Unakipindi kigumu asikwambie mtu,nakushauri mrudie mungu,maana kinacho kuumiza ni uzinifu tu.
Endelea kujidanganya mama.... endelea kujipa moyo tu...Asprin, you have made my day kwa kweli! Ila bora umekuwa mkweli kuliko wengine ambao kila kukicha wanawadanganya wake/wapenzi wao kuwa 'You are the only woman in my life', lol! However, naamini wapo wanaume wachache, tena wachamungu ambao hawako hivyo.!
Asprin, you have made my day kwa kweli! Ila bora umekuwa mkweli kuliko wengine ambao kila kukicha wanawadanganya wake/wapenzi wao kuwa 'You are the only woman in my life', lol! However, naamini wapo wanaume wachache, tena wachamungu ambao hawako hivyo.!
sorry,kwani asprin me au ke.?
Napita 2
Kutokana na alivyo comment yaelekea ni me, kama ni ke basi anisamehe
Mie Asprin a.k.a Babu ODM ni dume la mbegu lenye watoto wawili mabinti wazuri kama mama yao.
Wajukuu zangu wa hapa JF wanaweza kuwaambia kwa kina, babu ODM wa wajukuu ana kazi gani maalum hapa MMU.
ODM hazungukizunguki.... ODM anasema ukweli japo uumao.
Ewaaaa! Kama umeamua hutaki kushea then kajipeleke zako kanisani uwe mtawa (na huko mapadre wasipokumega, roho mtakatifu labda aingilie kati)Asante Babu ODM, sasa kama hata hao wacha Mungu ni vitombi basi me 'sitaki men'! Bora nikawe mtawa tu, au Babu unaonaje! Naogopa badae nisije tena hapa MMU na uzi mwingine wa kulia lia!
Naombeni ushauri wenu.
Ewaaaa! Kama umeamua hutaki kushea then kajipeleke zako kanisani uwe mtawa (na huko mapadre wasipokumega, roho mtakatifu labda aingilie kati)
Vinginevyo unapoamua kukigawa kikojoleo chako kwa mwanaume, jua kimwaga mkojo cha huyo mwanaume wako si mali yako peke yako. Hizi baiolojia za kiumbe dume hakijaumbwa kunusa kibakuli kimoja tu cha kike....
Baada ya kusema hayo.... unachotakiwa kufanya ni kuchagua mwanaume wa ukweli ambaye anapoenda kufanya ubaradhuli wake basi akafanye responsibly... siyo linafanya mpaka ujue... huko ni kudhalilishana na kuumizana mioyo..... Sisi wazee wa infii tuna kanuni yetu moja inayosema, unapoenda kucheat HAKIKISHA spouse wako hajui! Huo ndio UNANAUME sasa!
Orayt..ngoja tusubiri tuone. Time will tell.Samahani Aspirin, Mapadri hawaruhusiwi kufanya iyo kitu, so hawataweza kunimega, wala Roho Mtakatifu hatokuwa na ulazima wa kuingilia.
By the way, sitaki presha, ntakuwa alone tu, na bahati nzuri nina katoto kananipa furaha ya ajabu
I want to delete this man permanently in my heart and my life. Nipeni ushauri, nifanyeje? Nikutanapo na ndugu, jamaa na rafiki zake ambao tulizoeana nao sana, nashindwa kumsahau na ninatonesha kidonda upya.
Naombeni ushauri wenu.
Vipi utamsahau mwanamke ulio mvua chupi....Kuna viuno vingine havisauliki, inabdi ukajifunze kucheza unyago, unaonyesha hujui kukizungusha wewe :biggrin:Ni kama vile nyie wanaume mnavyoweza kuwasahau wanawake 20 uliowavua chupi.
Ungetoa japo makosa yake kama yapo.....tungeanzia hapo je kama wataka kumsahau baba mtoto wako kwa sababu say umepata mwenye uwezo zaid yake na hajakukosea lolote si tutakesha hapa as utakuwa guilty mpaka unakufa wewe......!!!!!!!!!