Ukitaka kuanzisha/ kuendeleza/ kuimarisha biashara ya mikopo (kukopesha fedha) waangalie Bodaboda, ni chimbo la uhakika

Ukitaka kuanzisha/ kuendeleza/ kuimarisha biashara ya mikopo (kukopesha fedha) waangalie Bodaboda, ni chimbo la uhakika

Nyuki Mdogo

JF-Expert Member
Joined
Oct 31, 2021
Posts
4,134
Reaction score
10,644
Habari JF,

Nawaleteeni hii Fursa muitazame kiundani ikiwezekana ichukue ifanyie kazi.

Kama una mtaji unaojitosheleza, anzisha biashara ya Microfinance (mikopo ya kifedha)

Baada ya hapo anza na hili kundi la Bodaboda ambao ni wepesi sana kuleta marejesho kwa wakati.

iko hivi, boda boda are less supervised, hawahitaji uangalizi ama ufuatiliaji mkubwa sana katika marejesho ya kila siku.

KITU CHA KUFANYA
Hakikisha katika kila kijiwe unachotembelea, wawe na uongozi kuanzia mwenyekiti, katibu na mtunza Hazina wao.
 
Karibuni tuulizane maswali yenye tija na tutoe michango yenye kujenga maana Finance ni sekta nyeti sana kuanzia ngazi ya familia mpaka Taifa
 
Boda boda?

Njoo kwa hawa wa arusha uone kama utapata mtu baad ya kukopa

Watakula nduki na pesa ako
 
Back
Top Bottom