Ukistaajabu ya Musa, utayaona ya Firauni. Eti Askofu Gwajima anataka kuwapeleka Tokyo Japan wacheza rede wa Msasani

Ukistaajabu ya Musa, utayaona ya Firauni. Eti Askofu Gwajima anataka kuwapeleka Tokyo Japan wacheza rede wa Msasani

Askofu Gwajima leo amesema tena kwamba atawapeleka wacheza rede Japan.

Sijui huyu baba anatuonaje wananchi wa jambo la Kawe?

Alishawahi kutuahidi kutupeleka Marekani, lakini hadi leo hamna mwana Kawe hata mmoja aliyewahi kupelekwa huko.

Huyu baba ameshawahi kutuambia yeye ni Muislam na Rashidi ndio jina lake.

Gwajima pia ameshawahi kusema amenunua treni kwa fedha taslimu.

Hivi huwa uwongo unamsaidia nini?
Maigizo ya ufufuo na uzima... uliona wapi yakakoma!?
 
Askofu Gwajima leo amesema tena kwamba atawapeleka wacheza rede Japan.

Sijui huyu baba anatuonaje wananchi wa jambo la Kawe?

Alishawahi kutuahidi kutupeleka Marekani, lakini hadi leo hamna mwana Kawe hata mmoja aliyewahi kupelekwa huko.

Huyu baba ameshawahi kutuambia yeye ni Muislam na Rashidi ndio jina lake.

Gwajima pia ameshawahi kusema amenunua treni kwa fedha taslimu.

Hivi huwa uwongo unamsaidia nini?
Na kingreza cha kimtindo
 
Askofu Gwajima leo amesema tena kwamba atawapeleka wacheza rede Japan.

Sijui huyu baba anatuonaje wananchi wa jambo la Kawe?

Alishawahi kutuahidi kutupeleka Marekani, lakini hadi leo hamna mwana Kawe hata mmoja aliyewahi kupelekwa huko.

Huyu baba ameshawahi kutuambia yeye ni Muislam na Rashidi ndio jina lake.

Gwajima pia ameshawahi kusema amenunua treni kwa fedha taslimu.

Hivi huwa uwongo unamsaidia nini?
jumapili yuko mikocheni ,sijui nako atawaahaidi kuwa peleka wapi?
 
Tanzania Wajinga Ni Wengi Sana

By Godwin Mollel

"""""""""""""""""""""""""""""""""""""""""
Muda Sasa Umefika Wanasiasa Kutafuta Mitaji Yao Ambao ni Wananchi.

Yaani Kama Vile Wameturoga, Kwanza Mwakani Kuna Uchaguzi Wa Serikali Za Mitaa Halafu 2025 Uchaguzi Mkuu
Naona kawe wameanza na akina mama kupitia rede kuwarubuni
 
Askofu Gwajima leo amesema tena kwamba atawapeleka wacheza rede Japan.

Sijui huyu baba anatuonaje wananchi wa jambo la Kawe?

Alishawahi kutuahidi kutupeleka Marekani, lakini hadi leo hamna mwana Kawe hata mmoja aliyewahi kupelekwa huko.

Huyu baba ameshawahi kutuambia yeye ni Muislam na Rashidi ndio jina lake.

Gwajima pia ameshawahi kusema amenunua treni kwa fedha taslimu.

Hivi huwa uwongo unamsaidia nini?
Gwajima ni kama amechanganyikiwa
 
Mama yake tu alishindwa, sembuse Amina Chifupa. Na watu walimsema sana siku ya msiba wa mama yake.
Alianza kwa kudai angemfufua Amina Chifupa na hakuweza. Kisha kwa hadaa akadai kamfufua mtu kanisani kwake na video ya tukio hilo itakuwepo mitandaoni. Lakini mama yake mzazi alipofariki miaka michache iliyopita badala ya kumfufua ili awathibitishie walimwengu kuwa anao uwezo wa kufufua wafu yeye akadai hana haja ya kumfufua kwa vile ameshakuwa mzee sana hivyo amwache tu aende akapumzike kwa baba yaani Mungu! Buswelu sekondari (iliyo mkoani Mwanza) mwaka huo ilikuwa na mkosi sana wa kutoa intake iliyojumuisha watu wawili hatari sana kwenye jamii yaani Gwajima na Baba God (Godfrey Mugyabuso) aliyekuwa na kanisa lake pembeni mwa barabara ya kwenda hospitali ya Bugando na baadae Kangaye huko jijini Mwanza.
 
Alianza kwa kudai angemfufua Amina Chifupa na hakuweza. Kisha kwa hadaa akadai kamfufua mtu kanisani kwake na video ya tukio hilo itakuwepo mitandaoni. Lakini mama yake mzazi alipofariki miaka michache iliyopita badala ya kumfufua ili awathibitishie walimwengu kuwa anao uwezo wa kufufua wafu yeye akadai hana haja ya kumfufua kwa vile ameshakuwa mzee sana hivyo amwache tu aende akapumzike kwa baba yaani Mungu! Buswelu sekondari (iliyo mkoani Mwanza) mwaka huo ilikuwa na mkosi sana wa kutoa intake iliyojumuisha watu wawili hatari sana kwenye jamii yaani Gwajima na Baba God (Godfrey Mugyabuso) aliyekuwa na kanisa lake pembeni mwa barabara ya kwenda hospitali ya Bugando na baadae Kangaye huko jijini Mwanza.
Yeah nailed it.
 
Amegundua wapiga kula wake wengi, ni mazuzu! Hawana passport, lakini wanaamini wataenda Japan! Hata Iringa, Arusha hawajawahi fika Ila wanaamini Asia watafika?
Kwani ili uende Japan ni lazima kwanza kufika mikoa uliyotaja?
 
Back
Top Bottom