Ukistaajabu ya Musa, utayaona ya Firauni. Eti Askofu Gwajima anataka kuwapeleka Tokyo Japan wacheza rede wa Msasani

Ukistaajabu ya Musa, utayaona ya Firauni. Eti Askofu Gwajima anataka kuwapeleka Tokyo Japan wacheza rede wa Msasani

Ila jamaa alituona mafala eeeh.Eti mkono wa Baunsa. Huku alikuwa anasema "Thank you Baby"Ila ana mauno balaa.

Screenshot_20231013_183604_Instagram Lite.jpg
 
Watz wanavyopenda comedy huyo jamaa usishangae anapita tena kwa kishindo
 
Askofu Gwajima leo amesema tena kwamba atawapeleka wacheza rede Japan.

Sijui huyu baba anatuonaje wananchi wa jambo la Kawe?

Alishawahi kutuahidi kutupeleka Marekani, lakini hadi leo hamna mwana Kawe hata mmoja aliyewahi kupelekwa huko.

Huyu baba ameshawahi kutuambia yeye ni Muislam na Rashidi ndio jina lake.

Gwajima pia ameshawahi kusema amenunua treni kwa fedha taslimu.

Hivi huwa uwongo unamsaidia nini?
Huu mkono utakuwa wa baunsa amini nakwambia ...[emoji125][emoji125][emoji125]
 
Back
Top Bottom