Ukitafakari kwa makini Utagundua Mambo ya Msingi uliyafanya Ukiwa "Single"

Ukitafakari kwa makini Utagundua Mambo ya Msingi uliyafanya Ukiwa "Single"

Fanya hivyo tafuta mke mwenye akili awe amesoma au hajasoma sana......kikubwa awe na akili yenye utambuzi,kujiongeza na common sense utafurahia maisha
Kipindi bado sijapevuka kiakili nilikuwa naona wale madem wanaopendeza wanaojua kuvaa ndio wazuri wajanja mana wapo updated na hawa wanaouza michicha wapika majungu magengeni ni washamba kumbe bora hawa wauza magenge na wanaopika mamantilie wanaakili ya kujishughulisha kwa shughuli ndogondogo so ukimpata na kumuwekea mazingira mazuri ya kazi maisha yanakuwa mazuri kwako na kwake
 
Kipindi bado sijapevuka kiakili nilikuwa naona wale madem wanaopendeza wanaojua kuvaa ndio wazuri wajanja mana wapo updated na hawa wanaouza michicha wapika majungu magengeni ni washamba kumbe bora hawa wauza magenge na wanaopika mamantilie wanaakili ya kujishughulisha kwa shughuli ndogondogo so ukimpata na kumuwekea mazingira mazuri ya kazi maisha yanakuwa mazuri kwako na kwake
Yeah,ogopa sana mwanamke anayependa kujipamba tu na kustarehe......huyo anayejishughulisha yuko poa sana
 
Tafiti yako sijaielewa,mimi kwangu maendeleo ni pamoja na kuwa na uwezo wa kummiliki huyo mwanamke,ukitaka kuyapima maendeleo yako kwa kigezo hicho,fanya ukate dushe ili uwe busy na maendeleo hayo uyatakayo,naamini hicho ni kipimo tosha na cha uhakika kwetu kuwa unataka maendeleo,otherwise you are wrong totally wrong bro!
 
Tafiti yako sijaielewa,mimi kwangu maendeleo ni pamoja na kuwa na uwezo wa kummiliki huyo mwanamke,ukitaka kuyapima maendeleo yako kwa kigezo hicho,fanya ukate dushe ili uwe busy na maendeleo hayo uyatakayo,naamini hicho ni kipimo tosha na cha uhakika kwetu kuwa unataka maendeleo,otherwise you are wrong totally wrong bro!
pole sana
 
Nilishashindwa kujua haka ka correlation kabisa. Au unakuta ukianza kupata pata vihela, basi kila unaemtongoza anakubali. Au wananusa
Mkuu siyo kwamba wanakubali bila sababu hapana , mwanaume anajiamini zaidi anapokuwa na pesa na kiwango chako cha kujiamini kinaongezeka kadiri unavyokuwa na hela hili lipo wazi kabisa
 
Back
Top Bottom