Ukistaajabu ya Mussa..... Umewahi kusikia hii?

Si bora hiyo ya kuhamia kwa mpambe, kuna kabila dogo kati ya Sengerema na Geita, hilo, baba wa kijana lazima amlale mkwe wake kuhakikisha kuwa kijana wake kapata mwanamke wa maana. Hata hivyo kwa sasa mila hizi zinaenda zikipotea na hasa kutokana n muingiliano wa makabila na tamaduni tofauti
 
Jamaa katunga hiyo ya mpambe sijawahi sikia hata siku moja ila kweli tumetoka mbali maana mila nyingi zilikuwa za kishenzi lakini hii ya huyu mkuu mmmmmh sijui bana !!!
 
tendo la ndoa limeanza kuchezewa zamani sana, ooh mila.. ooh desturi.. wengine wanachomeka mkuki,kuingia daraja la wanaume unakabidhiwa wanawake zaidi ya watano uwashughulikie usiku mmoja,kuoa zaidi ya mke mmoja,kurithi wajane
 

Aisee.......yaani mtu na mkwewe!! Na wakija kurudia tena inakuwaje?
 
Hamna maana ya kuoa.
Je mume akigundua kuwa mpambe wa bi. Harusi kamzidi mkewe kwa maujuzi si itakuwa balaa?
 

dah! Sasa mila ka hizi inakuwaje kwa wale wanawake ambao wamewahi olewa hapo awali pengine wakaachana na waume zao au labda ikatokea bahati mbaya ni wajane, inapotokea wakaolewa tena shughuli yao inakuwaje??
 
Jamaa katunga hiyo ya mpambe sijawahi sikia hata siku moja ila kweli tumetoka mbali maana mila nyingi zilikuwa za kishenzi lakini hii ya huyu mkuu mmmmmh sijui bana !!!
<br />
Mkuu nachelea kutumia neno 'mila za kishenzi' maana wazungu walipokuja Africa wakaamua tufuate ya kwao na ya kwetu yakawa ni ya 'kishenzi' ,hii iliendana na waafrika kutumbukizwa katika utumwa wa akili.Ninachofahamu kila lililotendwa na waafrika kwa jina la mila lilikuwa na maana yake,hata jina 'Lutamyo' bila shaka lina maana kubwa kwako kuliko Mark au Gabriel.
 
Nyongeza: Kama mwanamke atakuwa na bikra basi
ile shuka au kitambaa cheupe kilichotandikwa hutolewa
hadharani na kuonyeshwa lile tone la damu kwa hadhira
tendo ambalo hupokelewa kwa shangwe vigeregere na
Zawadi.
 
hivi kuna wanaume bado wana mzuka sana na bikira ya msichana? naomba nijibiwe
 
duh,kweli kuna mambo nchi hii
 
inawezekana,kwenye dunia hii kuna vitu vinafanyika ukiambiwa huwezi amini kamwe.
 
hivi kuna wanaume bado wana mzuka sana na bikira ya msichana? naomba nijibiwe

saaana, kiimani(both dini na kimila) ina mashiko sana

wasiwasi wote wa historia ya kimahusiano kwa msichana unafunikwa na bikira
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…