Ukitaka kufanikiwa kwa urahisi hapa jijini Dar es salaam. Nenda kaishi Chanika

Ukitaka kufanikiwa kwa urahisi hapa jijini Dar es salaam. Nenda kaishi Chanika

LIKUD

JF-Expert Member
Joined
Dec 26, 2012
Posts
18,037
Reaction score
33,681
Kwa sababu Chanika kuna " uhai" .

Huhitaji kuwa expert wa kusoma alama za anga na alama za ardhi kun'gamua kwamba chanika kuna " uhai" . Kama sauti yako ya ndani ( inner voice) ipo active and effective, siku ukifika Chanika uta detect " uhai" juu ya ardhi ya chanika.
Siku hizi wafanya biashara wa kariakoo karibu wote wamehamia Chanika kimakazi.

Sio WAJINGA hao. Wame detect " uhai" kuu ya ardhi ya chanika...
 
Uhai gani uliopo chanika ambao haupo sehemu zingine?
Pana rutuba ya Kilimo?
Pana maji ya kutosha?
 
Kwa sababu Chanika kuna " uhai" .

Huhitaji kuwa expert wa kusoma alama za anga na alama za ardhi kun'gamua kwamba chanika kuna " uhai" . Kama sauti yako ya ndani ( inner voice) ipo active and effective, siku ukifika Chanika uta detect " uhai" juu ya ardhi ya chanika.
Siku hizi wafanya biashara wa kariakoo karibu wote wamehamia Chanika kimakazi.

Sio WAJINGA hao. Wame detect " uhai" kuu ya ardhi ya chanika...
Kuna piss kali !.
 
Umeandika kama unafukuzwa kwa kuiba makande ya Krismass!

Hujajenga Hoja yenye mashiko!,Hebu Jenga yenye point zenye ushawishi wa kwanini watu wakaishi huko Chanika tofauti na maeneo mengine!
 
Uhai gani uliopo chanika ambao haupo sehemu zingine?
Pana rutuba ya Kilimo?
Pana maji ya kutosha?
Mkuu at this age bado hujui kwamba kuna sehemu "zimekufa " hazina uhai ndani yake? Vivyo hivyo zipo sehemu zenye " uhai" .This is a very deep mystery.
 
Upo sahihi , na ukitaka kuzaa wazo zuri tafuta ardhi ambayo watu hawafanyi ngono , mfano maeneo ya shule kaa na tafakari. Ukikosa Amka usiku Sana
 
Kwa sababu Chanika kuna " uhai" .

Huhitaji kuwa expert wa kusoma alama za anga na alama za ardhi kun'gamua kwamba chanika kuna " uhai" . Kama sauti yako ya ndani ( inner voice) ipo active and effective, siku ukifika Chanika uta detect " uhai" juu ya ardhi ya chanika.
Siku hizi wafanya biashara wa kariakoo karibu wote wamehamia Chanika kimakazi.

Sio WAJINGA hao. Wame detect " uhai" kuu ya ardhi ya chanika...
Chanika kigezi

Huku kuna 'uhai' kweli wakuu.

Karibuni wakuu.
 
Kwa sababu Chanika kuna " uhai" .

Huhitaji kuwa expert wa kusoma alama za anga na alama za ardhi kun'gamua kwamba chanika kuna " uhai" . Kama sauti yako ya ndani ( inner voice) ipo active and effective, siku ukifika Chanika uta detect " uhai" juu ya ardhi ya chanika.
Siku hizi wafanya biashara wa kariakoo karibu wote wamehamia Chanika kimakazi.

Sio WAJINGA hao. Wame detect " uhai" kuu ya ardhi ya chanika...
Chanika cwez kuishi. Miaka ya 2006 nilinunua heka 6 bei chee kabisa naona kuna shule inataka kunivua. Ila kuishi hapana aisee. Mi nitaish wilaya kinondon na Zaid sana nikijaliwa uzima kuna umri ukifika nitarud Moshi nyumban kuishi ni kuzur zaid kwangu.
 
Wewe
Chanika ipi hiyo?
Leo sikukuu watu tupo hoi sijasikia hata harufu ya pilau

Labda kilimo cz kila nyumba kuna bustani ya matembele na miwa
Unaishi chanika ipi mkuu? Dar yote hakuna sehemu sikukuu zinakuwaga active kama chanika. Yani vibe kama la sikukuu za miaka ya 90. Jana watu wamekesha hapo Butiama. Leokulikuwa na disco toto hadi saa kumi na 2 watoto kama wote at the same time upande wa swimming kuna vibe kama lote watoto wazuri kama wote.

Kule kilimahewa nako ni hatari na hapo ni maeneo machache tu.
 
Chanika cwez kuishi. Miaka ya 2006 nilinunua heka 6 bei chee kabisa naona kuna shule inataka kunivua. Ila kuishi hapana aisee. Mi nitaish wilaya kinondon na Zaid sana nikijaliwa uzima kuna umri ukifika nitarud Moshi nyumban kuishi ni kuzur zaid kwangu.
Okay
 
Back
Top Bottom