Jichanganye sasa! Kuna kitu kinaitwa red flags ignore hizo halafu urudi kutuambia hapa kataa ndoa.
Labda kwa kukusaidia wahenga walisema tabia ni kama ngozi ni ngumu kubadili, yamkini wahenga hawakujua scientifically walichokisema kinatokana na nini ila experience ndio imewafanya walete huo msemo which is true.
Scientifically, kuanzia mwaka wa 6-12 wa binadamu ndipo anapodevelop tabia na namna ya kudeal na mazingira yake, ubongo wake ndivyo unavyomuelekeza namna ya kudeal na mambo, sasa usifikiri ukubwani mtu anaweza kuadapt namna mpya ya kudeal na mambo, unless apewe msaada wa kuipanga tabia yake upya, kitu ambacho kinahitaji commitment zisizokuwa za kawaida kukifanikisha.
Sasa kama unajipa moyo mtu mzima anaweza badili tabia kirahisi fikiri tena.