Ukistaajabu ya tozo za mabenki utaona tozo ya kuongeza salio kwenye laini za simu

Ukistaajabu ya tozo za mabenki utaona tozo ya kuongeza salio kwenye laini za simu

Ukweli ni kwamba Watanzania sisi ni viumbe wapumbavu kuliko maelezo, duniani hakujawahi tokea mtu mpumbavu kama mtanzania.

Hawa wameshatuona sisi ni mapimbi, kila siku nasema kadri siku niemdavyo tutegemee kuona zaidi ya jana yake

Mtoto akikushika shavu ukamchekea, akakupiga kibao ukatabasamu, atakutia kidole cha pua, ukicheka atakutia kidole cha macho, kesho na kesho kutwa atakushika kalio mbele ya umati wa watu. 😠😠😡😡
 
Lawama yangu kubwa ni kwa sisi wananchi tuliowachagua hao wapiga meza. Imefikia mahali badala ya wao kuwa watetezi wa wananchi wanyonge, wao ndio wanaonyesha serikali mahali pa kukata tozo (refer zunguzubgu). Hii itoshe kutupa hasira 2025 wabunge wa namna hii wabakie nyumbani tupate wawakilishi sahihi.
nani kawachagua hao, umesahau uchaguzi wa 2020 ulivyokuwa?
 
Milioni 300 ya kupeleka maji vijijini kwa nini isipatikane kwenye lile V8 moja, badala ya kupunguza matumizi ya anasa na yasiyo na tija ya serikali mnaona option ni kuendelea kunyonya pesa kwenye mzunguko. Hawa watu wanaangamiza uchumi kwa makusudi kabisa.
Watanzania wenzangu. Kamwe hawatapunguza matumizi yao kwa sababu hawana sababu ya kufanya hivyo. Kwa nini waishi kwa shida wakati fedha za bure zipo na hakuna anayewauliza matumizi? Bila wananchi kuwa wakali na kuingia mitaani kudai haki hakuna kitachobadilika.
 
Juzi niliweka vocha ya 5000 voda,ile namaliza kuweka bahati mbaya

Mteja akaingia nikaweka simu mfukoni nikamuhudumia,sijamalizana nae vzuri

kaja mteja mwingine,kazi zikaingiliana pale ubusy ukatawala,baada ya kitu kama nusu saa

nikakumbuka nimeweka vocha ila sijajiunga,acha nijiunge nikapga menu direct kufata kifurushi changu.

nafika najiunga inakataaa naambiwa salio halitoshi,kuangalia salio nakuta kuna 4,200 nilikasirika sana ila nikapotezea nikaenda nunua vocha ya buku nikaongezea.

leo ndio nakutana na haya ya mwigulu,niki konect dot zangu napatA Majibu hawa wajinga hii system hawajaianza leo, sema sasa hv ndio wameamua kutujulisha kuwa wanatufyekaga vocha zetu.

kusingizio ni kodi kwa kujengea shule.... fresh tutakutana!
Tutawakuta wapi? Tutaendelea kuumia na kulialia na hatuna cha kuwafanya, na ndiyo maana wana uwezo wa kuanzisha walitakalo hata kama linaumiza wananchi wakijuwa wazi kuwa hakuna kipingamizi
 
Jamaa anatukejeli sana eti anatuonea huruma huku anatukandamiza kwa TOZO.

Amekuwa kama panya buku anangata na kupuliza.
 
Acha tupigwe Tozo mpaka za kunya mavi chooni. Tumekuwa Manyumbu tusiojielewa. Go Mwigulu go
 
Wote tulioshabikia uchaguzi 2020 tuna kibarua cha kutubu kwa Mungu kwa kweli.

The dragon is unleashed and now it devour blood of our children

1 Yohana 1:9
Tukiziungama dhambi zetu, Yeye [Mungu] ni mwaminifu na wa haki hata atuondolee dhambi zetu, na kutusafisha na udhalimu wote.
 
Milioni 300 ya kupeleka maji vijijini kwa nini isipatikane kwenye lile V8 moja, badala ya kupunguza matumizi ya anasa na yasiyo na tija ya serikali mnaona option ni kuendelea kunyonya pesa kwenye mzunguko. Hawa watu wanaangamiza uchumi kwa makusudi kabisa.
Uko sahiho mkuu
 
JamiiForums-160666067.jpg
 
Back
Top Bottom