Ukistaajabu ya tozo, tazama wafanyabiashara tunavyoumizwa na serikali

Iko siku yanamwisho! Ndiyo maana wakistaafu wanarudi kuteuana tena hadi wafie madarakani kwasababu mazingira ya biashara wanayajua ni magumu
 
Hili la grace period linaandaliwa ila wafanyabiashara hakuna wa kuwachekea hamlipi Kodi nyie.
 
Hili la grace period linaandaliwa ila wafanyabiashara hakuna wa kuwachekea hamlipi Kodi nyie.
Alokwambia kuna mtu anataka kicheko nani? Tunahitaji Sera rafiki katika utozaji kodi!

Watanzania wengi tupo tayali kulipia kodi shida utitili na milolongo ya kila hatua kodi!
Ndiyo maana hata ajira haziongezeki
 
Waache wakate ila sasa sisi wengine
Tutakuwa tunahoji miradi,huduma
Za kiserikali si watu wanakatwa kodi,tozo
Tutabanana huko huko

Ova
Udhulamaji
 
We ndio umeongea ukweli na hili hata Marehemu Mengi kwenye kitabu chake kaliongelea ,CCM ni laana hii nchi . Ndio wanaotoa incentives za watu kuwa crooks , watu ni wezi ,wakwepa Kodi , criminals NK sio Kwa ajali Bali ni vitu vinavyotokea kama outcomes za upuuz unaofanywa na serikali hii ya CCM
 
Alokwambia kuna mtu anataka kicheko nani? Tunahitaji Sera rafiki katika utozaji kodi!

Watanzania wengi tupo tayali kulipia kodi shida utitili na milolongo ya kila hatua kodi!
Ndiyo maana hata ajira haziongezeki
Kabisa , hili suala Lina impacts kubwa mpaka kwenye ajira hasa private sectors . Kampuni kama inaelemewa na mizigo ya kodi za kipuuz zisizostaimilivu hata kuajiri itakuwa ni kidogo Sana sanasana ni redundancy / kupunguza wafanyakazi totally
 
hahaaa na anamiliki mabasi kwa jina la Mke Ester Luxury Coach , halafu anatuzuga ooh maisha magumu dunia nzima, lile jamaa bure kabisa
Amepunguza ushuru wa mabasi kwenye budget Mpya aisee.
 
Amepunguza ushuru wa mabasi kwenye budget Mpya aisee.
Sema jamaa wanaofanya biashara kwa hela za ofisini ni ngumu saba kutoboa..sababh unakuta unaiba ofisini kuendesha biashara mtaani siku upo kijiweni ndo una realize kwamba ulikua unaendesha biashara kwa wizi wa ofisini...
 
Hivi kila line ya simu wakiitoza 1000 kwa mwezi si itakuwa vizuri sana ili waondoe kodi sumbufu.
Zipo nchi kumiliki line sio kitu cha mchezo mchezo, wafunge macho waanzishe hili.
Almost 40ml.ppls wanamiliki line × 1000/- 40, 000, 000,000/-p/m, gains, na waondoe kodi sumbufu za majumba ya wastaafu.
 

Umeandika point zote hongera sana.
Unazijua changamoto za kibiashara Tanzania
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…