Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Maigizo ya ufufuo na uzima... uliona wapi yakakoma!?Askofu Gwajima leo amesema tena kwamba atawapeleka wacheza rede Japan.
Sijui huyu baba anatuonaje wananchi wa jambo la Kawe?
Alishawahi kutuahidi kutupeleka Marekani, lakini hadi leo hamna mwana Kawe hata mmoja aliyewahi kupelekwa huko.
Huyu baba ameshawahi kutuambia yeye ni Muislam na Rashidi ndio jina lake.
Gwajima pia ameshawahi kusema amenunua treni kwa fedha taslimu.
Hivi huwa uwongo unamsaidia nini?
Na kingreza cha kimtindoAskofu Gwajima leo amesema tena kwamba atawapeleka wacheza rede Japan.
Sijui huyu baba anatuonaje wananchi wa jambo la Kawe?
Alishawahi kutuahidi kutupeleka Marekani, lakini hadi leo hamna mwana Kawe hata mmoja aliyewahi kupelekwa huko.
Huyu baba ameshawahi kutuambia yeye ni Muislam na Rashidi ndio jina lake.
Gwajima pia ameshawahi kusema amenunua treni kwa fedha taslimu.
Hivi huwa uwongo unamsaidia nini?
jumapili yuko mikocheni ,sijui nako atawaahaidi kuwa peleka wapi?Askofu Gwajima leo amesema tena kwamba atawapeleka wacheza rede Japan.
Sijui huyu baba anatuonaje wananchi wa jambo la Kawe?
Alishawahi kutuahidi kutupeleka Marekani, lakini hadi leo hamna mwana Kawe hata mmoja aliyewahi kupelekwa huko.
Huyu baba ameshawahi kutuambia yeye ni Muislam na Rashidi ndio jina lake.
Gwajima pia ameshawahi kusema amenunua treni kwa fedha taslimu.
Hivi huwa uwongo unamsaidia nini?
Naona kawe wameanza na akina mama kupitia rede kuwarubuniTanzania Wajinga Ni Wengi Sana
By Godwin Mollel
"""""""""""""""""""""""""""""""""""""""""
Muda Sasa Umefika Wanasiasa Kutafuta Mitaji Yao Ambao ni Wananchi.
Yaani Kama Vile Wameturoga, Kwanza Mwakani Kuna Uchaguzi Wa Serikali Za Mitaa Halafu 2025 Uchaguzi Mkuu
HahahahaFala sana msukuma yule
Gwajima ni kama amechanganyikiwaAskofu Gwajima leo amesema tena kwamba atawapeleka wacheza rede Japan.
Sijui huyu baba anatuonaje wananchi wa jambo la Kawe?
Alishawahi kutuahidi kutupeleka Marekani, lakini hadi leo hamna mwana Kawe hata mmoja aliyewahi kupelekwa huko.
Huyu baba ameshawahi kutuambia yeye ni Muislam na Rashidi ndio jina lake.
Gwajima pia ameshawahi kusema amenunua treni kwa fedha taslimu.
Hivi huwa uwongo unamsaidia nini?
Alianza kwa kudai angemfufua Amina Chifupa na hakuweza. Kisha kwa hadaa akadai kamfufua mtu kanisani kwake na video ya tukio hilo itakuwepo mitandaoni. Lakini mama yake mzazi alipofariki miaka michache iliyopita badala ya kumfufua ili awathibitishie walimwengu kuwa anao uwezo wa kufufua wafu yeye akadai hana haja ya kumfufua kwa vile ameshakuwa mzee sana hivyo amwache tu aende akapumzike kwa baba yaani Mungu! Buswelu sekondari (iliyo mkoani Mwanza) mwaka huo ilikuwa na mkosi sana wa kutoa intake iliyojumuisha watu wawili hatari sana kwenye jamii yaani Gwajima na Baba God (Godfrey Mugyabuso) aliyekuwa na kanisa lake pembeni mwa barabara ya kwenda hospitali ya Bugando na baadae Kangaye huko jijini Mwanza.Mama yake tu alishindwa, sembuse Amina Chifupa. Na watu walimsema sana siku ya msiba wa mama yake.
Ila kwa aina ya siasa za ccm usishangae akapita kura zao za ndaniUkweli ndio huo
Yeah nailed it.Alianza kwa kudai angemfufua Amina Chifupa na hakuweza. Kisha kwa hadaa akadai kamfufua mtu kanisani kwake na video ya tukio hilo itakuwepo mitandaoni. Lakini mama yake mzazi alipofariki miaka michache iliyopita badala ya kumfufua ili awathibitishie walimwengu kuwa anao uwezo wa kufufua wafu yeye akadai hana haja ya kumfufua kwa vile ameshakuwa mzee sana hivyo amwache tu aende akapumzike kwa baba yaani Mungu! Buswelu sekondari (iliyo mkoani Mwanza) mwaka huo ilikuwa na mkosi sana wa kutoa intake iliyojumuisha watu wawili hatari sana kwenye jamii yaani Gwajima na Baba God (Godfrey Mugyabuso) aliyekuwa na kanisa lake pembeni mwa barabara ya kwenda hospitali ya Bugando na baadae Kangaye huko jijini Mwanza.
Kama ka Lord Tywin kwenye game of throneUkikutana na kamtu kafupi halafu kana confidence basi tunakuwaga tuongo sana .
Sent from my SM-J410F using JamiiForums mobile app
Ila jamaa alituona mafala eeeh.Eti mkono wa Baunsa. Huku alikuwa anasema "Thank you Baby"Ila ana mauno balaa.Mkono wa baunsa si wakumuamini
Kwani ili uende Japan ni lazima kwanza kufika mikoa uliyotaja?Amegundua wapiga kula wake wengi, ni mazuzu! Hawana passport, lakini wanaamini wataenda Japan! Hata Iringa, Arusha hawajawahi fika Ila wanaamini Asia watafika?
Mchungaji anasema f@ck, pepo shindwaaKwenye ile video yake ya pilau kuna sehemu anasema "ooooohhh.........f@ck!
Sent using Jamii Forums mobile app