SimbaMpole123
JF-Expert Member
- Apr 23, 2023
- 5,501
- 4,956
Wewe huna hela....starehe hazikinai ndo maana watu hawaachi...tafuta hela ngono Sio starehe chakula sio starehe tafuta hela ule chakula na pisi sawaHata ukizila itakusaidia nini?
Starehe (chakula, ngono, vitu ghali...) huwa zinakinai?
Yote ni UBATILI...
🤣Ad hominem attack...unaniattack Mimi badala ya hoja...just don't tell ppo hela hazina maana wakati huna...Ni kweli sina hela...japo siyo masikini maana naweza kupata mahitaji yangu ya kimwili na kisaikolojia bila shida...na kusaidia wengine wasio na hela zaidi yangu kila ninapoweza. Na kufurahi na familia yangu...
Wewe Dangote hebu tufafanulie: starehe zako ni zipi? Kuendesha ma Rolls Royce? Kuwa na private jet yako? Yatch yako na pisi kali katikati ya bahari ya Shamu? Kuzikwa kwenye gold plated coffin in a private mosseleum?
Funguka tujifunze kwenu matajiri wa JF mnavyofaudu maisha 😁😁😁🖐
Mtoa post ana kitu cha msingi naomba asipuuzwe,Yapo madhara makubwa sana ya tamaa ya mali na pesa nyingi ambayo watu wengi hawakumbuki mara nyingi wanajisahau sana.
Madhara ya kumiliki pesa na mali nyingi sana kwanza kabisa lazima utambue kuwa unakesha usiku na mchana kutafuta pesa na mali nyingi hata wakati mwingine unaogopa kula na kustarehe ukidhani kwamba una jifilisi tambua kuwa utakapokufa watakaozifaidi na kuzitafuna kisawasawa watakuwa watu wengine ambao wakati wewe ukihangaika wao walikuwa wamelala.
Maandiko ya vitabu vya dini vinapohasa watu kuacha tamaa ya mali nyingi na pesa nyingi vinamaanisha ni sawa na kupoteza muda kwasababu mwili hautaishi muda mrefu kwahiyo unapokuwa na tamaa ya mali na pesa nyingi jua unatafutia watu wengine, watakaofaidi ni wao na sio wewe kwasababu hutaishi sana.
Tafuta mali huku ukizitumia pia sio kujinyima ukidhani utafilisika
Sasa usiseme kwamba hela haina maana afu huna...it's lyk saying chips mbaya halafu hujawahi kula. Acha wivu wa maendeleo na uvivu wa kifikraSijafanya ad hominem attack...those are for the weak. Umeanza kuniambia sina hela nikakukubalia. Kisha essentially ukasema kuwa kwa sisi ambao hatuna hela hata starehe hatuzijui. Nami nikakuuliza nyinyi wenye hela starehe zenu ni zipi? Sasa ad hominem attack iko wapi hapo bwana tajiri?
Eti starehe zenu matajiri ni zipi kama siyo zile nilizozitaja (japo unadhani ni hominem attack)?
...and I can tell people whatever I want. That's my freedom. It is up to them if they choose to believe me or not. That's how we operate In a free society bwana tajiri wa JF 😁😁😁🖐
Ubatili mtu ila msijinyimeHata ukizila itakusaidia nini?
Starehe (chakula, ngono, vitu ghali...) huwa zinakinai?
Yote ni UBATILI...
Sasa hapo siyo zile talanta tano maana talanta ni vipaji inaweza kuwa uimbaji au talanta nyingine, huyo unayesema kila analofanya anabarikiwa basi Kuna nguvu kubwa nyuma yake inamsaidia yawezekana wazazi wake walimuweka wa kifu kwa Mungu na wao waliwekeza kwa Mungu pia, na kuwekeza kwa Mungu ni kutenda haki ndo akiba iliyo kuu, hata uwe mcha Mungu kiasi gani kama hutendi haki au jambo usilopenda kufaniwa usiwafanyie wengine hapo hazina yako inakuwa mbinguni na kamwe Mungu hamuachi mtu anayependa kufanya haki hata watoto wake watabarikiwa kwa kupitia wazazi hivyo ukifatilia huyo mtu Kuna kitu utakiona kwake.Kila mtu kapewa kipaji na talanta yake,
Wapo watu ni kama wajumbe wa mwenyezi MUNGU kwaajili ya wengine, ndiyo hao unaokuta wameajiri zaidi ya watu elfu tano kwenye makampuni yao, mara nyingi si watu wa starehe.
Wapo watu kazi yao ni kutumia tu pesa tu ndiyo maana unakuta mtu Hana hata kibanda (nyumba) lakini Kila weekend anawapiga watu beer Haina mfano.
Wapo watu ambao baada ya kupata kitu alicholenga basi hujiona kamaliza maisha hivyo, hushindwa kuvumbua miradi mipya. akiwa na sehemu ya kuishi , akiwa na usafiri na uhakika wa kusomesha watoto wake basi anakuwa Hana shida tena Wala hajitumi.
Wapo ambao wanatamani kuwa maboss , yaani wawe na kampuni zao, lakini inakuwa ngumu kwani wamepangiwa kuajiriwa maisha yao yote, (kutumwa) hata wakianzisha biashara na miradi yao basi inakufa tu.
Wapo ambao hawatumii nguvu kwenye kutafuta, haibi Wala hadhulumu lakini mifereji yake ya hela inatiririka tu, Kila analopanga linaenda sawa ,yaani anaweza kuishi maisha yoyote yale anaweza kufanya starehe zote Duniani.
