Ili tatizo limeanzia wakati wa Serikali ya awamu ya 5 ilipositisha Ajira za walimu na walimu kuzagaa mitaani kuwa wengi kuliko mahitaji ya Shule Binafsi, lakini Serikali ingekua ina ajiri walimu kama wakati wa awamu ya 4 ilivyokua inafanya, Shule binafsi ingekosa wawalimu na ingewabidi watafute walimu kutoka nchi jirani kama miakq ya Nyumba, Sasa hivi walimu kutoka Kenya hawaji kwasababu Serikali ya CCM haitaki kuajili walimu na kufanya walimu kushuka bei kwenye sekta binafsi, Bidhaa ikiwa nyingi sokoni na wanunuzi ni wachache lazima itashuka bei na itajiuza bei ya kutupa,ndiyo Biashara ya Ualimu ilipofikia chanzo chake ni Magufuli kustopisha Ajira kwa Walimu na uku vyuo vikiendelea kuzalisha walimu, matokeo yake wanakua wengi na unashindwa kuwapa ajira wote.