Ukitafakari mazingira anayopitia Mwalimu kwenye baadhi ya Shule za Private utalia machozi

Ukitafakari mazingira anayopitia Mwalimu kwenye baadhi ya Shule za Private utalia machozi

Bismarck 1984

New Member
Joined
Dec 22, 2020
Posts
4
Reaction score
9
" Jana Niliona toleo lilotamalaki sana kwenye Vyombo vya habari kuwa Wazazi wasiwapeleke Watoto wao Kusomea Ualimu kutokana na Maslahi Kiduchu amabyo mwalimu Anapata au Analipwa.

Nikaenda mbali sana kwa kuwaza na kuwazua Nikaona nianze Kufanya Uchunguzi wangu wa ndani kabisa.

Sasa kabla sijaleta Uchunguzi Wangu Utakaosheheni Maelezo ya kina kuhusu mazingira ya Waalimu na Mazingira yao kazini, bado dhamira inaniambia Kuwa Pamoja na malipo kiduchu anayolipwa mwalimu na Serikali bado Serikali inaheshimu Waalimu Ikilinganishwa na baadhi ya Taasisi binafsi si zote.

Wewe Kama Mdau wa Elimu Una Maoni gani kabla sijaleta Uzi maalumu wa hii taarifa? Mimi Naona Serikali Ukiachilia Mshahara kidogo Anaolipwa Mwalimu ambacho ni kilio cha Wafanyakazi Wengi, naona serikali bado inamjali Mwalimu Ukilinganisha na Baadhi ya Shule za Binafsi ambako Mwalimu Anaendeshwa navkufanyishwa kazi zisizohusiana na kabisa na Ualimu.

Mdau toa maoni yako bila hisia ukisubiri uchunguzi wa kina.
 
Afadhali serikali ina mshahara standard na uhakika wa kupata kila mwezi. Hawa private ni majanga matupu mishahara yao haieleweki, wamiliki hawajali walimu kutwa kubadilisha. Wanasimamia walimu kooni wafundishe huku uhakika wa kulipa mishahara ni mdogo. Hakuna ile inaitwa permanent/temporary employment, mwalimu anafanya kazi kama kibarua tu/kujitolea, hata wakaguzi wa kazi wakija wataambiwa hawa walimu ni wa kujitolea
 
Afadhali serikali ina mshahara standard na uhakika wa kupata kila mwezi. Hawa private ni majanga matupu mishahara yao haieleweki, wamiliki hawajali walimu kutwa kubadilisha. Wanasimamia walimu kooni wafundishe huku uhakika wa kulipa mishahara ni mdogo. Hakuna ile inaitwa permanent/temporary employment, mwalimu anafanya kazi kama kibarua tu/kujitolea, hata wakaguzi wa kazi wakija wataambiwa hawa walimu ni wa kujitolea
Mtu umesoma unafanyaje kazi bila makubaliano ( mkataba)
Mnazidiwa na house girl atakupa vigezo vyake na ww unampa vyako labda kama utamlipa sh ngap? Chakula? Malazi? Majukumu yake? Muda wa kupunzika?

Sasa wewe msomi unafanyaje kazi bila mkataba na unataka serikali ikusaidiaje wewe wakati upo hapo Kwa hiari yako
 
Mtu umesoma unafanyaje kazi bila makubaliano ( mkataba)
Mnazidiwa na house girl atakupa vigezo vyake na ww unampa vyako labda kama utamlipa sh ngap? Chakula? Malazi? Majukumu yake? Muda wa kupunzika?

Sasa wewe msomi unafanyaje kazi bila mkataba na unataka serikali ikusaidiaje wewe wakati upo hapo Kwa hiari yako
kuna mmiliki mmoja aliniokota mtaani akaona nina shida ya ajira akanipeleka shuleni kwake. Nikamuambia kwa elimu yangu utanilipa mshahara daraja wanaolipwa wenzangu tuliohitimu nao mwaka mmoja walioko serikalini. Akaona mshahara ni mkubwa akapanga awe ananilipa elfu hamsini pamoja na debe la mahindi na dagaa. Nikamuambia kwa hiyo hela sitaweza kufanya kazi, akatoa elfu 45 chapchap na kusema zingine atamalizia baadaye. Nikaona ni ushenzi kulipwa vichenji vilivyobaki mfukoni mwake, nikaacha kazi na kurudi mtaani. Hawa wamiliki wa shule binafsi wana vituko vingi sana kuhusu malipo kwa walimu wao. Hawalipi vema, ni wababaishaji
 
Una mzaha na akili yako tafakari kichwa cha habari kama hukuwa na utayari ungekaa kimya tu
" Jana Niliona toleo lilotamalaki sana kwenye Vyombo vya habari kuwa Wazazi wasiwapeleke Watoto wao Kusomea Ualimu kutokana na Maslahi Kiduchu amabyo mwalimu Anapata au Analipwa.

Nikaenda mbali sana kwa kuwaza na kuwazua Nikaona nianze Kufanya Uchunguzi wangu wa ndani kabisa.

Sasa kabla sijaleta Uchunguzi Wangu Utakaosheheni Maelezo ya kina kuhusu mazingira ya Waalimu na Mazingira yao kazini, bado dhamira inaniambia Kuwa Pamoja na malipo kiduchu anayolipwa mwalimu na Serikali bado Serikali inaheshimu Waalimu Ikilinganishwa na baadhi ya Taasisi binafsi si zote.

Wewe Kama Mdau wa Elimu Una Maoni gani kabla sijaleta Uzi maalumu wa hii taarifa? Mimi Naona Serikali Ukiachilia Mshahara kidogo Anaolipwa Mwalimu ambacho ni kilio cha Wafanyakazi Wengi, naona serikali bado inamjali Mwalimu Ukilinganisha na Baadhi ya Shule za Binafsi ambako Mwalimu Anaendeshwa navkufanyishwa kazi zisizohusiana na kabisa na Ualimu.

