela alienda Ikulu kulamba asali,alimpinga Rais Magufuli kwa sababu alikataa kuwalambisha asali,kama kweli Freeman Mbowe angekuwa anataka kuikomboa nchi hii basi angeungana na Rais Magufuli aliyekuwa na nia ya kuikomboa Tanzania kwa asilimia 120%,tumalizid tu Mbowe amechoka kifikra hadi katuuza sasa ifikie wakati apumzike sasa ili na wengine nao waendeleze pale alipoishia.
2. Chama kinahitaji mabadiliko ya uongozi ili kuondoa ile dhana potofu inayotumiwa na wapinzani wetu, ya kukihusisha chama chetu kimelambishwa asali na hivyo hakuna nguvu yoyote ya kumpinga Samia.

Hizi ni sababu kuu mbili ambazo makamanda wengi wanazitoa. Ila kwa kupitia nguvu ya pesa na ushawishi; lolote linaweza kutokea.
 
Dr Slaa anasema, kiini cha vita hii ya siasa za madaraka ya uongozi kati ya FREEMAN MBOWE na TUNDU LISSU, ni kwa sababu mapatano ya Samia na Mbowe ni kuwa, yeye Freeman Mbowe ndiyo agombee u - Rais ktk uchaguzi mkuu mwaka huu 2025 kwa tiketi ya CHADEMA na sio Tundu Lissu. Mama Abdul atatoa mapesa mengi kwa CHADEMA na watapata/achiwa/shindishwa kwenye majimbo kadhaa ya ubunge...!
 
Inasemekana Moja ya makubaliano ya kilichoitwa "maridhiano" ni Freeman Mbowe kuhakikisha Tundu Lissu "anatoka katika picha" kabisa ya CHADEMA kwa kutokuwa na nafasi yoyote ya uongozi. Sasa anza kuunganisha dots:

✓ Ndiyo maana TL aliwekewa Hezekiah Wenje apambane naye kwenye nafasi ya Umakamu mwenyekiti. System ingehakikisha Wenje anashinda iwe mvua au jua huku Freeman Mbowe naye akiwa mgombea pekee au akiwekewa mshindani dhaifu kwenye Uenyekiti..
 
Sultani ni mfa maji haishi kutapatapa.
 
#Sasa unaweza kuelewa ni kwanini TL mara kwa mara anayaponda maridhiano hayo na kusema wazi "Kuna mengi nyuma ya pazia ambayo Mwenyekiti huwa hawaambii wenzake kwenye hii kitu inayoitwa maridhiano..."
 
Chadema ya mbowe haiwezi kusaidia wananchi kwa chochote kile, ni afadhali ujiunge na UWT.. 🤒
 
Huyuhuyu mbowe aliyemtukana Magufuli baada ya kufariki pumbav kabisa. Mtukane mtu akiwa hai akifariki achana naye.Huyu msenge anadhan akifanya hivyo atapata dhawabu ngoja akione cha moto na lichama lao life kabisa pumbav
 
  • Thanks
Reactions: G4N
Huu uchaguzi umetufunulia mengi yaliyofichika

🔹Huu uchaguzi umetufanya tuwajue wapumbavu tulioona Wana akili.
🔹Huu uchaguzi umetufanya tujue wakweli na waongo.
🔹Huu uchaguzi umetuumiza sana kwa kutuonesha tuliowaamini wengi wasaliti
🔹Huu uchaguzi umepindua meza huku mjengoni wale mashujaa wanajificha kwenye mashimo kama panya wakichungulia juu kwa tahadhari.
🔹Huu uchaguzi unaibua na kukuza wanaharakati wapya nawa kweli
🔹Huu uchaguzi umetuleta wabangaizaji pamoja.
🔹Huu uchaguzi umedhihirisha nguvu ya umma.
🔹Huu uchaguzi umekuwa fagio la kuwafagia waovu.
🔹Huu uchaguzi umekuwa nyota ya harakati mpya nchini Lissu ashinde asishinde harakati za kweli zimezaliwa upya uongo umefikia mwisho.

