Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ulitaka wakate sh ngapi?Nimetia buku wamekata 50 hawa mbwa
Utafanya nn?Juzi niliweka vocha ya 5000 voda,ile namaliza kuweka bahati mbaya
Mteja akaingia nikaweka simu mfukoni nikamuhudumia,sijamalizana nae vzuri
kaja mteja mwingine,kazi zikaingiliana pale ubusy ukatawala,baada ya kitu kama nusu saa
nikakumbuka nimeweka vocha ila sijajiunga,acha nijiunge nikapga menu direct kufata kifurushi changu.
nafika najiunga inakataaa naambiwa salio halitoshi,kuangalia salio nakuta kuna 4,200 nilikasirika sana ila nikapotezea nikaenda nunua vocha ya buku nikaongezea.
leo ndio nakutana na haya ya mwigulu,niki konect dot zangu napatA Majibu hawa wajinga hii system hawajaianza leo, sema sasa hv ndio wameamua kutujulisha kuwa wanatufyekaga vocha zetu.
kusingizio ni kodi kwa kujengea shule.... fresh tutakutana!
kila mtu anajua atachofanya ili kupunguza hasira,Utafanya nn?
Kuwepo na vikundi vya wanafiki wa sampuli hii kwenye kudai haki kunafifisha sana harakati kama sio kuziua kabisa, kwasababu inaboa sana pale unapodhani fulani uko nae pamoja kwenye mapambano...Umenena vema Sana ndio maana majuzi hapa rais wa Zambia kasema hilo kwamba watu wanadai kiongozi ni mzuri lakini anazungukwa na watu wabaya mwisho akasema wanao mzunguka ndio uhalisia wake mwenyewe huyo kiongozi.
Mtalia sana mwaka huu, na badoKuwepo na vikundi vya wanafiki wa sampuli hii kwenye kudai haki kunafifisha sana harakati kama sio kuziua kabisa, kwasababu inaboa sana pale unapodhani fulani uko nae pamoja kwenye mapambano...
Kumbe mwenzio anapambana kwasababu adui yenu sio mwenzake, akipatikana mwenzake akafanya kama adui wa mwanzo anamlinda, huu unafiki ni wa kulaaniwa kote duniani mpaka mbinguni.
Ndiyo, hana uwezi wa kutafakari na kuchanganua. Kila kitu kwaje ni ndiyo.Uliyo andika mkuu naunga mkono hoja lakini nakuja kutofautiana na Wewe sehemu moja kusema kwamba Mwigulu anamuingiza rais Samia Chaka, unataka kusema rais wetu ni myopic leader kiasi kwamba kila ushauri yeye ni ndio pasi kushilikisha reasoning yake binafsi hasa kufanya critical thinking Kama ni hivyo nachelea kusema kwamba tuna feckless government na dipshit ndo viongozi uku wise wakiwa wafuasi.
Hatukuelewa kwanini Magu alimkataa. Kumbe akili yake haijawahi kuwa na aibu wala adabuMwigulu hovyo sana uyu ntu.
Mpumbavu weweUlitaka wakate sh ngapi?
Unahisi sijui kutukana?Mpumbavu wewe
Rais Samia kiti kimemshinda ukweli ndio huo hakuna cha Mwigulu wala niniUmenena vema Sana ndio maana majuzi hapa rais wa Zambia kasema hilo kwamba watu wanadai kiongozi ni mzuri lakini anazungukwa na watu wabaya mwisho akasema wanao mzunguka ndio uhalisia wake mwenyewe huyo kiongozi.
Kwann upinzani na sio wananchiTutazidi kuchezewa akili
Tumezidi kuwa wajinga wapumbavu
Upinzani semeni neno
Itisheni
Ni dhahiri PhD Mwiguru atapita tena bila kupingwa katika uchaguzi wa 2025 kwa msaada wa NECMwigulu Nchemba na tozo nyingine tena.
Tozo hii ni tozo ya laini ya simu. Yaani Ukiweka vocha tu kwenye simu yako wanakukata Tozo, licha ya ukweli kwamba kila ukiweka salio kwenye simu yako unakatwa kodi ya asilimia 18 ya VAT.
Halafu Mwigulu Nchemba anakuja na habari zilezile za kodi ikajenge shule.
Nashangaa sana, Tulichukua mkopo wa Covid tukasema zikajenge shule, Tukaweka tozo ya miamala ya simu( hizi M-Pesa, Tigo Pesa) tukasema zikajenge shule, Tumeweka tozo za miamala ya kibenki excuse ni hiyohiyo ya kujenga shule, Sasa tunaweka tozo ya kuongeza salio tunasema eti ni za kujenga shule. Nobody can buy this nonsense!
Na hoja eti zikapeleke maji vijijini, kwani hizo kodi nyingine rasmi tunazolipa kila kukicha ikiwemo income tax, PAYE, VAT, na maushuru kedekede vinafanya kazi gani?.
This is too much, naona hawa akina Muigulu wanamuingiza Samia chaka naye hajastuka. Badala ya wao kubana matumizi, badala ya kuongeza vyanzo vipya vya mapato kwa raia, wao wanaingia kuchukua kibabe katika mifuko yao kutwaa vijisenti vyao.
Msikilize huyu jamaa hapa bungeni akitangaza kuweka kodi ya kuongeza salio kwenye laini za simu.
View attachment 2369389
Kwani kuongeza salio lazima? Tunaacha vile vile nafikiri wameona watu wamepunguza kupeleka hela benki Sasa ni vocha kwa vile vocha sio chakula tutapunguza sana matumizi yetuWamegundua kuwa baada ya tozo watu wakapunguzuza kutumiana pesa sasa tuone kama salio la vocha hamtaongeza.
Vv![]()
PhD feki katika ubora wakeMwigulu Nchemba na tozo nyingine tena.
Tozo hii ni tozo ya laini ya simu. Yaani Ukiweka vocha tu kwenye simu yako wanakukata Tozo, licha ya ukweli kwamba kila ukiweka salio kwenye simu yako unakatwa kodi ya asilimia 18 ya VAT.
Halafu Mwigulu Nchemba anakuja na habari zilezile za kodi ikajenge shule.
Nashangaa sana, Tulichukua mkopo wa Covid tukasema zikajenge shule, Tukaweka tozo ya miamala ya simu( hizi M-Pesa, Tigo Pesa) tukasema zikajenge shule, Tumeweka tozo za miamala ya kibenki excuse ni hiyohiyo ya kujenga shule, Sasa tunaweka tozo ya kuongeza salio tunasema eti ni za kujenga shule. Nobody can buy this nonsense!
Na hoja eti zikapeleke maji vijijini, kwani hizo kodi nyingine rasmi tunazolipa kila kukicha ikiwemo income tax, PAYE, VAT, na maushuru kedekede vinafanya kazi gani?.
This is too much, naona hawa akina Muigulu wanamuingiza Samia chaka naye hajastuka. Badala ya wao kubana matumizi, badala ya kuongeza vyanzo vipya vya mapato kwa raia, wao wanaingia kuchukua kibabe katika mifuko yao kutwaa vijisenti vyao.
Msikilize huyu jamaa hapa bungeni akitangaza kuweka kodi ya kuongeza salio kwenye laini za simu.
View attachment 2369389