Ukitaka kujua upendo wa dhati leo hii............

Napenda kuwa na amani,mmi hata akisahau siigusi ng'oooo.
 
Happy Valentine kwa siyo na wapenzi, you welcome to be my valentine :laugh::laugh:
 
Happy Valentine kwa siyo na wapenzi, you welcome to be my valentine :laugh::laugh:

Wewe mke au mume..........? weka jinsia yako watu wakuPM fasta maana kuna watu mpaka saa hizi hakijaeleweka.
 
Ahhh najiamini sana tu....sema washkaji wapo na watazidi kuwepo!!Nampa afurahie kama vile yeye ndo ameandikiwa na simu apokee!!:coffee:

Yaani wale wa zamani wakiomba mechi ya kirafiki wanapewa na uwanja.............?
 

Halafu ukute rafiki yako ndiyo anananihii sasa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…