Ze dudu mzazi jamaa anashout kweli ila nasema WATAJITOKEZA TU HUMU WALO APPLY KWA T.C.U THEN ATAAMINI MWENYEWE Jf haipo kuzinguana au kuuza sura sio facebook hii mtu anapost kitu chenye realityoya i thnk itakua true coz kuna washkaji wangu wamemalia 4m6 mwaka huu na nimewaona pale
heading; TCU; nipimegiwa simu!!!
messege: Nimepigiwa na vyuo nilivyochagua(plural sio chuo kimoja, wala sio tena TCU)
baadae tena; jordan university
Jordan University ndo nini??????
JITAHIDI KUFICHA UJINGA WAKO...
WANA JF naomba ushauri kwani nimeandikiwa your not admitted nina DIV III pt 15,chakushangaza tcu wametoa nafasi now kidogo sana kwa ajiri yA Second appl nahisi kukosa kwan hata dip ckupata.please assist me
jombaaa usiiogope pdf file hio scroll mpaka chini utaona course na majina weweHakuna me nataka wa2 wawe na huakika na threads zao maana me nachek nakuna na majina ya vyeti na dip 2 kaka
jombaa kuna mdogo wangu amepata hapo then ma best wangu wawili pia na wote wameomba through CAS Direct entry ni hao dip, certf TuMAINI haija publish bachelor applicant waloomba directNimeshayaona but design kama ni ya direct applicants vile kiongozi
umeona walivyo mambwea eeh..tatizo wanaajiri watu wasio na sifa wakati ma IT kibao kitaaaa
pamoko saana ila jf vigumu sana kuelewana kiurahisi mpaka kitu kikuguse daah!!! raaaaaaaaaahMia mia kaka