Ukitaka kumchuna mwanaume......mwongozo


Oooohhh umepotea njoo kwangu nakugonga unaambulia 30 ikizidi 50, kesho ukipiga cm nakuuliza ww ni nani? Wawapi? Kama tulikutana iliwa ni pale na mapenzi yetu yaliishia palepale, sasa ww unataka nn?
 
he he he halo halo, nicheke mie niongeze muda wa kuishi.

Utakuwa unakula vibua ukishani red snepaz
au jodari.

Pole, mjini hapa kila mtu kwa urefu wa kamba yake.

Oooohhh umepotea njoo kwangu nakugonga unaambulia 30 ikizidi 50, kesho ukipiga cm nakuuliza ww ni nani? Wawapi? Kama tulikutana iliwa ni pale na mapenzi yetu yaliishia palepale, sasa ww unataka nn?
 
husyn kweli wewe fomu foo umepata foo

hujui keybodi zimepindua Misri, libya na zingine nyingi.

Key bodi zimeninunulia gari 2 kwa Rejao sasa natafuta nyumba kwa Byshernger.

Chezeiya kii bodi weye naona!
mmh! Hadi wivu wa via keyboard?
 

...hivi kuchunwa nako ni sifa? hapana bana, acha nitulie na mamsapu wangu tu.
 
kila kitu ni sifa
inategemea tafsiri yako ya sifa na kitu hicho.
hivi kongosho huwa unalala/lalwa saa ngapi if i may ask? Khaa! Yani kila nikilog in nakukuta jukwaa la funzadume... Nalog off.
 
husyn kweli wewe fomu foo umepata foo

hujui keybodi zimepindua Misri, libya na zingine nyingi.

Key bodi zimeninunulia gari 2 kwa Rejao sasa natafuta nyumba kwa Byshernger.

Chezeiya kii bodi weye naona!

unanifananisha na mtoto wa headboy eeh! Mi nipo dv yangu safi kabisa. Sasa inabidi tugawane huyu bishanga. Lol.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…