[emoji817]Shetani Hayupo.
Ubinafsi,Tamaa, mipango mibovu, ujinga n.k ndio vyanzo vya matatizo mengi ndoani.
Chanzo cha matatizo kwenye ndoa ni wanandoa wenyewe na tabia zao.
Shetani ni Fictional character anayetumiwa kama kichaka cha kukwepa uhalisia wa Tabia mbovu za wanandoa kiujumla.
Na kwel wanyabi wala hatuna mpango wa kufuga mtoto wa mtu.Hii comment inahatarisha usalama wa tasnia ya ndoa
[emoji122][emoji122]Shetani ni chaka la kufichia habari zote za kukosa uwajibikaji kwa watu binafsi.
Yani mtu atafanya ushenzi wowote, ukimuuliza anajitetea kwamba "Shetani alinipitia".
Ndiyo msingi wa thread hii.
Watu wameshindwana wenyewe kwenye ndoa, kwa sababu zao, badala ya kujihoji wamefeli wapi wao wenyewe wajirekebishe, wanamtupia lawama Shetani.
Tutajifunza na kujikosoa kweli kwa style hii ya kufikiri?
Wengi wanaokotana ambao Mungu akuwakusudia mtakosaje kuingiliwa na shetani! Ukitaka kuoa mtafute Mungu vinginevyo unaoa/olewa na uzao wa shetani. Wengi wanaenda kwa wachawi (waganga) kutafuta wenza huwe na uhakika utapewa majanga na mateso!Habari wakuu,
Husika na kichwa cha habari hapo juu,
Kama kuna sehemu ambapo shetani anapenda kukaa basi ni ndoa. Yaani anakusubiria tu uingie kwenye ndoa takatifu aanze kukutesa. Kama sio ugomvi na huyo mkeo au mumeo unayeona ni halali basi ni ngumi. Sasa Yale ambayo ulikuwa hujui kuhusu mkeo na mumeo unayajua.
Hamna rangi ambayo utaacha ona, anaweza shika tumbo na msipate mtoto. Akiona haitoshi anashika na uchumi ili mkome mkomae kabisa. Mbona Bado, akikuachia huku anakimbilia kwenye tendo husika anaweka mazoea, apo unamuona mkeo kama dada yako.
Ukute Sasa amekalia zinaa ni mwanaume na mwanamke wanachepuka. Achana na huo uchumba sugu ambao unajifanya unamchunguza mwanamke na mwanaume ili umjue. Huwezi mjua mkeo wala mmeo.Ingia kwenye ndoa umuone shetani live.
Donatila
Nakubaliana na wewe lakini pia ujue mazingira yana uwezo mkubwa wa kumlazimisha mtu abadili Tabia yake atake asitake. Kwa mfano mtu mwenye watoto ni lazima awalee wakue, awasomeshe, awapeleke Hospitali wanapougua n.k. Asipofanya hayo kwa hiari; Serikali itamwajibisha, Ndugu na Jamaa watamsuta na kumchachafya vibaya n.k. Akitoroka(Kama wanavyofanya wengine) huko aendako ni ugenini lazima awe na adabu na mpole vinginevyo anaweza kudhuriwa maisha yake n.k.Jichanganye sasa! Kuna kitu kinaitwa red flags ignore hizo halafu urudi kutuambia hapa kataa ndoa.
Labda kwa kukusaidia wahenga walisema tabia ni kama ngozi ni ngumu kubadili, yamkini wahenga hawakujua scientifically walichokisema kinatokana na nini ila experience ndio imewafanya walete huo msemo which is true.
Scientifically, kuanzia mwaka wa 6-12 wa binadamu ndipo anapodevelop tabia na namna ya kudeal na mazingira yake, ubongo wake ndivyo unavyomuelekeza namna ya kudeal na mambo, sasa usifikiri ukubwani mtu anaweza kuadapt namna mpya ya kudeal na mambo, unless apewe msaada wa kuipanga tabia yake upya, kitu ambacho kinahitaji commitment zisizokuwa za kawaida kukifanikisha.
Sasa kama unajipa moyo mtu mzima anaweza badili tabia kirahisi fikiri tena.
Nawewe hebu achana na sisi,tulioingia ndoani,tunajuaga raha yake,wewe unaeogopa shetani,utaendeleaga hivyo hadi utakapo kuwaga shetani mwenyewe tuache tuendele kujipatia raha.Habari wakuu,
Husika na kichwa cha habari hapo juu,
Kama kuna sehemu ambapo shetani anapenda kukaa basi ni ndoa. Yaani anakusubiria tu uingie kwenye ndoa takatifu aanze kukutesa. Kama sio ugomvi na huyo mkeo au mumeo unayeona ni halali basi ni ngumi. Sasa Yale ambayo ulikuwa hujui kuhusu mkeo na mumeo unayajua.
Hamna rangi ambayo utaacha ona, anaweza shika tumbo na msipate mtoto. Akiona haitoshi anashika na uchumi ili mkome mkomae kabisa. Mbona Bado, akikuachia huku anakimbilia kwenye tendo husika anaweka mazoea, apo unamuona mkeo kama dada yako.
Ukute Sasa amekalia zinaa ni mwanaume na mwanamke wanachepuka. Achana na huo uchumba sugu ambao unajifanya unamchunguza mwanamke na mwanaume ili umjue. Huwezi mjua mkeo wala mmeo.Ingia kwenye ndoa umuone shetani live.
Donatila
Hapa Sasa ndio patamuje...Wengi wanaokotana ambao Mungu akuwakusudia mtakosaje kuingiliwa na shetani! Ukitaka kuoa mtafute Mungu vinginevyo unaoa/olewa na uzao wa shetani. Wengi wanaenda kwa wachawi (waganga) kutafuta wenza huwe na uhakika utapewa majanga na mateso!
Soma rafiki yanguHii imeenda!!😂
mshamba_hachekwi
Nikikua au nikizeeka?Ukikua utaelewa...au kama unataka tulia darasani ueleweshwe....
Kwa hiyo vijana waoane mabikra?Hapa Sasa ndio patamuje...
Yaani mtu ni mzinzi, mshirikina alafu anataka aoe/kuolewa na Mtakatifu [emoji1787]
Hapa akioa au kuolewa anaolewa na shetani mwenyewe live[emoji1787]
Wapi maigizo matupu...Nawewe hebu achana na sisi,tulioingia ndoani,tunajuaga raha yake,wewe unaeogopa shetani,utaendeleaga hivyo hadi utakapo kuwaga shetani mwenyewe tuache tuendele kujipatia raha.
Hata wewe soma unaparamitia mashamba ya watu humu utavunjwa miguu dogo langu ohoo😂Soma rafiki yangu
Hata mtoa mada sidhani kama alimaanisha ndoa zoteNikikua au nikizeeka?
Kwamba humu ndani wote kabla hamjaoa/mjaolewa mlikuwa mnaishi kwa raha mstarehe hamna matatizo, hamna changamoto na mambo yenu yamenyooka kama rula sio? I hope this is a joke.
Binafsi maisha yangu yamekuwa ya mapambano kiasi toka nazaliwa hadi keo kwenye ndoa hakuna utofauti.
SawaNdio, Ile damu inayotoka ni agano inawaunganisha pamoja...