Ukitaka kumuona shetani 'live' funga ndoa

Umeongea ukweli mtupu
 
Afu ke walivyo wajinga,apo anadhan Hujui kwamba she's there for money
 
Leo Mama Mchungaji umekuja kivingine kabisa. Hata sielewi ni ujumbe gani unataka kutuambia sisi watenda dhambi ambao hatujaokoka. Tusiingie kwenye ndoa ama? [emoji15]
Hayo ni mawazo yako,

Nawaandaa mjue kuwa adui shetani yupo na ndoa ndio mahali anapopapenda...

Na mambo mengi yatokeayo kwa ndoa yeye ndo huyaleta...

Ili watu waogope ndoa...

Kabla hujaingia kwenye ndoa uwe umekomaa kiimani yaani unaomba haswa.

Bila hivyo utayumbishwa sana na unaweza ivunja ndoa yako...
 
Aiseee kwa hiyo mmekuja kwenye conclusion kuwa vijana wa kataa ndoa mliokuwa mnawaona vijana wa hovyo kumbe ni magenius kabisaaaa [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787].
Kataeni ndoa na zinaa msiifanye ..

Hata Biblia haijalazimisha mtu kuoa Wala kuolewa ila zinaa ndio hufanya watu waoe au kuolewa, kama utaweza kuwa toashi..
 
Kujambiana mnajambiana wenyewe kwenye ndoa, halafu mkiipata harufu ya ushuzi,mnamlaumu Shetani ambaye hata hayupo kuwa ndiye kajamba!

Vibaya hivyoo.
 
Mnamuonea sana Shetani.

MATENDO YENU WENYEWE MNASINGIZIA SHETANI.

KaziKweliKweli/JobTrueTrue
Shetani ni chaka la kufichia habari zote za kukosa uwajibikaji kwa watu binafsi.

Yani mtu atafanya ushenzi wowote, ukimuuliza anajitetea kwamba "Shetani alinipitia".

Ndiyo msingi wa thread hii.

Watu wameshindwana wenyewe kwenye ndoa, kwa sababu zao, badala ya kujihoji wamefeli wapi wao wenyewe wajirekebishe, wanamtupia lawama Shetani.

Tutajifunza na kujikosoa kweli kwa style hii ya kufikiri?
 
Inachekssha lakini ni ukweli mtupu
 
Mkuu unatushauri nini vijana tunaotaka kuingia huko? Maana sina muda nataka nifanye yangu
Mtangulize Mungu katika kila hatua,ili uweze kumpata mke mwema,NA katika kila hatua ya maisha yako mshirikishe Mungu,bila kusahau kuishi maisha yenye kumpendeza yeye maana kinyume cha hapo shetani hatakuacha salama...
 
Ingia kwenye ndoa umuone shetani live.
Kabla sijaoa nishaonana na shetani live mara kadhaa kwa hio nilishapiga Tizi la kutosha ndani huko kwenye ndoa Mimi na shetani tutakua tushazoea yaan ni washkaji kabisa tunapiga story vipi wewe bado hujakutana nae live? Namaanisha Mimi na shetani ni washkaji asipopokea simu siku nzima simuulizi yaweza kua muda huo alikua anapiga story na shetani au shetani anamgonga Mimi hainihusu shetani nishamzoea na tabia zake za kishetani Ila tu nisimfume red handed akiwa na mke wangu nitamrudisha motoni

Unasubiri mpaka uingie kwenye ndoa ndio ukutane na shetani? Wenzio kila siku tunapishana nae na tunaishi nae
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…