Mohamedex121
JF-Expert Member
- Jan 27, 2022
- 1,725
- 3,271
- Thread starter
-
- #121
Yes am old school I have a good manner and I will never change my mind set broWe jamaa upo upo kizamani sana,ivi unajua iyo mitandao watu wanaitumia kuingiza pesa,watu wanafanya online business zao mitandaoni ,sio Kila mtu yupo Facebook,insta na WhatsApp kupoteza muda,wewe ndo Haina faida kwako achana nayo .
Sawa bill gates[emoji3][emoji3]Hii Tz Kuna vituko sana na Kuna watu uelewa wao wa digital economy mdogo sana
Hakuna nisichokijuwa mkuu katika dunia ya leo hii, hizo online business na digital marketing ni utapeli tu mkuu. Hivi unajua madhara ya kuagiza vitu online???Unajua maana ya digital marketing na online business?
unaishi kwenye itikadi zilizopitwa na wakati, nasikitika kwa msimamo huu ulionao utakuwa maskini kuanzia wewe mpaka uzao wako wa nne. naondoka zangu..Habarini wakuu ni mimi tena kijana wenu humu jamiiforums, leo nimeamua kutoa ujumbe wangu kwa vijana wenzangu kama mimi.
Unajua nini, hizi smartphone nowadays zinatupotezea muda wa kufanya mambo ya umuhimu katika maisha.
Unakuta vijana wengi tunapoteza muda kwenye social media (facebook, instagram, whatsapp, youtube na hata humu jamiiforums), nimeshatumia sana hii mitandao ya kijamii hakuna faida yoyote ninayoipata zaidi ya kupoteza pesa kwenye mabando, kucheza kamari na mambo mengine mengi hasa kucheck porn.
Isitoshe naona matumizi ya smartphone yanatutoa kwenye reli ya kupambana na maisha, vijana tunakuwa malazyness, na hatufocus kwenye future, hizi smartphone kwakweli zinatufelisha sisi vijana tunapoteza muda wa kufanya mambo ya maana kutwa nzima tuko mitandao ya kijamii na hatupati faida yoyote.
Kuanzia leo mimi naacha matumizi ya smartphone nifocus na maisha yangu, hivo wakuu mkiniona nipo kimya humu JamiiForums jueni tu kuwa nimeshauza simu yangu ili ni concentrate na maisha seriously ungana nami kijana mwenzangu tuache kupoteza muda na haya masocial media yasiona umuhimu wowote kwenye maisha yetu ya kesho.
Natanguliza shukurani wakuu.
Hizo online courses zimekusaidia nini kwenye maisha yako, zaidi ya kupoteza pesa ya bando na muda wako. let say unasomea kozi ya business online sio?? Je unafundishwa in practical au ni theory tu ndo unakaririshwa bila vitendoMkuu unajidanganya aisee mm na muda sijawai fungua Facebook, Instagram hata mwaka unapita ntafungua mara Moja......
Badilisha mitazamo mkuu #Asap
[emoji4][emoji4]
Watu tuna/ wana piga pesa na online shop...
Watu wanasoma wanachota maarifa [emoji851][emoji851] na online courses zimejaa everywhere...
Mkuu labda wanao shinda mtandaoni kusoma udaku na kuangalia wanawake wenye Makario makubwa......
Faida za mitandao in a positive way zipo nyingi sanaa & vise versa is true
Yani wewe ni lidunduka la mbwinde kabisa.Hakuna nisichokijuwa mkuu katika dunia ya leo hii, hiztapeli tu mkuu. Hivi unajua madhara ya kuagiza vitu online???
Ananipa wasiwasi na elimu yake alfu chakushangz unakuta ni degree holder....Mwalimu wangu aliwahi kunambia "kichwa kikikosa akili, mwili utateseka sana". Nenda kachimbe mitaro uutese mwili wako upate hela, huku wenzako wanatumia akili na simu zao kutengeneza pesa bila jasho.
Mkuu Bruce lee aliwai kusema akili ni kama maji ukiyaweka kwenye kibuyu yatafuata umbo la kibuyu.....ukiweka kwenye pipa yatafuata umbo la pipa.....Hizo online courses zimekusaidia nini kwenye maisha yako, zaidi ya kupoteza pesa ya bando na muda wako. let say unasomea kozi ya business online sio?? Je unafundishwa in practical au ni theory tu ndo unakaririshwa bila vitendo
Ng'ombe huyo achana naeMkuu unajidanganya aisee mm na muda sijawai fungua Facebook, Instagram hata mwaka unapita ntafungua mara Moja......
Badilisha mitazamo mkuu #Asap
[emoji4][emoji4]
Watu tuna/ wana piga pesa na online shop...
Watu wanasoma wanachota maarifa [emoji851][emoji851] na online courses zimejaa everywhere...
Mkuu labda wanao shinda mtandaoni kusoma udaku na kuangalia wanawake wenye Makario makubwa......
Faida za mitandao in a positive way zipo nyingi sanaa & vise versa is true
Sawa mkuu nakaushaa🤓🤓😊😊Ng'ombe huyo achana nae
hatari sana yani.Ananipa wasiwasi na elimu yake alfu chakushangz unakuta ni degree holder....
Kwa ulimwengu wa sa hv Huwez toboa bila smartphone believe me labda ukalime...au uendeshe bajaji , inategemea tuu unaitumiaje , wengine smartphone ndo office , bando ndo watejaHabarini wakuu ni mimi tena kijana wenu humu jamiiforums, leo nimeamua kutoa ujumbe wangu kwa vijana wenzangu kama mimi.
Unajua nini, hizi smartphone nowadays zinatupotezea muda wa kufanya mambo ya umuhimu katika maisha.
Unakuta vijana wengi tunapoteza muda kwenye social media (facebook, instagram, whatsapp, youtube na hata humu jamiiforums), nimeshatumia sana hii mitandao ya kijamii hakuna faida yoyote ninayoipata zaidi ya kupoteza pesa kwenye mabando, kucheza kamari na mambo mengine mengi hasa kucheck porn.
Isitoshe naona matumizi ya smartphone yanatutoa kwenye reli ya kupambana na maisha, vijana tunakuwa malazyness, na hatufocus kwenye future, hizi smartphone kwakweli zinatufelisha sisi vijana tunapoteza muda wa kufanya mambo ya maana kutwa nzima tuko mitandao ya kijamii na hatupati faida yoyote.
Kuanzia leo mimi naacha matumizi ya smartphone nifocus na maisha yangu, hivo wakuu mkiniona nipo kimya humu JamiiForums jueni tu kuwa nimeshauza simu yangu ili ni concentrate na maisha seriously ungana nami kijana mwenzangu tuache kupoteza muda na haya masocial media yasiona umuhimu wowote kwenye maisha yetu ya kesho.
Natanguliza shukurani wakuu.
Then nikisave huo muda utaenda kutumika wapi?You wasted your time bro. Acha kufuatilia maisha ya watu mtandaoni hayatakupa chochote zaidi ya kukupotezea muda