Ukitaka kumchuna mwanaume......mwongozo

Ukitaka kumchuna mwanaume......mwongozo

ntakualika kwenye kitchen party yangu uwe kungwi na mc,naona una maujuzi adimu
 
Kinauzwa milioni mia ngapi? Hutu tuploti twa milioni 80-90 ni kujitafutia tu migogoro na wauza mitumba

Kongosho anasema wewe joka la kibisa sijui alikupa ukatoa maji maji na ulimi nje?
 
husyn kweli wewe fomu foo umepata foo

hujui keybodi zimepindua Misri, libya na zingine nyingi.

Key bodi zimeninunulia gari 2 kwa Rejao sasa natafuta nyumba kwa Byshernger.

Chezeiya kii bodi weye naona!

How dare you kumtaja sakapoko rejao kwenye hadhara hii? Hivi ukitaja wanaume NA rejao yumo? Tenaaaaaaaaaaaaa!!!!!!!!!

ha ha, usihofu
ni mwanamme suruali tu
haumi kabisa
😛eep:😛eep::behindsofa::lalala:
 
Wasifu wa sifa sio sifa ya hiari
Njoo upate maarifa hii ndo taarifa ya habari
Watoto wanateseka wanalala na njaa
Kisa wazazi waliponzwa na tamaa
Hili janga la jamii siyo janga la jamaa
Binti mwenye kiranga kanasa dume la mtaa.
 
nimecheka sana aki ya walai babu karibu nianguke.we kweli mwanaume bwana...
Tatizo unacheka sana afu unasahau kunigongea kale kayuziful batan ka LIKE. Si unajua nikipata LIKE yako moja baioloji yangu inasisimka na bibi yenu anakuwa na uhakika wa kupata haki yake kwenye chakula cha usiku?
 
Huu mwongozo wa kuongoza wanawake jinsi ya kuchuna umeshupaliwa na wanaume, enyi wanaume, je mnajichuna?
 
Tatizo unacheka sana afu unasahau kunigongea kale kayuziful batan ka LIKE. Si unajua nikipata LIKE yako moja baioloji yangu inasisimka na bibi yenu anakuwa na uhakika wa kupata haki yake kwenye chakula cha usiku?

maumivu ya kichwa huanza taraaaaaaaatibu...........chezeya maumivu weye
 
Good! Unatumia zile style za danganya toto.......... Hapo B keshakuamiiiiiiini!

Napenda ile style yako ya kung'oa ndevu kwa meno......... Hakikisha umepiga mswaki kwa closeup.

yaani mnatongozana hivi hivi mbele yangu?
 
Back
Top Bottom