Ukitaka kumuona shetani 'live' funga ndoa

Ukitaka kumuona shetani 'live' funga ndoa

Habari wakuu,

Husika na kichwa cha habari hapo juu,

Kama kuna sehemu ambapo shetani anapenda kukaa basi ni ndoa. Yaani anakusubiria tu uingie kwenye ndoa takatifu aanze kukutesa. Kama sio ugomvi na huyo mkeo au mumeo unayeona ni halali basi ni ngumi. Sasa Yale ambayo ulikuwa hujui kuhusu mkeo na mumeo unayajua.

Hamna rangi ambayo utaacha ona, anaweza shika tumbo na msipate mtoto. Akiona haitoshi anashika na uchumi ili mkome mkomae kabisa. Mbona Bado, akikuachia huku anakimbilia kwenye tendo husika anaweka mazoea, apo unamuona mkeo kama dada yako.

Ukute Sasa amekalia zinaa ni mwanaume na mwanamke wanachepuka. Achana na huo uchumba sugu ambao unajifanya unamchunguza mwanamke na mwanaume ili umjue. Huwezi mjua mkeo wala mmeo.Ingia kwenye ndoa umuone shetani live.

Donatila

Usipende kuwatisha wasio oa. Hayo uliyoyataja ni mambo ya kawaida katika siku za maisha yetu. Cha msingi ni kuwa na mtazamo mzuri katika mambo yanayo kuzunguka. Ukiwa na uoni mzuti juu ya mwenzi wako, maisha yanakuwa burudani sana. Mfano unakuwa mtu wa kushughulika na mambo makubwa tu ya familia ukiwa kama mme. Achana na micromanagement, utaleta stress ndani. Kuna watu wanafuatil8a hata mambo madogo madogo kwa wake zao, mpaka wanawaona kama vile ni wezi au hata wanawaona kama wanga au wachawi vile. Kumbe yote ni jinsi anavyomuona mwenzi wake.
 
Habari wakuu,

Husika na kichwa cha habari hapo juu,

Kama kuna sehemu ambapo shetani anapenda kukaa basi ni ndoa. Yaani anakusubiria tu uingie kwenye ndoa takatifu aanze kukutesa. Kama sio ugomvi na huyo mkeo au mumeo unayeona ni halali basi ni ngumi. Sasa Yale ambayo ulikuwa hujui kuhusu mkeo na mumeo unayajua.

Hamna rangi ambayo utaacha ona, anaweza shika tumbo na msipate mtoto. Akiona haitoshi anashika na uchumi ili mkome mkomae kabisa. Mbona Bado, akikuachia huku anakimbilia kwenye tendo husika anaweka mazoea, apo unamuona mkeo kama dada yako.

Ukute Sasa amekalia zinaa ni mwanaume na mwanamke wanachepuka. Achana na huo uchumba sugu ambao unajifanya unamchunguza mwanamke na mwanaume ili umjue. Huwezi mjua mkeo wala mmeo.Ingia kwenye ndoa umuone shetani live.

Donatila
Dah!Cjui umewaza nini hata ukaridhia kutuwekea ukweli wote hapa yan. ni bila chenga. Kongole bibie.👏👐
 
Habari wakuu,

Husika na kichwa cha habari hapo juu,

Kama kuna sehemu ambapo shetani anapenda kukaa basi ni ndoa. Yaani anakusubiria tu uingie kwenye ndoa takatifu aanze kukutesa. Kama sio ugomvi na huyo mkeo au mumeo unayeona ni halali basi ni ngumi. Sasa Yale ambayo ulikuwa hujui kuhusu mkeo na mumeo unayajua.

Hamna rangi ambayo utaacha ona, anaweza shika tumbo na msipate mtoto. Akiona haitoshi anashika na uchumi ili mkome mkomae kabisa. Mbona Bado, akikuachia huku anakimbilia kwenye tendo husika anaweka mazoea, apo unamuona mkeo kama dada yako.

Ukute Sasa amekalia zinaa ni mwanaume na mwanamke wanachepuka. Achana na huo uchumba sugu ambao unajifanya unamchunguza mwanamke na mwanaume ili umjue. Huwezi mjua mkeo wala mmeo.Ingia kwenye ndoa umuone shetani live.

Donatila
Namwachia dronedrake
 
Usipende kuwatisha wasio oa. Hayo uliyoyataja ni mambo ya kawaida katika siku za maisha yetu. Cha msingi ni kuwa na mtazamo mzuri katika mambo yanayo kuzunguka. Ukiwa na uoni mzuti juu ya mwenzi wako, maisha yanakuwa burudani sana. Mfano unakuwa mtu wa kushughulika na mambo makubwa tu ya familia ukiwa kama mme. Achana na micromanagement, utaleta stress ndani. Kuna watu wanafuatil8a hata mambo madogo madogo kwa wake zao, mpaka wanawaona kama vile ni wezi au hata wanawaona kama wanga au wachawi vile. Kumbe yote ni jinsi anavyomuona mwenzi wake.
Mimi naona hajawatisha wasio oa bali kawatanabahisha mapema ili wasije shangaa watakapoingia kwenye ndoa na kukutana na makabiliano ya ana kwa ana na shetani halafu wakaanza kujua walikuwa hawajui. Wajiandae -huo mtanange ni wa viwango vya kimataifa.
 
