Ukitaka kujua ufisadi wa CCM angalia kiasi hiki walichotoa USAID mwaka 2023. Kwanini bado tunalipia huduma za afya?

Ukitaka kujua ufisadi wa CCM angalia kiasi hiki walichotoa USAID mwaka 2023. Kwanini bado tunalipia huduma za afya?

Viongozi wa Tanzania naona wameufyata sisikii wakisema mabeberu tuwakatae na kiuhalisia sisi tunanufaika zaidi na mmarekani kuliko yeye anavonufaika na sisi tofauti na mvimba macho tanzania kaifanya ni soko la bidhaa zake na makazi ya wananchi wake ila kwenye haya matatizo anakuwa kama hatuoni

Nafkiri baada ya hili sekeseke tutaheshimiana watu walikuwa wanakataa hadi teuzi za raisi ili waendelee kupiga hela kwenye hizi NGOs
 
Wakuu,

Wakati napita pita zangu mitandaoni nimkeutana na hili bandiko linaloonesha kiasi cha pesa ambacho Marekani iliipa Tanzania mwaka 2023 kama msaada.

Inawezekanaje kwamba tulipewa msaada wa USD Milion 512 ndani ya mwaka mmoja kwenye sekta ya afya pekee alafu bado wagonjwa wanalala chini? Hizi hela zilienda wapi?

Hii chati inaonesha kuwa kwa mwaka 2023 Tanzania ndio iliongoza kupokea fedha nyingi Afrika kutoka Marekani kwenye sekta ya Afya, hizi zilienda kwa nani?

Yaani Mkuu wa Mkoa anajitokeza hadharani kusema wanawake ambao hawana hela ya kununua gloves wakajifungulie nyumbani meanwhile kuna kiasi kingi hiki cha fedha tulipewa na Marekani?

Naomba kusaidiwa nani alikuwa ni Waziri wa Afya mwaka 2023 na kwanini bado tunalipia huduma za afya wakati tulishapokea kiasi kingi hivi cha pesa kutoka kwa wahisani.

Na hizi pesa wanapeleka wapi baada ya kuzifisidi!? Mbona hatuwaoni hata wakijenga viwanda vyao nchini angalau basi wananchi wapate ajira tuondokane na kula mlo mmoja kwa siku?
 
Mi sio muongo, ni wewe tu umeshindwa kuelewa nilichoandika. Statement ya yangu imetoa angalizo "Wakati mwingine...."

Elewa kiswahili na kilichoandikwa kabla ya kujibu. Kwahiyo nikuulize, mkishapokea hizo pesa ndo serikali inafuata ARV na hizo chanjo nyingine US??
Hizo ARV ni nje ya basket fund,
Elewa hii BAKET FUND health facilities zinaingiziwa hii fedha na kuanza kutumia, ila sharti ni 35% itumike kununulia madawa,
Sharti la pili madawa yanunuliwr MSD, kukiwa na stock out ndiye wasambazaji binafsi.

Ukijumlisha ARV, Malaria, TB na hiyo BASKET FUND ni kwanjwa mrefu balaa
 
Na hizi pesa wanapeleka wapi baada ya kuzifisidi!? Mbona hatuwaoni hata wakijenga viwanda vyao nchini angalau basi wananchi wapate ajira tuondokane na kula mlo mmoja kwa siku?
Re current expenditure za health facilities ni kubwa sana, mfano gharama za kuiendesha MUHIMBILI na vituo vyote vya kutolea huduma za Afya, bado watoto na wazee matibabu kadhaa hufanywa Bure, hizi gharama ndio hubebwa na wahisani USAID inclusive
 
Wakuu,

Wakati napita pita zangu mitandaoni nimkeutana na hili bandiko linaloonesha kiasi cha pesa ambacho Marekani iliipa Tanzania mwaka 2023 kama msaada.

Inawezekanaje kwamba tulipewa msaada wa USD Milion 512 ndani ya mwaka mmoja kwenye sekta ya afya pekee alafu bado wagonjwa wanalala chini? Hizi hela zilienda wapi?

Hii chati inaonesha kuwa kwa mwaka 2023 Tanzania ndio iliongoza kupokea fedha nyingi Afrika kutoka Marekani kwenye sekta ya Afya, hizi zilienda kwa nani?

Yaani Mkuu wa Mkoa anajitokeza hadharani kusema wanawake ambao hawana hela ya kununua gloves wakajifungulie nyumbani meanwhile kuna kiasi kingi hiki cha fedha tulipewa na Marekani?

Naomba kusaidiwa nani alikuwa ni Waziri wa Afya mwaka 2023 na kwanini bado tunalipia huduma za afya wakati tulishapokea kiasi kingi hivi cha pesa kutoka kwa wahisani.

Aisee
 
Wakuu,

Wakati napita pita zangu mitandaoni nimkeutana na hili bandiko linaloonesha kiasi cha pesa ambacho Marekani iliipa Tanzania mwaka 2023 kama msaada.

Inawezekanaje kwamba tulipewa msaada wa USD Milion 512 ndani ya mwaka mmoja kwenye sekta ya afya pekee alafu bado wagonjwa wanalala chini? Hizi hela zilienda wapi?

Hii chati inaonesha kuwa kwa mwaka 2023 Tanzania ndio iliongoza kupokea fedha nyingi Afrika kutoka Marekani kwenye sekta ya Afya, hizi zilienda kwa nani?

Yaani Mkuu wa Mkoa anajitokeza hadharani kusema wanawake ambao hawana hela ya kununua gloves wakajifungulie nyumbani meanwhile kuna kiasi kingi hiki cha fedha tulipewa na Marekani?

Naomba kusaidiwa nani alikuwa ni Waziri wa Afya mwaka 2023 na kwanini bado tunalipia huduma za afya wakati tulishapokea kiasi kingi hivi cha pesa kutoka kwa wahisani.

🚮🚮
 
Marekani ikiamua kuzuia misaada yake yote kwa nchi masikini wakaamua kuitumia hiyo fedha kwaajili yao tu, hakika kelele za kina China sijui Urusi au The Blicks hazingesikika abadani. Kama nchi inatoa misaada yote hiyo alafu bado inabaki kuwa nchi yenye budget kubwa duniani si masikhala mkuu....
Wana print pesa..
 
Kwa nini ukubali vitu overpriced? Ndio ufisadi wenyewe.

Trump sio mjinga, kama ni hivyo si angeacha waendelee kuvuna. Kwa nini anataka tujitegemee?

Kwa namna yeyote ile mleta hoja bado ana mantiki.
Ni kwasababu Mareakani wenyewe wanapambana ku control debt ceiling, hivo hizi ni mojawapo ya mbinu za kupunguza spending.

Serikali ya Marekani imekopa sana na wamarekani wanahisi pesa zinafanyia vitu vya hovyo ikiwamo pesa za vita ya Ukraine na vitu vingine kupitia USAID
 
Kwa kifupi anayefadhili Elimu na Afya zetu Watanzania ni Mmarekani.

Nawaonaga Viongozi wa Tanzania ni wapumbavu sana wanapowasemaga vibaya Wamarekani.
Asante sana ndugu hapo umesema ukweli, wanapiga kelele nyingi kumbe fedha ni za kodi zetu ambao mnaotuchukia lakini mnapenda fedha zetu.
 
Back
Top Bottom