Ukitaka kumuona shetani 'live' funga ndoa

Ukitaka kumuona shetani 'live' funga ndoa

Habari wakuu,

Husika na kichwa cha habari hapo juu,

Kama kuna sehemu ambapo shetani anapenda kukaa basi ni ndoa. Yaani anakusubiria tu uingie kwenye ndoa takatifu aanze kukutesa. Kama sio ugomvi na huyo mkeo au mumeo unayeona ni halali basi ni ngumi. Sasa Yale ambayo ulikuwa hujui kuhusu mkeo na mumeo unayajua.

Hamna rangi ambayo utaacha ona, anaweza shika tumbo na msipate mtoto. Akiona haitoshi anashika na uchumi ili mkome mkomae kabisa. Mbona Bado, akikuachia huku anakimbilia kwenye tendo husika anaweka mazoea, apo unamuona mkeo kama dada yako.

Ukute Sasa amekalia zinaa ni mwanaume na mwanamke wanachepuka. Achana na huo uchumba sugu ambao unajifanya unamchunguza mwanamke na mwanaume ili umjue. Huwezi mjua mkeo wala mmeo.Ingia kwenye ndoa umuone shetani live.

Donatila
Nilijua mwenyewe tu
 
Ni kwel aisee
Ngoja nitoe kastory kidogo namna ndugu yetu mmoja alivyokutana na shetani live

Alikuwa na biashara zake nzuri tu kwa siku hakosi faida ya laki 2 mpaka 3

Akaoa,baadae akawa na pepo la ngono mkewe alipojua akaanza kumkomoa jamaa kwanza nae alianza kugawa kipochi manyoya mpaka vitu vya ndani kama chakula na wakati huo jamaa yupo na familia kubwa tu, maana aliwah kuwa na watoto wengi kabla ya kuoa

Jamaa akajikuta ana matumiz makubwa sana,kuna wakati mke akawa anamuibia pesa za kazi na faida zake,mara unyumba ananyimwa

Katika harakat zao za kuchepuka hatimae wakaunasa, mwanamke akaanza vuguvugu la kuvunja ndoa na akafanikiwa sjui alifanyaje yaan ile kesi ilienda haraka sana maamuz yakatoka yakuachana na wamkagawana mali mbali mbali zikiwemo na nyumba

Hyo kesi ilipoisha mwanamke kaanzisha kesi nyingine yakutaka mahitaj ya watoto watatu kila mwezi na wakati huu hali ya jamaa yetu kiuchumi ni ngumu haswa
Shetani utamuona kwenye ndoa kama utaacha mlango wazi au utampa nafasi.

Ila mkimruhusu Mungu kuwa kati yenu, hakuna nafasi yoyote ya shetani kuwavuruga.

Msiwe peke yenu lazima Mungu awe kati yenu ili hilo pengo lisizibwe na shetani.

Usisahau kuiombea ndoa yako/ mwenza wako Kila siku, omba daima maana maombi ni silaha na ulinzi tosha
 
Huyu jamaa shetani huwezi mjua, anakaa kwenye vitu vizuri vinavyofurahisha...

Kama ndoa maana anajua ni agano la Mungu na anajua, sasa yeye analivunja...
Ukristo wa kileo ndii uliharubu ndoa baada ya kuifanya kuwa kinga ya wanawake na wanaumenkuwa wahanga wakuu wa ndoa!!

Leo mwnamke akishafunga ndoa ndio ana jiona ana haki ya mgao wa Mali yaani mtaji was maisha kwa nguvu za mwanamme!!

Ndio maana tunashudia viburi vya kina mama huibuka na mwanamme rijali akiona hivyo Hana namna zaidi ya kifo kuwa ndio utatuzi wa tatizo coz akiona talaka inamnufaisha mwanamke Alie zaa watoto!Sasa atafanya ninni!!?kuua make au kujiua!ndio maamzi common Hadi sasa!


Wanaume hatujapata Tiba halisi ya ndoa inapoharibika zaidi ya kuua make au kujiua tafiti zinaonyesha hivyo!yaani una muwahi mwenzio kabla hajakutilia sumu kimya kimya ukafa Kwa ugonjwa was muda mrefu!!

Mfumo dume ulidumisha ndoa ndio sisi tukazaliwa na viongozi was Leo ,sasa mfumo dune unge be modified lakini serikali na dini wanaua kabisa mfumo dume hawajui bila mfumo duke hakuna ulimwengu Wala kustawi Kwa chochote kabisa fikiria viongozi was kesho,yaani kina samiah,kikwete,jpm was kesho yaani was uzao wako watakuaje!!we fikiria kama mfumo duke ulizaaa kina nyerere he mfumo jike utazaa kina Nani!!!?
 