Hata kama mkiwa mmeoana bikra wote mke na mume...

Mwamba shetani atakuja na tukio lake moja hata hiyo bikra hutaikumbuka...
Hamna nakuambia atashindwa kabla yaani knockout kabisa!!

Kwanini muunganiko utakua wa kweli kiasi kwamba mmoja akiugua na mwingine anaugua,mmoja akiumia moyoni wote mnaumia!!sijuinkama utanielewa!!

Kelele za nje mtazishinda na inawezekana wanamme au mke akakosa Tamaa kabisa ya kutoka nje!!

Usidharau purity Bond ni Bond yenye nguvu kuliko Diamond!!
 
Kilichoua mfumo dume sio Ukristo ndugu,ni mambo ya Beijing ndio yameua hiyo kitu,hii hatimaye imezaa feminism duniani,kwahiyo ukienda kokote pale duniani mfumo dume unayumba sana,ingawa kidogo wenzetu waarabu wameweza kukomaa lakini tayari wameshaanza kuyumbishwa,nadhani ulisikia maandamano makubwa yaliokuwa yanatokea kule Iran,ule ni mwanzo tu,soon watakuja huku tuliko...
Mfumo dume pia umekufa kwa sababu wanaune wa sasa hawatimizi wajibu wao kwenye familia zao kama Baba unakuta Mama ninmtafutaji pia tofauti na zamani Mama alikuwa wa nyumbani,mambo ya kisasa yanatugharimu
 
Natafuta mwanamke mmoja nimuoe ndoa ya mkataba. Mkataba utakuwa extended subject to performance.
Ndoa hizo zipo kwa wenzetu (sijazisikia hapa Tz) lakini shida (changamoto) katika ndoa hizo (changamoto kubwa)ni umri kwa wahusika na nini kifanyike endapo mmoja atakata moto akiwa bado yuko ndani ya Mkataba rasmi.
 
Kuna watu tabia zao ni mbovu hata kabla hajaoa wala kuolewa, Kwahiyo akiingia ndoani hakuna kitakachobadilika.

Hamjawahi sikia mtu anaambiwa yaani huyu kwa tabia zake sijui ataolewa/atamuoa nani. Sasa anatoka mtu huko hawajuani… hayawi hayawi kaolewa/kaoa. Shida walizokuwa wanazipata ndugu, jamaa, marafiki na majirani anahamishiwa “mwenza” na anatakiwa adeal nazo to the rest of his/her life. We kuweza??

Kuna watu wanatabia ngumu nyie acheni, sisi kuna shoga etu anaitwa M****** huwa tunamwambia M******* we utakuwa mchawi si bure!! Msichana ana tabia mbovuuuuuu! Mchoyo, msengenyaji, mchafu, mbinafsi, ana mdomo, mzururaji, controlling, manipulator, she knows it all , muongo kila kitu kibaya yeye, hanaga jema yule dada.

Sasa mtu kama huyu aolewe kweli jamani huyo shemeji hamna rangi ataacha ona.
 
Kabla sijaoa nishaonana na shetani live mara kadhaa kwa hio nilishapiga Tizi la kutosha ndani huko kwenye ndoa Mimi na shetani tutakua tushazoea yaan ni washkaji kabisa tunapiga story vipi wewe bado hujakutana nae live? Namaanisha Mimi na shetani ni washkaji asipopokea simu siku nzima simuulizi yaweza kua muda huo alikua anapiga story na shetani au shetani anamgonga Mimi hainihusu shetani nishamzoea na tabia zake za kishetani Ila tu nisimfume red handed akiwa na mke wangu nitamrudisha motoni

Unasubiri mpaka uingie kwenye ndoa ndio ukutane na shetani? Wenzio kila siku tunapishana nae na tunaishi nae
Shetani wa ndoa ni tofauti na shetani wa ukiwa single...

Maana ukiwa single unakuwa huru, ila kwenye ndoa ni kifungo...
 
Shetani Hayupo.

Ubinafsi,Tamaa, mipango mibovu, ujinga n.k ndio vyanzo vya matatizo mengi ndoani.

Chanzo cha matatizo kwenye ndoa ni wanandoa wenyewe na tabia zao.

Shetani ni Fictional character anayetumiwa kama kichaka cha kukwepa uhalisia wa Tabia mbovu za wanandoa kiujumla.
I second you, wikiend chukua kitu cha 30k kwa bili yangu. 😀
 
Back
Top Bottom