Soulja boy
JF-Expert Member
- Oct 3, 2015
- 4,052
- 7,375
Duh noma.Makosaa kwenye ndoa yanakosekanaa basii huwaa yapoo tuuu๐๐..Mfanoo la kuchelewaa kurudi nyumbani na cm kutokupokeaa yaaani hapo tunajaa vifuaa hatariii na tunaongeaga maneno yotee mpk ya akibaa๐๐....Tunawazagaa mpk mtakavyopata ajali za usikuuu na vilee tutakapo pokeaa rambirambi๐๐๐...
Oa tu Kaka marriage is beautiful thing and those who posses it are beautiful๐๐changamoto zipoo na ni kawaida tuuu...Ila mazuri mengi yapooo..Sasa tuoe nn Sasa ni vita tu.
Mazuri ni yap mama blessOa tu Kaka marriage is beautiful thing and those who posses it are beautiful[emoji120][emoji120]changamoto zipoo na ni kawaida tuuu...Ila mazuri mengi yapooo..
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1][emoji1][emoji1][emoji1]Mwanamke ulikuwa unamuona kama malkia,ghafla unaona unaishi na shetani,mpk unajiuliza hivi wakati namchagua huyu nilikuwa nimelogwa...
Kupata watoto wazuri...kuwaa na mtu ambaye ni msiri wako wa ups na down...kwenye magonjwaa sasa mkeo ndio kila kitu kwakoo...mwangalie profesa j...mke Ni muhimu Sana Kaka zanguu...changamotoo zipoo Ila hazipotezi kbsaaa mazuri ya ndoaa...wanawake wazuri wa kutulia ndani ya ndoa bado wapoo msiogope Ila tuu mchoose wisely....Ndoa ni Jambo jema kbsaaaMazuri ni yap mama bless
Ni kwel mama bless ila subiri kidgo tule maisha nikifika 50 nitafikiria hilo๐๐๐Kupata watoto wazuri...kuwaa na mtu ambaye ni msiri wako wa ups na down...kwenye magonjwaa sasa mkeo ndio kila kitu kwakoo...mwangalie profesa j...mke Ni muhimu Sana Kaka zanguu...changamotoo zipoo Ila hazipotezi kbsaaa mazuri ya ndoaa...wanawake wazuri wa kutulia ndani ya ndoa bado wapoo msiogope Ila tuu mchoose wisely....Ndoa ni Jambo jema kbsaaa
Nakutakiaa kila la kheri upate mke mzurii na mwema kbsaaa...may God bless you๐Ni kwel mama bless ila subiri kidgo tule maisha nikifika 50 nitafikiria hilo๐๐๐
๐๐Nakutakiaa kila la kheri upate mke mzurii na mwema kbsaaa...may God bless you๐
Ukweli mtupu. Hapo wenye ndoa za kachumbari lazima watokee dirishani. Ila wote mkiwa wacha Mungu ushindi ni uhakika hata baada ya kitikiswa.Habari wakuu,
Husika na kichwa cha habari hapo juu,
Kama kuna sehemu ambapo shetani anapenda kukaa basi ni ndoa. Yaani anakusubiria tu uingie kwenye ndoa takatifu aanze kukutesa. Kama sio ugomvi na huyo mkeo au mumeo unayeona ni halali basi ni ngumi. Sasa Yale ambayo ulikuwa hujui kuhusu mkeo na mumeo unayajua.
Hamna rangi ambayo utaacha ona, anaweza shika tumbo na msipate mtoto. Akiona haitoshi anashika na uchumi ili mkome mkomae kabisa. Mbona Bado, akikuachia huku anakimbilia kwenye tendo husika anaweka mazoea, apo unamuona mkeo kama dada yako.
Ukute Sasa amekalia zinaa ni mwanaume na mwanamke wanachepuka. Achana na huo uchumba sugu ambao unajifanya unamchunguza mwanamke na mwanaume ili umjue. Huwezi mjua mkeo wala mmeo.Ingia kwenye ndoa umuone shetani live.
Donatila
Oh, wanawake wa aina ya mama prof J ni wachache sana. Wengi wa siku hizi wanakutelekeza asubuhi na mapema.kwenye magonjwaa sasa mkeo ndio kila kitu kwakoo...mwangalie profesa j..
Dooh basi hatari tupuMakosaa kwenye ndoa yanakosekanaa basii huwaa yapoo tuuu๐๐..Mfanoo la kuchelewaa kurudi nyumbani na cm kutokupokeaa yaaani hapo tunajaa vifuaa hatariii na tunaongeaga maneno yotee mpk ya akibaa๐๐....Tunawazagaa mpk mtakavyopata ajali za usikuuu na vilee tutakapo pokeaa rambirambi๐๐๐...
Halafu analalamikia kisu ndo sababu ilihali yeye ndo mkataji.Ni kama mtu anayekata kitunguu na kulia alie mwenyewe...
๐๐๐๐ hapo kwenye uvumilivu ndio kipengele, kwenye upendo wanajitahidi ila sasa huwezi jua ni upendo ule wa agape au ni upendo agape uliochanganyika na hali ya maisha hasa kwenye maokoto. Maana siku hizi upendo fake upo wa kutosha hata huko makanisani.Kuna ukweli hapa...
Wanawake wengi wamekosa upendo na uvumilivu...