Habari wakuu,

Husika na kichwa cha habari hapo juu,

Kama kuna sehemu ambapo shetani anapenda kukaa basi ni ndoa. Yaani anakusubiria tu uingie kwenye ndoa takatifu aanze kukutesa. Kama sio ugomvi na huyo mkeo au mumeo unayeona ni halali basi ni ngumi. Sasa Yale ambayo ulikuwa hujui kuhusu mkeo na mumeo unayajua.

Hamna rangi ambayo utaacha ona, anaweza shika tumbo na msipate mtoto. Akiona haitoshi anashika na uchumi ili mkome mkomae kabisa. Mbona Bado, akikuachia huku anakimbilia kwenye tendo husika anaweka mazoea, apo unamuona mkeo kama dada yako.

Ukute Sasa amekalia zinaa ni mwanaume na mwanamke wanachepuka. Achana na huo uchumba sugu ambao unajifanya unamchunguza mwanamke na mwanaume ili umjue. Huwezi mjua mkeo wala mmeo.Ingia kwenye ndoa umuone shetani live.

Donatila
Ukioa tu ndio watoto wazuri utawaona na wale ote walokukataa watakukubali
 
Ukristo wa kileo ndii uliharubu ndoa baada ya kuifanya kuwa kinga ya wanawake na wanaumenkuwa wahanga wakuu wa ndoa!!

Leo mwnamke akishafunga ndoa ndio ana jiona ana haki ya mgao wa Mali yaani mtaji was maisha kwa nguvu za mwanamme!!

Ndio maana tunashudia viburi vya kina mama huibuka na mwanamme rijali akiona hivyo Hana namna zaidi ya kifo kuwa ndio utatuzi wa tatizo coz akiona talaka inamnufaisha mwanamke Alie zaa watoto!Sasa atafanya ninni!!?kuua make au kujiua!ndio maamzi common Hadi sasa!


Wanaume hatujapata Tiba halisi ya ndoa inapoharibika zaidi ya kuua make au kujiua tafiti zinaonyesha hivyo!yaani una muwahi mwenzio kabla hajakutilia sumu kimya kimya ukafa Kwa ugonjwa was muda mrefu!!

Mfumo dume ulidumisha ndoa ndio sisi tukazaliwa na viongozi was Leo ,sasa mfumo dune unge be modified lakini serikali na dini wanaua kabisa mfumo dume hawajui bila mfumo duke hakuna ulimwengu Wala kustawi Kwa chochote kabisa fikiria viongozi was kesho,yaani kina samiah,kikwete,jpm was kesho yaani was uzao wako watakuaje!!we fikiria kama mfumo duke ulizaaa kina nyerere he mfumo jike utazaa kina Nani!!!?
Kilichoua mfumo dume sio Ukristo ndugu,ni mambo ya Beijing ndio yameua hiyo kitu,hii hatimaye imezaa feminism duniani,kwahiyo ukienda kokote pale duniani mfumo dume unayumba sana,ingawa kidogo wenzetu waarabu wameweza kukomaa lakini tayari wameshaanza kuyumbishwa,nadhani ulisikia maandamano makubwa yaliokuwa yanatokea kule Iran,ule ni mwanzo tu,soon watakuja huku tuliko...
 
Ni kwel aisee
Ngoja nitoe kastory kidogo namna ndugu yetu mmoja alivyokutana na shetani live

Alikuwa na biashara zake nzuri tu kwa siku hakosi faida ya laki 2 mpaka 3

Akaoa,baadae akawa na pepo la ngono mkewe alipojua akaanza kumkomoa jamaa kwanza nae alianza kugawa kipochi manyoya mpaka vitu vya ndani kama chakula na wakati huo jamaa yupo na familia kubwa tu, maana aliwah kuwa na watoto wengi kabla ya kuoa

Jamaa akajikuta ana matumiz makubwa sana,kuna wakati mke akawa anamuibia pesa za kazi na faida zake,mara unyumba ananyimwa

Katika harakat zao za kuchepuka hatimae wakaunasa, mwanamke akaanza vuguvugu la kuvunja ndoa na akafanikiwa sjui alifanyaje yaan ile kesi ilienda haraka sana maamuz yakatoka yakuachana na wamkagawana mali mbali mbali zikiwemo na nyumba

Hyo kesi ilipoisha mwanamke kaanzisha kesi nyingine yakutaka mahitaj ya watoto watatu kila mwezi na wakati huu hali ya jamaa yetu kiuchumi ni ngumu haswa
Hivi hizo Mali wanazogawana Huwa ni Kwa Ajili ya nini? Kwani Watoto ni WA nani?
 
Back
Top Bottom