Fallback
JF-Expert Member
- Aug 12, 2023
- 3,686
- 6,958
Ila si ndio yule yule au wa kwenye ndoa anakua ame-graduate?Shetani wa ndoa ni tofauti na shetani wa ukiwa single...
Maana ukiwa single unakuwa huru, ila kwenye ndoa ni kifungo...
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ila si ndio yule yule au wa kwenye ndoa anakua ame-graduate?Shetani wa ndoa ni tofauti na shetani wa ukiwa single...
Maana ukiwa single unakuwa huru, ila kwenye ndoa ni kifungo...
We jamaa una matusi shetani anachukua lekchaHapo kwenye kuchepuka tu ndo shetani anakomoa kwenye ndoa. Lakini mengine ni shega tu.
Wee fikiria mke wako anachepuka anagongwa nje ikichomoka anairudisha kwa kuchomeka.
Yani hapo ze devoo anaumiza kichizi.
Ushajiuliza kwanini wanaume waliowatoa bikira wanawake wengi huingia mitini?Hamna nakuambia atashindwa kabla yaani knockout kabisa!!
Kwanini muunganiko utakua wa kweli kiasi kwamba mmoja akiugua na mwingine anaugua,mmoja akiumia moyoni wote mnaumia!!sijuinkama utanielewa!!
Kelele za nje mtazishinda na inawezekana wanamme au mke akakosa Tamaa kabisa ya kutoka nje!!
Usidharau purity Bond ni Bond yenye nguvu kuliko Diamond!!
Kwani hakuna watu waliobaki 0 wakiwa hawajaoa/hawajaolewa?Changamoto za kwenye ndoa ni nyingi sana...za kiuchepukaji zipo lkn kuna nyingine mpaka unatamani uzaliwe.... Mtu ulikuwa kiuchumi fresh tu gafla kila kitu kinapuputika huna pa kushika ... Sijui kama unalewa lkn... Usikae kwenye angle moja
Shetani wa ndoa ame-graduate..Ila si ndio yule yule au wa kwenye ndoa anakua ame-graduate?
Huwa mara nyingi wale wanaodhaniwa wenye Tabia mbovu akiolewa au akioa hujirudi haraka sana na kuwa mtulivu esp. wakijaliwa watoto.Kuna watu tabia zao ni mbovu hata kabla hajaoa wala kuolewa, Kwahiyo akiingia ndoani hakuna kitakachobadilika.
Hamjawahi sikia mtu anaambiwa yaani huyu kwa tabia zake sijui ataolewa/atamuoa nani. Sasa anatoka mtu huko hawajuani… hayawi hayawi kaolewa/kaoa. Shida walizokuwa wanazipata ndugu, jamaa, marafiki na majirani anahamishiwa “mwenza” na anatakiwa adeal nazo to the rest of his/her life. We kuweza??
Kuna watu wanatabia ngumu nyie acheni, sisi kuna shoga etu anaitwa M****** huwa tunamwambia M******* we utakuwa mchawi si bure!! Msichana ana tabia mbovuuuuuu! Mchoyo, msengenyaji, mchafu, mbinafsi, ana mdomo, mzururaji, controlling, manipulator, she knows it all , muongo kila kitu kibaya yeye, hanaga jema yule dada.
Sasa mtu kama huyu aolewe kweli jamani huyo shemeji hamna rangi ataacha ona.
Alafu akishapanda magugu yanatakiwa yaote pamoja na ngano...Hajasingiziwa. Anaitwa kwa jina lingine ni "YULE MWOVU" anapanda magugu kwenye shamba lililopandwa ngano. Tafakari hapo.
Huwa nakuangalia tu unavyomwandama mke wangu humunishamuelewa hajaoa huyo
Exactly YES.... Wahenga walisema"Kua uyaone mwanangu" Hatimaye Bwana wa mavuno hukusanya ngano ghalani na magugu huyafunga matita na kuyachoma moto.Alafu akishapanda magugu yanatakiwa yaote pamoja na ngano...
Yaani yasing'olewe [emoji1787][emoji1787]
Hapa ndio watu wanachinjana kwa ndoa...
Kwa hio shetani wa kabla ya ndoa ni tofauti na shetani wa baada ya ndoa au sababu mnakutanisha mashetani wawili pamoja yanaanzisha varangati?Shetani wa ndoa ame-graduate..
Ukiwa single Bado ni rafiki yake Shetani ila ukioa ni rafiki wa Mungu..
Sasa sikiliza ule mtanange wa Shetani akiwa anataka ubaki kuwa wake...
Lazima ukione Cha mtemakuni
Enheee; Umeuona uso wa shetani?? Na bado.Huwa nakuangalia tu unavyomwandama mke wangu humu
Jichanganye sasa! Kuna kitu kinaitwa red flags ignore hizo halafu urudi kutuambia hapa kataa ndoa.Huwa mara nyingi wale wanaodhaniwa wenye Tabia mbovu akiolewa au akioa hujirudi haraka sana na kuwa mtulivu esp. wakijaliwa watoto.
Ongezea sauti vijana wasiomjua Mungu wasikie tenaa...Hakuna kitu kama hicho ndoa ni tamu hakuna mfano, vijana oeni na muishi kwa akili huku mkimtanguliza Mungu mbele.
Ndio nimesema avae sura zote afanye yote Ila siku hio nikimfuma na mkewangu na yeye namuoa kisha namrudisha motoni nampelekea motoShetani ni baba wa uongo...
Huvaa sura tofauti kulingana na mazingira...
La hasha. Haiko hivyo. Ndoa ni moja lakini inahusisha watu wawili na kila mmoja wenu kaja na Shetani wake. Kwa mantiki hiyo, Ndoa yenu moja inakabiliwa na Shetani wawili au zaidi na lengo ni Kuisambaratisha kabisa hiyo ndoa yenu itokomee mbali.Kwa hio shetani wa kabla ya ndoa ni tofauti na shetani wa baada ya ndoa au sababu mnakutanisha mashetani wawili pamoja yanaanzisha varangati?
Ukikua utaelewa...au kama unataka tulia darasani ueleweshwe....Kwani hakuna watu waliobaki 0 wakiwa hawajaoa/hawajaolewa?
Nini kinafanya uone umefilisika sababu umeoa/umeolewa?