Mdau toa maoni yako bila hisia ukisubiri uchunguzi wa kina.
 
Kuna mzee mmoja ni mstaafu, alikimbilia huko walau apate hela sabuni akaishia kuangukia pua na sasa ameacha yuko nyumbani tu anakula pensheni yake taratibu toka serikalini alikokuwa anafanya kazi kabla ya kustaafu
 
" Jana Niliona toleo lilotamalaki sana kwenye Vyombo vya habari kuwa Wazazi wasiwapeleke Watoto wao Kusomea Ualimu kutokana na Maslahi Kiduchu amabyo mwalimu Anapata au Analipwa.

Nikaenda mbali sana kwa kuwaza na kuwazua Nikaona nianze Kufanya Uchunguzi wangu wa ndani kabisa.

Sasa kabla sijaleta Uchunguzi Wangu Utakaosheheni Maelezo ya kina kuhusu mazingira ya Waalimu na Mazingira yao kazini, bado dhamira inaniambia Kuwa Pamoja na malipo kiduchu anayolipwa mwalimu na Serikali bado Serikali inaheshimu Waalimu Ikilinganishwa na baadhi ya Taasisi binafsi si zote.

Wewe Kama Mdau wa Elimu Una Maoni gani kabla sijaleta Uzi maalumu wa hii taarifa? Mimi Naona Serikali Ukiachilia Mshahara kidogo Anaolipwa Mwalimu ambacho ni kilio cha Wafanyakazi Wengi, naona serikali bado inamjali Mwalimu Ukilinganisha na Baadhi ya Shule za Binafsi ambako Mwalimu Anaendeshwa navkufanyishwa kazi zisizohusiana na kabisa na Ualimu.

Mdau toa maoni yako bila hisia ukisubiri uchunguzi wa kina.
Sasa kama shule haina uwezo wa kiuchumi kulipa mishahara mikubwa unataka wamiliki wafanye nini?

Mwalimu kama unataka kazi kwenye shule ya private kubaliana na uwezo wa shule, kama unaona maslahi ni madogo angalia nafasi sehemu zingine.
 
kuna mmiliki mmoja aliniokota mtaani akaona nina shida ya ajira akanipeleka shuleni kwake. Nikamuambia kwa elimu yangu utanilipa mshahara daraja wanaolipwa wenzangu tuliohitimu nao mwaka mmoja walioko serikalini. Akaona mshahara ni mkubwa akapanga awe ananilipa elfu hamsini pamoja na debe la mahindi na dagaa. Nikamuambia kwa hiyo hela sitaweza kufanya kazi, akatoa elfu 45 chapchap na kusema zingine atamalizia baadaye. Nikaona ni ushenzi kulipwa vichenji vilivyobaki mfukoni mwake, nikaacha kazi na kurudi mtaani. Hawa wamiliki wa shule binafsi wana vituko vingi sana kuhusu malipo kwa walimu wao. Hawalipi vema, ni wababaishaji
Mwaka 2006 mwalimu wa Diploma alikuwa analipwa Tsh 146,000/= serikalini. Hiyo 50k kwa serikalini ilikuwa miaka ya 90.
 
Uwezo wa kifedha wa shule unategemea na idadi ya wanafunzi waliopo. Tofauti na serikali haijalishi una idadi Gani ya wanafunzi lakini mtalipwa Sana.
 
" Jana Niliona toleo lilotamalaki sana kwenye Vyombo vya habari kuwa Wazazi wasiwapeleke Watoto wao Kusomea Ualimu kutokana na Maslahi Kiduchu amabyo mwalimu Anapata au Analipwa.

Nikaenda mbali sana kwa kuwaza na kuwazua Nikaona nianze Kufanya Uchunguzi wangu wa ndani kabisa.

Sasa kabla sijaleta Uchunguzi Wangu Utakaosheheni Maelezo ya kina kuhusu mazingira ya Waalimu na Mazingira yao kazini, bado dhamira inaniambia Kuwa Pamoja na malipo kiduchu anayolipwa mwalimu na Serikali bado Serikali inaheshimu Waalimu Ikilinganishwa na baadhi ya Taasisi binafsi si zote.

Wewe Kama Mdau wa Elimu Una Maoni gani kabla sijaleta Uzi maalumu wa hii taarifa? Mimi Naona Serikali Ukiachilia Mshahara kidogo Anaolipwa Mwalimu ambacho ni kilio cha Wafanyakazi Wengi, naona serikali bado inamjali Mwalimu Ukilinganisha na Baadhi ya Shule za Binafsi ambako Mwalimu Anaendeshwa navkufanyishwa kazi zisizohusiana na kabisa na Ualimu.

Mdau toa maoni yako bila hisia ukisubiri uchunguzi wa kina.
Kabla ya kuhitaji maoni inatakiwa ujaribu kuhudhiria kikao hata kimoja cha walimu na waajiri ndipo ujue kinachendelea
 
Ni lazima kuajiriwa kama mshahara kiduchu? Acha kaz fanya mambo mengine,,, !
 
Kazi za Offisini Bila kuwa na Miradi binafsi mtakufa Masikini.

Waalimu Fugeni Kuku, mbuzi , kilimo Ngombe, Pangisheni, pandeni miti nk.
Boda Boda, Bajaji, Mabanda Umiza maduka.

Miradi ni Mingi sana
Kuwa na ajira moja ni kutafuta Umasikini kwa Nguvu.
 
Back
Top Bottom