Mchungaji wa Neno Evangelism Centre James Ng'ang'a atupilia mbali pesa zilizokusanywa kama sadaka kutoka kwa waumini wake wakati wa ibada.
Katika video iliyoshirikiwa na Qare Jane kwenye TikTok, mchungaji huyo alionekana akiiangalia kwa dharau sadaka hiyo. Wakenya walioshuhudia video hiyo walionyesha kutoridhika kwao, wakisisitiza kwamba mtumishi huyo wa Mungu hastahili kutupa mbali michango iliyotolewa kwa bidii na waumini wa kanisa.
James Ng'anga ambaye hakufurahishwa na sadaka walizotoa waumini. Mchungaji huyo aliyekasirika aliona jinsi sadaka ilivyokuwa ikikusanywa, na baada ya kipindi hicho kukamilika, aliichukua na kujiuliza kwa nini haikuwa nyingi kama alivyotarajia.
"Wakenya Waduwazwa na Pasta Ng'ang'a Kuudhika na Sadaka ya Waumini Akisema ni Kidogo:"Nini Hii Sasa?" - Tuko.co.ke" Wakenya wachanganykiwa baada ya pasta Ng'ang'a kudharau sadaka akisema ni kidogo
Katika video iliyoshirikiwa na Qare Jane kwenye TikTok, mchungaji huyo alionekana akiiangalia kwa dharau sadaka hiyo. Wakenya walioshuhudia video hiyo walionyesha kutoridhika kwao, wakisisitiza kwamba mtumishi huyo wa Mungu hastahili kutupa mbali michango iliyotolewa kwa bidii na waumini wa kanisa.
James Ng'anga ambaye hakufurahishwa na sadaka walizotoa waumini. Mchungaji huyo aliyekasirika aliona jinsi sadaka ilivyokuwa ikikusanywa, na baada ya kipindi hicho kukamilika, aliichukua na kujiuliza kwa nini haikuwa nyingi kama alivyotarajia.
"Wakenya Waduwazwa na Pasta Ng'ang'a Kuudhika na Sadaka ya Waumini Akisema ni Kidogo:"Nini Hii Sasa?" - Tuko.co.ke" Wakenya wachanganykiwa baada ya pasta Ng'ang'a kudharau sadaka akisema ni kidogo