Ukitaka kumchuna mwanaume......mwongozo

Ukitaka kumchuna mwanaume......mwongozo

ha ha ha, babu ODM wewe umeshaota mapembe
hufai kuwa nyumba ndogo
yanni unapepesa miguu dirishani wakati hujafunga mapazia??

Good! Unatumia zile style za danganya toto.......... Hapo B keshakuamiiiiiiini!

Napenda ile style yako ya kung'oa ndevu kwa meno......... Hakikisha umepiga mswaki kwa closeup.
 
ha ha ha, babu ODM wewe umeshaota mapembe
hufai kuwa nyumba ndogo
yanni unapepesa miguu dirishani wakati hujafunga mapazia??
Mapazia ya nini wakati dirisha kioo full tinted?....... Na nani alikudanganya ODM anakuwaga nyumba ndogo?........ :eyebrows:
 
Sasa mleta mada nadhani huu ushauri wako unaweza faa sana tu hata kwa wale walio katika ndoa zao, Hebu fikiria ikiwa umeoa na mkeo ndio anakuhudumia hivi, nadhani ni ujanja tu ambao wake wanaweza kuutumia pia kudumisha na kuboresha ndoa zao.
 
kuchunwa hapana aisee mi mwenyewe nachuna.jana nilisikia unamfuatili mwanaasha jakaya vp ulifanikiwa kupata japo namba za simu?
Nikimpata namchuna afu na wewe ntakuita uje unichune.... unasemaje hapo?..... baada ya hapo tunachunana....... we unanichuna hela, mi nakuchuna ngozi....deal???
 
Nikimpata namchuna afu na wewe ntakuita uje unichune.... unasemaje hapo?..... baada ya hapo tunachunana....... we unanichuna hela, mi nakuchuna ngozi....deal???

aki mangi hapo umeuwaa..bonge ya dili aisee.kwa kuanzia ebu pita pale kwenye matangazo kuna kiwanja kinauzwa.fanya makeke nione umahiri wako
 
aki mangi hapo umeuwaa..bonge ya dili aisee.kwa kuanzia ebu pita pale kwenye matangazo kuna kiwanja kinauzwa.fanya makeke nione umahiri wako
Kinauzwa milioni mia ngapi? Hutu tuploti twa milioni 80-90 ni kujitafutia tu migogoro na wauza mitumba
 
Back
Top Bottom