Ukitafuta mali usijinyime kuzitumia, ukifa utaziacha watatumia wengine

Ukitafuta mali usijinyime kuzitumia, ukifa utaziacha watatumia wengine

Mr Why

JF-Expert Member
Joined
Nov 27, 2019
Posts
2,235
Reaction score
4,252
Yapo madhara makubwa sana ya tamaa ya mali na pesa nyingi ambayo watu wengi hawakumbuki mara nyingi wanajisahau sana.

Madhara ya kumiliki pesa na mali nyingi sana kwanza kabisa lazima utambue kuwa unakesha usiku na mchana kutafuta pesa na mali nyingi hata wakati mwingine unaogopa kula na kustarehe ukidhani kwamba una jifilisi tambua kuwa utakapokufa watakaozifaidi na kuzitafuna kisawasawa watakuwa watu wengine ambao wakati wewe ukihangaika wao walikuwa wamelala.

Maandiko ya vitabu vya dini vinapohasa watu kuacha tamaa ya mali nyingi na pesa nyingi vinamaanisha ni sawa na kupoteza muda kwasababu mwili hautaishi muda mrefu kwahiyo unapokuwa na tamaa ya mali na pesa nyingi jua unatafutia watu wengine, watakaofaidi ni wao na sio wewe kwasababu hutaishi sana.

Tafuta mali huku ukizitumia pia sio kujinyima ukidhani utafilisika
 
Maskini ni wabaya sana. Hili Ni wazo la mafukara wengi. Mtu hawekia akiba kwa kuhofia akifa wengine watafaidi jasho lake.

Nina shemeji yangu alikuwa anafanya kazi katika machimbo ya Tanzanite, mererani akawa anashika Hadi 200m lakini akazichezea zote kwa kauli mbiu hii hii ya kuogopa akifa wengine watafaidi jasho lake.

Miaka kadha baadae akapoteza kazi na Sasa anaishi kwenye kibanda Cha nyasi. Kwa Sasa anatuomba sisi tumpe angalau elfu tano ya kula
 
Kila mtu kapewa kipaji na talanta yake,

Wapo watu ni kama wajumbe wa mwenyezi MUNGU kwaajili ya wengine, ndiyo hao unaokuta wameajiri zaidi ya watu elfu tano kwenye makampuni yao, mara nyingi si watu wa starehe.

Wapo watu kazi yao ni kutumia tu pesa tu ndiyo maana unakuta mtu Hana hata kibanda (nyumba) lakini Kila weekend anawapiga watu beer Haina mfano.

Wapo watu ambao baada ya kupata kitu alicholenga basi hujiona kamaliza maisha hivyo, hushindwa kuvumbua miradi mipya. akiwa na sehemu ya kuishi , akiwa na usafiri na uhakika wa kusomesha watoto wake basi anakuwa Hana shida tena Wala hajitumi.

Wapo ambao wanatamani kuwa maboss , yaani wawe na kampuni zao, lakini inakuwa ngumu kwani wamepangiwa kuajiriwa maisha yao yote, (kutumwa) hata wakianzisha biashara na miradi yao basi inakufa tu.

Wapo ambao hawatumii nguvu kwenye kutafuta, haibi Wala hadhulumu lakini mifereji yake ya hela inatiririka tu, Kila analopanga linaenda sawa ,yaani anaweza kuishi maisha yoyote yale anaweza kufanya starehe zote Duniani.

Wapo wanaotamani kuwa juu zaidi ya juu lakini mwenyezi MUNGU hajawapa riziki waitakayo, hata waibe na kupora vipi , bado huishia kuwa na maisha magumu.
 
Kila mtu kapewa kipaji na talanta yake,

Wapo watu ni kama wajumbe wa mwenyezi MUNGU kwaajili ya wengine, ndiyo hao unaokuta wameajiri zaidi ya watu elfu tano kwenye makampuni yao, mara nyingi si watu wa starehe.

Wapo watu kazi yao ni kutumia tu pesa tu ndiyo maana unakuta mtu Hana hata kibanda (nyumba) lakini Kila weekend anawapiga watu beer Haina mfano.

Wapo watu ambao baada ya kupata kitu alicholenga basi hujiona kamaliza maisha hivyo, hushindwa kuvumbua miradi mipya. akiwa na sehemu ya kuishi , akiwa na usafiri na uhakika wa kusomesha watoto wake basi anakuwa Hana shida tena Wala hajitumi.

Wapo ambao wanatamani kuwa maboss , yaani wawe na kampuni zao, lakini inakuwa ngumu kwani wamepangiwa kuajiriwa maisha yao yote, (kutumwa) hata wakianzisha biashara na miradi yao basi inakufa tu.

Wapo ambao hawatumii nguvu kwenye kutafuta, haibi Wala hadhulumu lakini mifereji yake ya hela inatiririka tu, Kila analopanga linaenda sawa ,yaani anaweza kuishi maisha yoyote yale anaweza kufanya starehe zote Duniani.

