Ukitahiriwa umri wa miaka 18, inachukua muda gani kupona?

Ukitahiriwa umri wa miaka 18, inachukua muda gani kupona?

Two weeks, kama utaweza kukaa muda wote bila kusimamisha kiba chako
 
Nenda fasta kalitoe. Mi nililitoa nikiwa nakaribia 29, na nikafanya mapenzi siku ya 13 baadae. Isikutishe lakini jiandae kisaikolojia, zile siku tatu za mwanzo utaskilizia. Usiku lazima udindishe, na hapo nyuzi zinajikaza sawasawa. Ila ukiamka ukapigwa upepo basi linalala.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Nenda fasta kalitoe. Mi nililitoa nikiwa nakaribia 29, na nikafanya mapenzi siku ya 13 baadae. Isikutishe lakini jiandae kisaikolojia, zile siku tatu za mwanzo utaskilizia. Usiku lazima udindishe, na hapo nyuzi zinajikaza sawasawa. Ila ukiamka ukapigwa upepo basi linalala.

Sent using Jamii Forums mobile app
Hahahaa mkuu kwanini ulitahiri
 
Usihofu Mimi militia na miaka 15, hapo huwezi kuwa na kibamia, wanaotoa wakiwa wadogo wengi wao wanakuwa na kibamia kwani ukiwa Mdogo mishipa inakomaa angalia hats Wamasai wanatoa wakiwa wakubwa wana mpini wa uhakika. Kwa huu umri siku 4 za mwanzo itadinda sana nyuzi zinapobana uwe unatumia barafu kupooza, na kwa umri huu unapotoa unakufanya uwe mwanamume Imara kwani unavumilia uhalisia..Kesho nenda ukatoe.
 
Usihofu Mimi militia na miaka 15, hapo huwezi kuwa na kibamia, wanaotoa wakiwa wadogo wengi wao wanakuwa na kibamia kwani ukiwa Mdogo mishipa inakomaa angalia hats Wamasai wanatoa wakiwa wakubwa wana mpini wa uhakika. Kwa huu umri siku 4 za mwanzo itadinda sana nyuzi zinapobana uwe unatumia barafu kupooza, na kwa umri huu unapotoa unakufanya uwe mwanamume Imara kwani unavumilia uhalisia..Kesho nenda ukatoe.
Hahahaa Poaa mkuu kwa somo zurii
 
Wadau habari za asubuhi,

Natumai mu wazima wa afya tele kabisa,

Swali langu ni kwamba kwa mfano mwanaume akitahiriwa wa umri wa miaka 18 je inachukua muda gani kupona kabisa?

Na ustaarabu gani wa kufuata kipindi akishatahiriwa? Yaani kuhusu msosi na malazi pia!

Karibuni tuelimishane!

Ahsanteni na Mungu awabariki!
Ukitahiriwa ukubwani inachukuwa siku 14 kupona kabisa mimi kuna vijana huku mtu na baba yake niliwapeleka Hospitali kukata Govi wamekaa kwa siku 14 kupona kabisa. Ondosha woga nend akalitoe hilo Govinda utapona haraka.
 
Ukitahiriwa ukubwani inachukuwa siku 14 kupona kabisa mimi kuna vijana huku mtu na baba yake niliwapeleka Hospitali kukata Govi wamekaa kwa siku 14 kupona kabisa. Ondosha woga nend akalitoe hilo Govinda utapona haraka.
Hahahahaa Ahsante Mkuu
 
Back
Top Bottom