Ukitaka kujua kama umekuwa ADMITTED na TCU do this

kuna software malfunction! IT specialists wanafanyia kazi. Patience pays.
 
Haya nikweli wengi walioaply Jordan wameshajidhirisha kuchaguliwa kwao huko, na wale wa saut wasilianeni na ndugu na jamaa walio mwanza wawacheki.
 
Leo kuna watu wamenipigia simu kutoka katika vyuo nilivyochagua wanasema nimechaguliwa kujiunga na hicho chuo is it posible wakuu?

kwaiyo umechaguliwa chuo zaidi ya kimoja??
 

Nahisi labda waliongeza admission capacity mkuu
 
Nimeingia kwenye website yako hamna kitu yaman mwenye hizo selection anisaidie nami nijijue kama nko apo maana cjapgiwa sim
 
Hivi hawa TCU niwaeleweje mpaka leo wameniweke status NOT YET PROCESSED sasa maana yake ni nini, kuwa nimekosa au ndo niombe tena.
 
Duh kweli mazee mpaka sms wamewatumia wengene mshikaji wangu ndo kanionesha sema hata yeye alikua haamini bt ndivyo ilivyo wap Ardhi,Mzumbe,Udom na vingine
 
Wadau naona "YOU ARE ADMITTED" kama imepotea vile
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…