Wapo wanaotamani kuwa juu zaidi ya juu lakini mwenyezi MUNGU hajawapa riziki waitakayo, hata waibe na kupora vipi , bado huishia kuwa na maisha magumu.
Usijinyime sawa ila hiyo roho yakwamba ukifa utawaachia wengine ni ubinafsi, unatakiwa kutafuta mali siyo kwaajili yako pekee ila mpaka wajukuu wako ni sehemu ya urithi wako Sasa kama mali zinazidi basi gawa kwa wanao na wajukuu na zingine gawa katika misingi ya Mungu yaani sadaka kwa yatima na wajane ila hapo hapo ukijiwekea hazina mbinguni ya kutenda haki nadhani ukitendea hata mwili wako haki huwezi kuufanyisha starehe za kijingajinga mwisho utaudhuru.Yapo madhara makubwa sana ya tamaa ya mali na pesa nyingi ambayo watu wengi hawakumbuki mara nyingi wanajisahau sana.
Madhara ya kumiliki pesa na mali nyingi sana kwanza kabisa lazima utambue kuwa unakesha usiku na mchana kutafuta pesa na mali nyingi hata wakati mwingine unaogopa kula na kustarehe ukidhani kwamba una jifilisi tambua kuwa utakapokufa watakaozifaidi na kuzitafuna kisawasawa watakuwa watu wengine ambao wakati wewe ukihangaika wao walikuwa wamelala.
Maandiko ya vitabu vya dini vinapohasa watu kuacha tamaa ya mali nyingi na pesa nyingi vinamaanisha ni sawa na kupoteza muda kwasababu mwili hautaishi muda mrefu kwahiyo unapokuwa na tamaa ya mali na pesa nyingi jua unatafutia watu wengine, watakaofaidi ni wao na sio wewe kwasababu hutaishi sana.
Tafuta mali huku ukizitumia pia sio kujinyima ukidhani utafilisika
Sasa utafutie wajukuu na wao wakija watatafuta nini, ndo mana familia ambazo watoto na wajukuu walitafutiwa na mababu zo wanakuwa mazombi, nenda familia za wale mamangi wa zamani akina Mariale na Mkwawa uoe kizazi kile kilivyobweteka mali zimepotea zoteUsijinyime sawa ila hiyo roho yakwamba ukifa utawaachia wengine ni ubinafsi, unatakiwa kutafuta mali siyo kwaajili yako pekee ila mpaka wajukuu wako ni sehemu ya urithi wako Sasa kama mali zinazidi basi gawa kwa wanao na wajukuu na zingine gawa katika misingi ya Mungu yaani sadaka kwa yatima na wajane ila hapo hapo ukijiwekea hazina mbinguni ya kutenda haki nadhani ukitendea hata mwili wako haki huwezi kuufanyisha starehe za kijingajinga mwisho utaudhuru.
Maisha ni fumbo kweli , principle nzuri ni kutafuta kadiri unavyoweza lakini tumia vile vile .,zinazobaki weka akiba ,Hao ambao wankula bia kila siku na kazi zao hazijulikani ndo wanashangaza sasa, maisha ni fumbo
Mleta Mada hakumanisha hivyo, amesema tamaa ya Mali nyingi bila kuzitumia, hakumanisha usiweke hakiba, wala kuwekeza.Maskini ni wabaya sana. Hili Ni wazo la mafukara wengi. Mtu hawekia akiba kwa kuhofia akifa wengine watafaidi jasho lake.
Nina shemeji yangu alikuwa anafanya kazi katika machimbo ya Tanzanite, mererani akawa anashika Hadi 200m lakini akazichezea zote kwa kauli mbiu hii hii ya kuogopa akifa wengine watafaidi jasho lake.
Miaka kadha baadae akapoteza kazi na Sasa anaishi kwenye kibanda Cha nyasi. Kwa Sasa anatuomba sisi tumpe angalau elfu tano ya kula
Well 🙏🏿Mleta Mada hakumanisha hivyo, amesema tamaa ya Mali nyingi bila kuzitumia, hakumanisha usiweke hakiba, wala kuwekeza.
Hayupo mbali na ukwel ndugu yetu anamaanisha, tutafute pesa tutafute Mali Lakin pia tutumie na sisi, na pia tusijichoshe kutafuta mafanikioakubwa Sana bila ya tahadhari, mfano wew una pesa za kumiliki majumba magari nk Lakin unaendesha baiskeli kwasababu huna ogopa kuchezea pesa ni mfano
Na kiliwe kwa ustadiKipimo kizingatiwe
Sasa hao watoto waliobweteka ni wao na watajibeba wenyewe ila wewe kama wewe unafanya kwa kutimiza agano lako na Mungu na ili mali zifurike kwenye mkondo wako Sasa ukizifuja au kutapanya hovyo hovyo utaweza kuumia hata wewe, na kingine ili akiba yako ilindwe na Mungu inatakiwa ujitahidi kutenda haki Sasa kama unatafuta mali bila kutendea wengine haki ndo hivyo na watoto wako hawataitwa wabarikiwa na mfano ndo huo kutapanya mali ukifatilia utaona background Yao, utaona hata matajiri wanajitahidi kuhudumia vilema na yatima ili kuomba Toba kwaajili ya hazina zao.Sasa utafutie wajukuu na wao wakija watatafuta nini, ndo mana familia ambazo watoto na wajukuu walitafutiwa na mababu zo wanakuwa mazombi, nenda familia za wale mamangi wa zamani akina Mariale na Mkwawa uoe kizazi kile kilivyobweteka mali zimepotea zote