Obe
JF-Expert Member
- Dec 31, 2007
- 10,083
- 34,850
Si bora hiyo ya kuhamia kwa mpambe, kuna kabila dogo kati ya Sengerema na Geita, hilo, baba wa kijana lazima amlale mkwe wake kuhakikisha kuwa kijana wake kapata mwanamke wa maana. Hata hivyo kwa sasa mila hizi zinaenda zikipotea na hasa kutokana n muingiliano wa makabila na tamaduni tofauti