Hongera Lissu . Hongera Heche
Hongera wabangaizaji .
Unaweza kuongeza yaliyoibuliwa na huu uchaguzi
 
Lissu atawanyosha sana Uchawa nchi hii utaisha .
Kama Magu alivyosema wapiga dili mwisho wao.
Na kweli wale walikuwa wanakaa pale Lumumba bila kazi,walinyoka.
Sasa tunakuja kwa MACHAWA ndani ya CHADEMA
 
Lema amemtaja mara 3 kuwa alikuwa miongoni mwa waasisi na kwamba ndiye peke yake aliyesalia na akasema asiondoke kwa aibu atunze heshima yake kwa kuwaachia wengine,hata akasema ni bora kiwafie hao wengine ambao yeye anawahofia😀
 
Katika majaribu makubwa ambayo CDM imewahi kuyapitia ni hili la uchaguzi wa M/Taifa wa mojawapo Kw kuwa limeshikilia mustakabali wa chama hiki kwa sababu bsara hazikutumika watu hawa wawili kugombea nafasi moja
 
Tundu Lissu kageuzia bunduki yake kwa Freeman Mbowe, wakati bunduki yake ikimpiga Hayati Rais Magufuli, walifurahia, wakati bunduki ya Lissu ikimpiga Paul Makonda, Mbowe alifurahia, Leo anasema eti Lissu hana fadhila kwa vidogo je itakuwa kwa vikubwa?

Eti Mbowe anashangaa na kumuuliza Kikeke,"Huyu ndiye Tundu Lissu,the boy,the guy,the friend, I knew?"..🤣

View attachment 3195335
Na yeye akina lissu, lema, heche na msigwa walikuwa wanashangaa huyu ni mbowe tunayemjua?
Alitaka kuwakata kama alivyowakata wengine sasa yamekuwa yalivyokuwa.
 
Wanachama wa Chadema wanaosema Mbowe kachoka Kwa kuwa Madarakani muda mrefu akiwa wapo sahihi ila Mbowe ni mwanasiasa mahiri kuwahi kuongoza chama cha upinzani Tanzania ukimtoa Maalim Self.

Lissu ni mpiga kelele mzuri tu lakini hana leadership skills, tunamfananisha Lissu na kiranja mkuu wa shule au nyapara wa magereza wanaochaguliwa kutokana na kelele zao huko jela au shuleni.
 
Magufuli hakuwa Politicians.
Lakini aliwanyosha Machawa na wapiga dili wa Lumumba .
Mpa leo ule chafu pale Lumumba huopo tena na bahasha zao.
Huyo mama amaacha mambo ya Magufuli ameleta uchawa.
Mpa upewe cheo ,uwe chawa wa CCM.
 
CHADEMA imegawanyika katika pande mbili-ya Mbowe na Lissu...mgawanyo unaotishia mustakabali wa chama hicho kikuu cha upinzani nchini hili oyaoya wengi hawataki kulielewa na hawajui athari za Mgawanyiko huu
 
Wachaga hawawezi kumuachia Muhuni Kicoba chao?Lisu atoke nae akaanzishe chama chake kama Zito
 
Chanzo cha mtafaruku unaondelea Chadema sasa ni "maridhiano binafsi" kati ya Mbowe na Samia ya kuhakikisha Lissu asipate nafasi yoyote ya uongozi ndani ya Chadema. Kitendo cha Mbowe kula njama na Samia ambaye ni hasimu mkubwa wa Chadema kinatosha kumnyima kura kabisa Mbowe,iweje ashirikiane na mtu ambaye mikono yake imejaa damu za wanachadema kina Mzee Kibao, Kipanya,Soka na wenzake?
 
Back
Top Bottom