kafuta ambele
Senior Member
- Aug 7, 2017
- 184
- 515
Na hizi pesa wanapeleka wapi baada ya kuzifisidi!? Mbona hatuwaoni hata wakijenga viwanda vyao nchini angalau basi wananchi wapate ajira tuondokane na kula mlo mmoja kwa siku?Wakuu,
Wakati napita pita zangu mitandaoni nimkeutana na hili bandiko linaloonesha kiasi cha pesa ambacho Marekani iliipa Tanzania mwaka 2023 kama msaada.
Inawezekanaje kwamba tulipewa msaada wa USD Milion 512 ndani ya mwaka mmoja kwenye sekta ya afya pekee alafu bado wagonjwa wanalala chini? Hizi hela zilienda wapi?
Hii chati inaonesha kuwa kwa mwaka 2023 Tanzania ndio iliongoza kupokea fedha nyingi Afrika kutoka Marekani kwenye sekta ya Afya, hizi zilienda kwa nani?
Yaani Mkuu wa Mkoa anajitokeza hadharani kusema wanawake ambao hawana hela ya kununua gloves wakajifungulie nyumbani meanwhile kuna kiasi kingi hiki cha fedha tulipewa na Marekani?
Naomba kusaidiwa nani alikuwa ni Waziri wa Afya mwaka 2023 na kwanini bado tunalipia huduma za afya wakati tulishapokea kiasi kingi hivi cha pesa kutoka kwa wahisani.
Hizo ARV ni nje ya basket fund,Mi sio muongo, ni wewe tu umeshindwa kuelewa nilichoandika. Statement ya yangu imetoa angalizo "Wakati mwingine...."
Elewa kiswahili na kilichoandikwa kabla ya kujibu. Kwahiyo nikuulize, mkishapokea hizo pesa ndo serikali inafuata ARV na hizo chanjo nyingine US??
Re current expenditure za health facilities ni kubwa sana, mfano gharama za kuiendesha MUHIMBILI na vituo vyote vya kutolea huduma za Afya, bado watoto na wazee matibabu kadhaa hufanywa Bure, hizi gharama ndio hubebwa na wahisani USAID inclusiveNa hizi pesa wanapeleka wapi baada ya kuzifisidi!? Mbona hatuwaoni hata wakijenga viwanda vyao nchini angalau basi wananchi wapate ajira tuondokane na kula mlo mmoja kwa siku?
AiseeWakuu,
Wakati napita pita zangu mitandaoni nimkeutana na hili bandiko linaloonesha kiasi cha pesa ambacho Marekani iliipa Tanzania mwaka 2023 kama msaada.
Inawezekanaje kwamba tulipewa msaada wa USD Milion 512 ndani ya mwaka mmoja kwenye sekta ya afya pekee alafu bado wagonjwa wanalala chini? Hizi hela zilienda wapi?
Hii chati inaonesha kuwa kwa mwaka 2023 Tanzania ndio iliongoza kupokea fedha nyingi Afrika kutoka Marekani kwenye sekta ya Afya, hizi zilienda kwa nani?
Yaani Mkuu wa Mkoa anajitokeza hadharani kusema wanawake ambao hawana hela ya kununua gloves wakajifungulie nyumbani meanwhile kuna kiasi kingi hiki cha fedha tulipewa na Marekani?
Naomba kusaidiwa nani alikuwa ni Waziri wa Afya mwaka 2023 na kwanini bado tunalipia huduma za afya wakati tulishapokea kiasi kingi hivi cha pesa kutoka kwa wahisani.
🚮🚮Wakuu,
Wakati napita pita zangu mitandaoni nimkeutana na hili bandiko linaloonesha kiasi cha pesa ambacho Marekani iliipa Tanzania mwaka 2023 kama msaada.
Inawezekanaje kwamba tulipewa msaada wa USD Milion 512 ndani ya mwaka mmoja kwenye sekta ya afya pekee alafu bado wagonjwa wanalala chini? Hizi hela zilienda wapi?
Hii chati inaonesha kuwa kwa mwaka 2023 Tanzania ndio iliongoza kupokea fedha nyingi Afrika kutoka Marekani kwenye sekta ya Afya, hizi zilienda kwa nani?
Yaani Mkuu wa Mkoa anajitokeza hadharani kusema wanawake ambao hawana hela ya kununua gloves wakajifungulie nyumbani meanwhile kuna kiasi kingi hiki cha fedha tulipewa na Marekani?
Naomba kusaidiwa nani alikuwa ni Waziri wa Afya mwaka 2023 na kwanini bado tunalipia huduma za afya wakati tulishapokea kiasi kingi hivi cha pesa kutoka kwa wahisani.
Wana print pesa..Marekani ikiamua kuzuia misaada yake yote kwa nchi masikini wakaamua kuitumia hiyo fedha kwaajili yao tu, hakika kelele za kina China sijui Urusi au The Blicks hazingesikika abadani. Kama nchi inatoa misaada yote hiyo alafu bado inabaki kuwa nchi yenye budget kubwa duniani si masikhala mkuu....
Ni kwasababu Mareakani wenyewe wanapambana ku control debt ceiling, hivo hizi ni mojawapo ya mbinu za kupunguza spending.Kwa nini ukubali vitu overpriced? Ndio ufisadi wenyewe.
Trump sio mjinga, kama ni hivyo si angeacha waendelee kuvuna. Kwa nini anataka tujitegemee?
Kwa namna yeyote ile mleta hoja bado ana mantiki.
Tunaongelea USAID lakini wewe kwa sababu ni nyumbu unafikiria vyama vya siasa.CCM ndio matapeli.
Bado unawaza kufadhiliwa tu wewe Mwanaume kweli!!? Basi njoo nikufadhili.Ngoja tuone wafadhili wasio matapeli watatufanyia nini.
Asante sana ndugu hapo umesema ukweli, wanapiga kelele nyingi kumbe fedha ni za kodi zetu ambao mnaotuchukia lakini mnapenda fedha zetu.Kwa kifupi anayefadhili Elimu na Afya zetu Watanzania ni Mmarekani.
Nawaonaga Viongozi wa Tanzania ni wapumbavu sana wanapowasemaga vibaya Wamarekani.