Poppy Hatonn
JF-Expert Member
- Apr 9, 2021
- 3,095
- 4,632
Mpingo ndio unafaa kwa kuchonga kinyago. Hivyo hivyo,tukitaka kujenga Taifa lazima kwanza tuwe na watu wanaoridhia kuwa Taifa moja.
Vinginevyo, mahusiano katika Taifa yanakuwa kama ndoa ya kulazimishwa.
Modern state inahitaji Kiongozi awe mmoja tu katika mioyo ya watu. Nilipokuwa China, wakati wa Mao,walikuwa wana wimbo mmoja wanaimba,"Mao Tse Tung is the Red Sun in our hearts." Mao ndiye Jua Jekundu kwenye mioyo yetu. Kiongozi wa modern state anatakiwa kuwa Jiwe Jekundu katika mioyo ya watu.
Lakini sasa yapo mazungumzo ya kubadilu Katiba ambapo mkazo wake ni kupunguza madaraka ya rais. Hiyo ni sahihi?
Sheria nzuri zinaweza kutungwa watu waishi kwa mwafaka. Lakini kwanza lazima iwepo the will to build a nation. Azma ya kuwa Taifa moja.
Ukitaka kuchonga kinyago lazima kwanza upate mpingo.
Vinginevyo, mahusiano katika Taifa yanakuwa kama ndoa ya kulazimishwa.
Modern state inahitaji Kiongozi awe mmoja tu katika mioyo ya watu. Nilipokuwa China, wakati wa Mao,walikuwa wana wimbo mmoja wanaimba,"Mao Tse Tung is the Red Sun in our hearts." Mao ndiye Jua Jekundu kwenye mioyo yetu. Kiongozi wa modern state anatakiwa kuwa Jiwe Jekundu katika mioyo ya watu.
Lakini sasa yapo mazungumzo ya kubadilu Katiba ambapo mkazo wake ni kupunguza madaraka ya rais. Hiyo ni sahihi?
Sheria nzuri zinaweza kutungwa watu waishi kwa mwafaka. Lakini kwanza lazima iwepo the will to build a nation. Azma ya kuwa Taifa moja.
Ukitaka kuchonga kinyago lazima kwanza upate mpingo.