Wapo wanaotamani kuwa juu zaidi ya juu lakini mwenyezi MUNGU hajawapa riziki waitakayo, hata waibe na kupora vipi , bado huishia kuwa na maisha magumu.
Hao ambao wankula bia kila siku na kazi zao hazijulikani ndo wanashangaza sasa, maisha ni fumbo
 
Ila kiukwe kutafuta Mali alafu ushindwe kujiachia huyo ni ufala,
Watoto wenyewe hawa huwa wanajifanya wanapendana ukiwa hai tu!
Ukishakufa ikipita mwaka hawajaanza kuuza vitu ni mara chache sana
 
Ila kiukwe kutafuta Mali alafu ushindwe kujiachia huyo ni ufala,
Watoto wenyewe hawa huwa wanajifanya wanapendana ukiwa hai tu!
Ukishakufa ikipita mwaka hawajaanza kuuza vitu ni mara chache sana
Mwingine hata kula nyama anaogopa, wakati akichomoka tu watoto wataanza kuzitafuna😂
 
Maskini ni wabaya sana. Hili Ni wazo la mafukara wengi. Mtu hawekia akiba kwa kuhofia akifa wengine watafaidi jasho lake.

Nina shemeji yangu alikuwa anafanya kazi katika machimbo ya Tanzanite, mererani akawa anashika Hadi 200m lakini akazichezea zote kwa kauli mbiu hii hii ya kuogopa akifa wengine watafaidi jasho lake.

Miaka kadha baadae akapoteza kazi na Sasa anaishi kwenye kibanda Cha nyasi. Kwa Sasa anatuomba sisi tumpe angalau elfu tano ya kula
Hatari.....si mchezo 200m imekwisha
 
Kabisa.
Nilitarajia iwe:
1. ..........
2. ..........
3. ..........
4. ..........
 
Mwingine hata kula nyama anaogopa, wakati akichomoka tu watoto wataanza kuzitafuna😂
Kabisa,
Umeanza kutafuta Hela toka huna mke huna watoto badaye unakuwa na family ña watoto Umebahatika uña nyumba zako mbili umri umeenda 45+ Bado unakomaa tu
Narudi kuwa kijana wa mjini natafuta Hela ya kula na no stress,
Si unakutana na Mzee ana 50+ Bado anajengea watoto na Hela zenyewe za mawazo ya nn kujiua kabla ya muda!
 
Maskini ni wabaya sana. Hili Ni wazo la mafukara wengi. Mtu hawekia akiba kwa kuhofia akifa wengine watafaidi jasho lake.

Nina shemeji yangu alikuwa anafanya kazi katika machimbo ya Tanzanite, mererani akawa anashika Hadi 200m lakini akazichezea zote kwa kauli mbiu hii hii ya kuogopa akifa wengine watafaidi jasho lake.

Miaka kadha baadae akapoteza kazi na Sasa anaishi kwenye kibanda Cha nyasi. Kwa Sasa anatuomba sisi tumpe angalau elfu tano ya kula
Kivuli cha mti kilichopo leo ni mti uliopandwa miaka kadhaa iliyopita.
Barabara unayoitumia leo haikujengwa leo.
Mambo tunayoyafurahia leo, walioyabuni au kuyaanzisha walishatwaliwa.

Maisha ni kupokezana.
Usile zaidi ya mahitaji ya mwili/tumbo.
Usitumie zaidi ya mahitaji yako.
 
Yapo madhara makubwa sana ya tamaa ya mali na pesa nyingi ambayo watu wengi hawakumbuki mara nyingi wanajisahau sana.

Madhara ya kumiliki pesa na mali nyingi sana kwanza kabisa lazima utambue kuwa unakesha usiku na mchana kutafuta pesa na mali nyingi hata wakati mwingine unaogopa kula na kustarehe ukidhani kwamba una jifilisi tambua kuwa utakapokufa watakaozifaidi na kuzitafuna kisawasawa watakuwa watu wengine ambao wakati wewe ukihangaika wao walikuwa wamelala.

Maandiko ya vitabu vya dini vinapohasa watu kuacha tamaa ya mali nyingi na pesa nyingi vinamaanisha ni sawa na kupoteza muda kwasababu mwili hautaishi muda mrefu kwahiyo unapokuwa na tamaa ya mali na pesa nyingi jua unatafutia watu wengine, watakaofaidi ni wao na sio wewe kwasababu hutaishi sana.
Skia toa dhana ya kwenda mbinguni baada ya kufa afu ndo uishi maisha mazuri ya kwako na watu wengine. Usimotivate watu kuwa maskini kisa dini, dini haijawahi muendeleza mtu, tafuta hela fanya investments na surplus yake inatumika kusaidia jamii. Kama bill gates, mo dewji, crdb wanavyofanya
 
Kivuli cha mti kilichopo leo ni mti uliopandwa miaka kadhaa iliyopita.
Barabara unayoitumia leo haikujengwa leo.
Mambo tunayoyafurahia leo, walioyabuni au kuyaanzisha walishatwaliwa.

Maisha ni kupokezana.
Usile zaidi ya mahitaji ya mwili/tumbo.
Usitumie zaidi ya mahitaji yako.
Kipimo kizingatiwe
 
Skia toa dhana ya kwenda mbinguni baada ya kufa afu ndo uishi maisha mazuri ya kwako na watu wengine. Usimotivate watu kuwa maskini kisa dini, dini haijawahi muendeleza mtu, tafuta hela fanya investments na surplus yake inatumika kusaidia jamii. Kama bill gates, mo dewji, crdb wanavyofanya
Kuwa na mali za kiasi
 
Back
Top Bottom