kanuni tamu
Member
- Apr 28, 2019
- 23
- 7
Kaanzishe timu yako.Yanga kiukweli kabisa wamechoka!!kuna ukweli unafichwa kwa maslahi ya watu,kuendesha club kubwa kama ni gharama kubwa sana,tunahitaji wachezaji professional, tunahitaji kocha wa kiwango hicho,chanzo cha hela ni kutoka kwa Gsm hv gsm anapata nn kwa yanga,tukubali nyakati tubadilishe katiba club isiwe ya wanachama iwe taasisi ili tutafute uwekezaji,tusitegemee hawa makabachori always huwa ni wababaishaji tu
Kwanini mkataba uwe kwa mdhamini badala ya kuwa klabuniduh! hapa hamna timu, ni genge la wahun fulan hivi.
hii ni hatari sana,na tujamaa tunatamba kwamba hayo ni mambo yaliyopo nje ya mkataba. siku akichomoa sijui inakuwaje. Hata wachezaji wanaosajiliwa na GSM badala ya Yanga nawaona hamnazo. Unampeleka nani mahakamaniKwanini mkataba uwe kwa mdhamini badala ya kuwa klabuni
Na GSM, ila si YangaKiufupi BM33 anamkataba na GSM
Kama ni rahisi. πππ
Kwanini mkataba uwe kwa mdhamini badala ya kuwa klabuni
Contract inaisha lini?Moja Leo Eng. Hersi ameongea na Kaimu Katibu wa Yanga ametoa barua vyote zimesema wamesaini mkataba na Morrison 20/03/20 na kuupeleka FIFA na TFF kuusajili hapa Wamesema Uongo maana hakuna utaratibu wa kupeleka mikataba fifa ila kwa njia ya Automatically TMS na ili mkataba ujulikane upo hai ni lazima uwepo kwenye TMS system na kwa kuwa Dirisha la Usajili lilishafungwa January 15 huwezi kuweka mkataba mwingine mpaka dirisha linapokuwa wazi ndio TMS inavyofanya kazi hivyo kama walishaweka mkataba wa miezi January ni mpaka Dirisha litakapofunguliwa 01 August 2020 ndio unaweza kuweka mkataba mwingine HAPA WAMEDANGANYA WATU.
Kwani unadhani bado? Hata picha unashindwa kuielewa!Kama Morrison hana mkataba na Yanga kwanini mbumbumbu fc mchanganyikiwe wakati yupo huru, ongeeni nae mumsajili free.