Tatizo letu wabongo huwa hamjui kupima ukubwa wa msanii, ndo maana huwa tunalazimisha kuwaweka group moja alikiba na diamond.We ndo unaonekana haufatilii mziki. Kwa rank za sasa hivi Diamond yupo juu ya Flavour na wenzake wengi
unadhalilisha platnumz almasi yetu....Sasa hivi diamond akifanya show ulaya au marekani analipwa sawa na kina mr.flavour
nataka kuziona show za fleva[emoji24][emoji24][emoji24][emoji24][emoji24][emoji24][emoji26][emoji26][emoji26][emoji26][emoji26][emoji26][emoji26][emoji26]nijioneeTatizo letu wabongo huwa hamjui kupima ukubwa wa msanii, ndo maana huwa tunalazimisha kuwaweka group moja alikiba na diamond.
Ni hivi diamond kwa sasa ni msanii mkubwa africa lakini hajafikia kuwa na nguvu kama ya mr.flavour, uyu mr flavour akienda ghana, zambia ,benin, togo, ivory coast, malawi, comeroon, zimbabwe, gabon na south africa anawezo wa kupiga show kujaza kiwanja cha mpira, diamond nguvu hiyo bado hana japo atapata watu
Acha kujidanganya mr flavour ni legend , ni msanii mkubwa sana level zake ni kina psquareunadhalilisha platnumz almasi yetu....
Mr flavour si kama kina shetta...nigeria
kwani ni flavour gani?Acha kujidanganya mr flavour ni legend , ni msanii mkubwa sana level zake ni kina psquare
Nenda youtube utaona uyu mr flavour ni mtu mkubwa labda useme wabongo wamechelewa kumjuanataka kuziona show za fleva[emoji24][emoji24][emoji24][emoji24][emoji24][emoji24][emoji26][emoji26][emoji26][emoji26][emoji26][emoji26][emoji26][emoji26]nijionee
Hahahahaaaa umetisha mkuu yombooAu nikakamate barale
Huo mziki mrefu mkuu. Thamani yake sasa inazid kupanda maradufu sasa na hio kolabo na neyo iko.njiani ndo kabisaa itafika mahali kumpata itakua milion 100 na ushee, yetu machoKwa hali hii waleee wa fiesta hawatamuita nasjaskia mpaka leo atapeform wap nahis clauds wameogopa gharama kubwa sana
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Inahitaji moyo kuanza kubishana na tangazo!
Mkuu hio ni US DOLLAR na uki exchange rate ya saivi ngoma inakuja milion87 tsh....ngoja hio kolabo na neyo itoke hizo digits zitaongezeka maradufu kwenye contract yake.Labda kwa pesa ya Zimbabwe.
Hivi mkuu clip.ya video ya channel ya E ya marekani inayowazungumziaga mastaa duniani na maisha yao walipomtaja diamond na kusema utajiri wake ni dola milion 4 unafikiri ni maroroso ya ushabiki...hahaha hizo ni bilioni 8 za kitanzania kama ulikua hujui.Ayo maandishi ya hicho kiwango cha fedha yametolewa na uongozi wake ama ni blong za mashabiki maandazi?
Mwishoni mwa mwaka jana alikua na sh.bil8 benkJapo ni shabiki wake mkubwa ila numbers do not add up.
Labda kama shows za nje huko kwa wenzetu ingekuwa anavuta mpunga mrefu kiasi hiki basi angekuwa ana ela zaidi ya sasa maana shows zake ni nyingi sana.
Daaah bora umewapa.hio link jamaa yangu na mimi nliitoa huko huko hio habari...sasa watu wanabisha dahWe jamaa yangu si uwaambie kuwa chanzo cha habari yako ni hii hapa. Na kama kuna mtu lugha inamtatiza aniite mimi nimtafathirie.
Diamond Was Paid More Than President Uhuru Kenyatta For A 2 Hour Show! Find Out Just How Much He Earned Here
Hahaha roho zinauma mkuu ...Mkuu...
Mbona hili jambo kama limekukera sana..!
Nini shida..!?
Diamond is on another higher level tukatae tukubali, subirin kolabo na neyo thamani yake itazidi kupanda maradufu....hizi habari sio za kweli
Nani kakwambia ...hahafiesta atapiga dar tu kwa pesa madafu kama kawaida! izo mbwembwe tu