Ukitaka kila siku usiumwe fanya hivi katika miasha yako ya kila siku

Ukitaka kila siku usiumwe fanya hivi katika miasha yako ya kila siku

ushauri mzuri sana huuu nimechelewaje kuuona hayo majani mrehani yanapatikana wapi

vyote naweza kufanya lakini kinywa juisi ya limao mhhhhhhhh si ndo ntazidi kuwa kimbaumbau

mimi natamani kukunenepa kidogo nishaurini nifanyeje angalau niwe mnene nauchukia mwili wangu wa kimisi huu najitahidi kufakaamia lakini wapiiiiiiiii

Darling it's simple just start feeding yourself with junkies. ..burgers, sandwiches, lot's of soda simply sugar and all that unhealthy shit. .ndani ya dakika. Plus bia za bure na nyamamachoma wamjini wanasema hutojuta..Goodluck
 
Back
Top Bottom